Bla bla za nini..msibadil malengo ya vyetiHii ndio mambo tusiyopenda, mwanamama anahojiwa na Anthony Joseph anadai kazalishwa na askofu. Halafu katelekezwa. Anasema yu tayari kupima DNA. Anasema mtoto ni mjanja mjanja kama Gwajima.
Kama kituo chenyewe ni Radio Uhuru basi elewa kuwa ameshanunuliwa Huyo! Ila ajiandae kuikimbia Dar.
Mchungaji mwache ale kondoo zake...Tena ukute mwanamke mwenyewe kajipeleka na kumvulia chuupi baba mchungaji..
Walitaka baba mchungaji asiwe na watoto kama bash aite
Sio ajabu alienda aombewe apate mtoto..kapata analalamaHii ndio mambo tusiyopenda, mwanamama anahojiwa na Anthony Joseph anadai kazalishwa na askofu. Halafu katelekezwa. Anasema yu tayari kupima DNA. Anasema mtoto ni mjanja mjanja kama Gwajima.
Fungua usikilize, acha ushabiki wa kijinga. Mimi nimeweka jukwaani kama news nyingine. Kweli ama si kweli I don't give a https://jamii.app/JFUserGuide!!Mkuu una vielelezo? Maana Radio yenyewe uliyoitaji bora hata TBCCM. Hiyo radio ni kada namba 1. Ungekuwa hauna vinasaba vya kibashite bashite usingeandika kiumbea hivyo.
Chukulia hilo linalosemwa ni la kweli, je, alimbaka au alivua/ kuvuliwa nguo kwa hiari yake? Kama ni kwa hiari yake shida iko wapi?
Umalaya ni nini?HiviUmalaya wa gwajima unahusiana nini na vyeti vya makonda???
Kwanza nimekupa like yako, halafu nikiunga mkono pointi yako; wanawake kama hawa ndo wanaosababisha wanawake waonekane binadamu wa daraja la pili wakati haipaswi kuwa hivyo. Alikufa Kanumba wanawake from no where wakajitokeza na vichanga mgongoni, wamezalishwa na Kanumba. Leo huyu naye ghafla kazaa na Gwajima. Aende ustawi wa jamii watamsaidia, atuache sisi na Bashite wetu tutamalizana kimya kimya.Hawa ndio wale wapuuzi watumikao na ccm kama makarai ya ujenzi
Hii movie sio ya kutengenezwa kweli?Hata kwenye vitabu vya dini vimeandika ikimbie zinaa.
Wachungaji mjue wana wakati mgumu sana wanavyowaombea hawa watoto wa kike.
Kuna majaribu mengi sana...
Gwajima lako hili baba.
Ila bashitee hatumwachi pia