Mwanamke akiondoka mwenyewe nyumbani akaenda kwao unatakiwa ufanyaje?

Mwanamke akiondoka mwenyewe nyumbani akaenda kwao unatakiwa ufanyaje?

inawezekana ana hamu ya kwao amewamiss ndugu zake na wazazi wake.... mpigie simu kama binadamu ujue shida ni nini...wataarifu wazazi wake.
 
Mwanamke hajapigwa hajafukuzwa katoroka mwenyewe karudi kwao unatakiwa ufwate utaratibu gani ili asije akanisumbua badae? Mathalani ukitaka kuoa asije akaweka pingamizi au akalazimisha mgawane mali.

Na je kuna ulazima wa yeye kuendelea kunufaika na bima ya afya uliyomkatia?

Tena yeye na baba yake? Au niwapokonye?
Fuata utaratibu wa ndoa kuripoti hilo muhimu mno
 
Mwanamke hajapigwa hajafukuzwa katoroka mwenyewe karudi kwao unatakiwa ufwate utaratibu gani ili asije akanisumbua baadaye? Mathalani ukitaka kuoa asije akaweka pingamizi au akalazimisha mgawane mali.

Na je kuna ulazima wa yeye kuendelea kunufaika na bima ya afya uliyomkatia?

Tena yeye na baba yake? Au niwapokonye?

Mwanamke au mkeo mkuu? Weka vizuri ili
 
Kaondoka mwenyewe, kaenda kwao, sio kapotea, kaenda kwao, sasa uhangaike kumfata wa nini? Vunga akili imkae sawa, akiona una umuhimu atarejea na adabu atakuwa nayo, ila akiona ww miyeyusho hawezi kurudi na usithubutu kumfata ndio kabisa atavimba bichwa, ataona wewe bila ya yeye huwezi kuishi, yaani atahisi kama ni oxygen gas yako
 
Kaondoka mwenyewe hajafukuzwa ya nini kumfuatilia. Na hajaenda kwao huyo, mwanamke haondoki kwake unless kapata makazi mapya (bwana).

Kwa vile kisheria bado ni mkeo na kuondoa kadhia ya baadae atakapozingulia huko makazi mapya kutaka kurudi kwako (katika akili yake kwako bado ni kwake kwa akiba) vunja ndoa kabisa. Vuta chombo nyingine kali zaidi amiliki jimbo na bima yake na baba yake hamishia kwa chombo Kipya.

Ila pia jitathmini kwanini umekimbiwa unaweza jikuta una matatizo kupelekea muendelezo wa kukimbiwa hata ukipata mwingine.
Mimi mke wangu aliondoka mwenyewe kakimbilia kwao baada ya kumgundua alikuwa na mchepuko uliompachika mimba kwa makubaliano ya kumzalia mtoto,mimi nahudumia nikijua mtoto wangu kumbe nalea mbegu za mwingine,nilivyojua hilo na kuanza kufuata taratibu za kupeleka sehemu husika,akatoa ujauzito,nalo pia nikalijua kwa ushahidi wa audio.nikaenda kwa kiongozi wa dini mke hakutoa ushirikiano,ndg zake mpaka leo imepita miaka3 hawanipi ushirikiano,alivyoona naenda serikali ya mtaa akaondoka mwnyw hadi leo sijui yuko wapi.kwa muktadha huu inabidi nitoe taarifa wapi?
 
Kaondoka mwenyewe, kaenda kwao, sio kapotea, kaenda kwao, sasa uhangaike kumfata wa nini? Vunga akili imkae sawa, akiona una umuhimu atarejea na adabu atakuwa nayo, ila akiona ww miyeyusho hawezi kurudi na usithubutu kumfata ndio kabisa atavimba bichwa, ataona wewe bila ya yeye huwezi kuishi, yaani atahisi kama ni oxygen gas yako
Maka huu ndio uamuzi wa kiume asipoufata huu huyo mwanamke wake atampekeka peleka sana
 
Hila munu avhe na khwao.

Na wewe nenda kwenu.

Kama mna watoto na wao waende kwao.
 
