Mwanamke akikosa "attention" anachanganyikiwa, kuchanganyikiwa kunamfanya apatikane kirahisi

Jibu jepesi ulilitakiwa kumjibu hapa ni "mwanamke anapenda mwanaume ambae ni mwanaume".

So anzeni kujadili sifa za mwanaume ambae ni mwanaume Kama hazijui.
 
Maybe anauwingi wa testosterone ktk mwili wake!.
 
Ni kweli kabisa ulichoongea mkuu. Lakini kabla ya yote hii picha ya pili ni wakati jofrey aliposhikiwa panga na arya, hapo alikuwepo na sasa na butchers boy na namaria. Me ni mpenzi mkubwa wa GOT. Twende kwenye mada

Wakati nipo form 6 alikuwepo demu mmoja ambae kiukweli alikua mzuri na wanafunzi wengi wakipita lazima wamsalimie na kutaka kuzungumza nae mawili matatu. Yule demu alikua mkali sana kwa biology na alikua PCB wakati mimi nilikua PCM. Kiukweli alikua kwa somo la bio yuko vizuri sana na mimi nilikua niko vizuri kwenye Math na Physics, so matokeo yakitoka ye huko anaongeza kwa Bio halafu mimi naongoza kwa physics na math. Kwa vile nilikua bize sana kwenye masomo sikua hata na stori nae na kuna siku tukapangwa group moja pale skuli kwa somo la chemistry but mimi nlipoona nipo group nae nikamuomba mwalimu nitolewe. Kumbe yeye akilini mwake anaona najiona sana, na mimi akilini mwangu nahisi kwamba mwanamke mzuri kila mwanafunzi anamtaka mimi wa nini, bora nijipinde tun na masomo. Tumeendelea hivo mpaka sometime huwaambia rafiki zangu me mbona niko tofauti na wanafunzi wengine au kwakua kaka angu ananisomesha physics nimekuwa hodari, kaka angu anajuulikana sana pale skuli kwa sababu aliwahi kupiga A ya physics. Siku hiyo nimetulia lakini karibia na mitihani ya mwisho wa mwaka uvumilivu ukamshinda, akenda kutafuta suala gumu la simple harmonic motion akanielete na kuniomba samahani kama atanikera lakini nimsaidie, kusema ukweli hakutaka nimsaidie maana ilo suali lilikua gumu kwake na yeye sio mtu physics, sijui alilenga nishindwe au vipi. Na mimi hiyo nafasi sikuichezea maana nlimwambia mimi sikariri formula ikabidi nimpige pindi la SHM kuanzia mwanzo hadi mwisho na baadae nkasolve suali lake than nikamuomba awe ananisaidia chemistry kwenye tropic ya organic chemistry. Tukaendelea na stori na mpaka tumegraduate tukawa tuko pamoja, siku moja moja nikawa napewa tunda fresh maana alikua anaogopa sana mimba, tuliachana yeye alipoenda kusoma uturuki na mimi nikakomaa hapa vyuo vya tanzania. Hatujaonana mpaka leo

Kuna kesi pia baada ya kua sina habari na demu mwisho nikala tunda iliwahi kunitokezea chuo.
Nakumbuka wakati naanza kazi katika serikali pia iliwahi kunitokea kwa demu fulani ambae sikua na habari nae ila yeye sikuwahi kumla kwa sababu nliona itaharibu ishu za kazi na ukizingatia hata mkuu wa kitengo nae alikua akimfuatilia ila mimi sikua na habari nae
 
Ni kweli kabisa ulichoongea mkuu. Lakini kabla ya yote hii picha ya pili ni wakati jofrey aliposhikiwa panga na arya, hapo alikuwepo na sasa na butchers boy na namaria. Me ni mpenzi mkubwa wa GOT. Twende kwenye mada
Jf hii sijui kama kuna shabiki wa GOT kunishinda😅
Alikua anaitwa Nymeria, butcher boy sliuawa na Sendor Clegane (The hound) Arya alinifurahisha alivyompa kichapo Jofrey. Shenzi kabisa
Back to the topic, Ndio ilivyo jitahidi umtafute huyo gal. Mimi mtu anayependwa na wengi ndio simtaki kabisa. Sipendi kua kwenye msafara wa kenge wakati mimi ni mamba, yaani nimpangie Foleni mwanamke mmoja..yeye ni nani hasa.

Nina visa kadhaa sema sipendi kusimulia personal issue zinszohusu wengine humu ningeasimulia. But this past two weeks nimejionea mengi kutoka kwa hawa wenzetu aisee
 
Jibu jepesi ulilitakiwa kumjibu hapa ni "mwanamke anapenda mwanaume ambae ni mwanaume".

