Superbug
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 13,864
- 35,079
Mwanamke hajapigwa hajafukuzwa katoroka mwenyewe karudi kwao unatakiwa ufwate utaratibu gani ili asije akanisumbua baadaye? Mathalani ukitaka kuoa asije akaweka pingamizi au akalazimisha mgawane mali.
Na je kuna ulazima wa yeye kuendelea kunufaika na bima ya afya uliyomkatia?
Tena yeye na baba yake? Au niwapokonye?
Na je kuna ulazima wa yeye kuendelea kunufaika na bima ya afya uliyomkatia?
Tena yeye na baba yake? Au niwapokonye?