Mwanamke akiondoka mwenyewe nyumbani akaenda kwao unatakiwa ufanyaje?

Nunua kanga pc 3 na vitenge kama 2 hivi na taiti kama 3 alafu zifue kimya kimya anika nje majirani wazione alafu wee jichimbie ndani au jitahidi wewe usionekane alafu sikilizia kwanza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwandikie barua ya kumpa deadline ya kurudi na umtajie baada ya hapo huko tayari kumpokea, halafu andika mirathi yote kwa watoto au kama huna uza nunua nyingine akiwa hayuko. Hakikisha barua hiyo inamfikia na kusaini kwa EMS, DHL au SKYNET
 
Yan wanawake walivyojaa hivi umpigie magoti kabisaaaa nyie ndio mnapigwaga na wake zenu
 
Unamwacha huko huko. Akijirudi aletwe na hao wazazi wake
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Jamiiforum for ever ushauri wa humu umejigawa kwenye makundi mawili 1. Destructive 2. Constructive. Huu ya yote kufwata au kutokufwata ni juu ya mtu mwenyewe.
Za kuambiwa changanya na zako mzee
 
Akiondoka hapo ashajivua
Mwenyewe !

Ova
 
Kila mtu JF ni Mtaalam wa kila jambo umeona! Sioni mantiki siku hizi kuomba ushauri hapa JF
 

Swala la kimila, muulize Baba yako ndo anajua mila Zenu? I
 
Kupata mke bora ni kama kucheza mchezo wa pata potea
Ndio haposasa.. mtoa mada labda atuambie kama mkewe ana tatizo lingine, kama ni hilo tu afuatilie ajue chanzo. Kuna kosa mtu anaweza kukufanyia ukajikuta unahitaji kituliza kichwa kwanza
 
Umeongea kwa upande wa muslimu sisi wakrist je
 
Nenda NHIF waambie unawatoa kwenye huduma ya Bima baasi mambo yasiwe mengi.

Pole sana kwa changamoto
 
Hapo ni sawa na spika kuachia ngazi, haijalishi ile barua yake ya kujiuzulu imefuata sheria au la............kinachofuata ni uchaguzi wa spika mpya ili shughuli za bunge ziendelee.....
Mkuu angalau kwa suala la spika sababu tuliijua, na hakuna alieshangaa. Kwa suala hili nilitegemea kipaumbele cha mtoa mada kingekua ni kutaka kujua ni nini hasa chanzo cha mke kumtoroka, kabla ya kufkiria mambo mengine

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jamaa keshasema sababu za kuondoka hazina mashiko, ndo maana kafika mahala anaomba ushauri wa nini cha kufanya.........bado ana option ya kuacha kujaza nafasi ya spika ili naibu spika aendelee na shughuli za bunge hadi uchaguzi mkuu utakaofuata.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…