So anzeni kujadili sifa za mwanaume ambae ni mwanaume Kama hazijui.
Nilitaka kufupisha maongezi maana tusingefika kikomo.
Maybe anauwingi wa testosterone ktk mwili wake!.
Hua wanajisemesha tu, Ila ukweli wanao wenyewe
 
Jf hii sijui kama kuna shabiki wa GOT kunishinda😅
Alikua anaitwa Nymeria, butcher boy sliuawa na Sendor Clegane (The hound) Arya alinifurahisha alivyompa kichapo Jofrey. Shenzi kabisa
Ni kweli Got ilikua kitu kengine kabisa, nilitamani pale Nymeria alipokuja kukutana na arya mara ya mwisho akiwa na wolf wengine (sijui kama ni watoto wake au vipi). Nlichotamani arya angechukua kundi lote lile wakenda kupambana na the army of the dead. Wolf alopambana na walking dead na ni Ghost tu wa Jon Snow. Wengine wote walifariki na mpaka muvie inaisha ghost alikua yuko hai even though sir alliser thorn alikua hampendi
Saivi nimeshaoa na nina familia. Lakini ndo hivyo ukiwa mkimya ni rahisi kuwala kuliko wale maneno mengi na waongeaji sanaa. Na ukiwa mkimya hata demu mwenyewe anakuogopa na ukiongea basi automatic anapay attension ya utakachoongea because they believe utakachoongea kwake huwezi kumueleza mwanamke mwengine. Napenda hasa kua na wanaume wenzangu tukapiga strori kuliko hata kukaa na gals actually
 
Ndivyo walivyo; wachache wanaweza kubadilika, waliobaki watakuwa hivyo siku zote.
 
Well, moja ya indicator Kwamba Wanawake wanatamani authority aliyonayo Mwanaume hua wanasema"Ningekua mwanaume ningefanya hivi na hivi" but Sijawahi kusikia Mwanaume akisema anatamani kua mwanamke
Dah mkuu maelezo yako yananichanganya sana.
 
Alliser Thorne hakua hampendi tu Ghost bali Jon snow na rafiki zake wote. Alikua anamkandia balaa sijui alimkosea nini.
Ghost ndio MVP wa show kila sehemu alitoboa. Nilisahau Direwolf wa Bran Summer alikufaje nikakumbuka alikufua kwenye Pango la Three Eyed Raven.

Mbona mafunzo ya Faceless man hayakua na faid yotote kwenye The long night battle...

Kweli kabisa,
 
Wako wale wenye hulka ya kutotulia.....hao hata uwape "roho" yako....itaondoka na wala hawatothamini chochote....

Tabia ni ngozi.....
 
Ni kweli kulikua mafunzo yalihitajika kwa arya ili kulipiza kisasi kwa names alizokua nazo, juu ya hivyo alifanikia kwa walder frey na Ser Meryn Trant lakini wengine wote hakuwaua yeye. Cercie, the mountain, jofrey. Owh nimekumbuka alimuua the tickler na yule aliyempokonya needle yake. Kwenye night king ilikua ni green eye tu.
Kitu chengine pia tuliambiwa kwamba bran anaenda kujifunza jinsi ya kudeal na night king lakini hakukua na kitu isipokua uwezo wake tu wa kuweza kuona matokeo yaliyotokea
 
Jibu jepesi ulilitakiwa kumjibu hapa ni "mwanamke anapenda mwanaume ambae ni mwanaume".

So anzeni kujadili sifa za mwanaume ambae ni mwanaume Kama hazijui.
Hahah.

Mwanaume anatakiwa awe vipi ?

Hilo ni swali ambalo litakuwa na majibu tofauti sana na hatutopata kauli moja kwa sababu wanawake wanaathiriwa na mazingira tofauti tofauti.

Mtoto wa kike wa kizanzibari mindset yake ni tofauti na mtoto wa kike wa kikurya,kuna mambo lazima watakuwa hawafanani tu
 
Wanawake ni viumbe wa ajabu sana, ukiwaheshimu wanakudharau na ukiwadharau wanakuheshimu.
Hii binafsi nimeona nilipokua chuo
Hostel wanawake walikua wanasema naringa nikabaki najiuliza kivp na salam huwa nawapa
Baada ya kuanza kunywa nao bia na kuwashika viuno wakaanza tena kumbe ww sio mtu mzuri 🤣🤣🤣
 
Kama humu tu unakuta unamfuata fuata mdada kila uzi, pm hukatiki. mwambie tu unamwelewa angalia welekeo wake then sepa.
Ndio uanaume bwana..[emoji6]
Uliza waillipfuata fuata inbox kusema wametuelewa wakasepa,nn kilifuata?
Hata sisi tunapiga kimya vzr sana tu!
Kila mmoja anaendekea na maisha take yaani
 
Mbona mi sina picha ya kubinua makalio?umekariri mkuu?

Kupendeza hivi jmn kunahusiana na attention?
Duh yaani siwezi asee lzm nipendeze tu kwakweli,kuniona na kunisifia mime/mpenzi wangu huyo ndo mhimu wengine sio issue
Duh basi balaa hili?
Mbona mi napenda mwanaume anaependeza,anajipenda yaani,kwenye dress code awe vzr mpk kunukia!hata watu wakimuona ,yes!najivunia!
Hapo vipi?
 
Kabisa
Kwa anaenipenda ndio mhimu
Wengine watajiju
 
Coz unajielewa mupo wachache sana kama 10% tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…