Kama bado unampenda mfuate kapige magoti. Vinginevyo nenda kwa kiongozi wa mtaa ripoti mkeo katorokea kwao. Kama pana washenga washirikishe pia.

Toka na barua ya kiongozi kafikie kwa kiongozi kisha nenda na kiongoz had kwao. Thibitisha uwepo wake kwa wazazi wake. Kisha anza maisha mengine. Bina yake block bila huruma. Ila ya mzee msaidie hana hatia.
Mzee ana hatia kubwa,how come unapokea mke wa mtu kwako ,alitakiwa amfurumshe siku ya kwanza,huo ndio utaratibu au arudishe mahari
 
Nunua kanga pc 3 na vitenge kama 2 hivi na taiti kama 3 alafu zifue kimya kimya anika nje manirani wazione alafu wee jichimbie ndani au jitahidi wewe usionekane alafu sikukizia kwanza

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa nini kuingia gharama zote,avute tu kamchepuko aje nako jioni akapelekee moto asubuhi akasindikize
 
We kausha tu ukitaka kuoa unaoa tu. Kujitesa kuzunguka kwa nini. Hata ukijiwa juu sababu ya waz unayo. ALIONDOKA MWENYEWE
Lakini tukumbuke hizo sababu zikiwa ktk maandishi zinakuwa guaranteed kumsaidia muhusika baadae incase mtenda kosa akaleta kelele.

Aende kwanza kwa mjumbe wa walipokuwa wakiishi,baadae mjumbe atakuwa shahidi muhimu kama kutatokea kesi kutokana na yeye ndiye anaye-monitor matukio yote ya mtaa iwe yakawa mabaya au mazuri maana ushahidi wake utakuwa huyu mdai hajawahi kuripoti kwangu kama alifukuzwa au hajawahi kuleta kesi ya kupigwa na mumewe kisha aende polisi kutoa taarifa ya kupotea kwake,hii itamsaidia mtoa taarifa kuwa nje ya tukio lolote baya litakalompata huyo aliekimbia huko aliko.
 
Mimi mke wangu aliondoka mwenyewe kakimbilia kwao baada ya kumgundua alikuwa na mchepuko uliompachika mimba kwa makubaliano ya kumzalia mtoto,mimi nahudumia nikijua mtoto wangu kumbe nalea mbegu za mwingine,nilivyojua hilo na kuanza kufuata taratibu za kupeleka sehemu husika,akatoa ujauzito,nalo pia nikalijua kwa ushahidi wa audio.nikaenda kwa kiongozi wa dini mke hakutoa ushirikiano,ndg zake mpaka leo imepita miaka3 hawanipi ushirikiano,alivyoona naenda serikali ya mtaa akaondoka mwnyw hadi leo sijui yuko wapi.kwa muktadha huu inabidi nitoe taarifa wapi?
Sasa mkuu hapo unataka utoe taarifa gani? Dah mtu kasaliti na mimba juu, bado kakimbia, wewe wapigie sim kwao uwajulishe yalojiri wajue tu hauko na mtoto wao, ila hapo umesema imepita miaka mitatu, inamaana uliishi nae hata baada ya kuyajua hayo

Sent from my itel P32 using JamiiForums mobile app
 
Mwanamke hajapigwa hajafukuzwa katoroka mwenyewe karudi kwao unatakiwa ufwate utaratibu gani ili asije akanisumbua baadaye? Mathalani ukitaka kuoa asije akaweka pingamizi au akalazimisha mgawane mali.

Na je kuna ulazima wa yeye kuendelea kunufaika na bima ya afya uliyomkatia?

Tena yeye na baba yake? Au niwapokonye?
Wapokonye .


Wahitaji ni wengi.


Ubaya, lipa kwa Ubaya.


Kuna wajinga, utasikia Nmeshatoa mahari.,nmefuma, nimeamua kusamehe.

Mamaeeee, mahari Yenyewe ni 3-5M ..hiyo Pesa ukiidai, ungefanyia kitu cha maana.

Nadhan kwa mfano huo. Umeelewa
 
Back
Top Bottom