Mwanamke akionesha dalili au tabia hizi achana naye

Kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Safi sana kaka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kabisa mwamba....kama dk 20
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na ili La kiporo ndo Zuri sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwanamke akijiamini sana pia ni Tatizo kaka

Sent using Jamii Forums mobile app
 

mwanamke mwenye marafiki wengi wa kiume lazima atatokea mwamba mmoja atamtoboa tu hawezi kuruka viunzi vya wanaume lets say watano, atakitahid lakin hata fanikiwa, ngoja nkwambie something about my personal experience, mimi huwa nna jua kushauri sana watu kwenye ishu tofauti alafu huwa nna tone fulan nkianza kuongea unataman uendelee kunisikiliza sasa basi kupitia kuwapa ushauri wanawake tofauti tofauti nikawa najikuta nakuwa nao karibu sana na walikuwa nakauli kama yako, nikitest mitambo unashangaa nimewabomoa yan tena kiulain sababu wanakuwa wananitrust 200%.

Alafu kitu ambacho sikipend kuhusu wanawake wa dizain hii wanawaamini sana rafiki zao wa kiume kuliko maboyfriend zao, wachumba zao na hata waume zao, wako tayari kuwaambia friends wao wa kiume siri zao zote na matatizo yao yote kuliko kumwambia boyfriend mchumba au mume wake na wengi ndio hapo wanapoumiaga, Trust me wengi sana wamebomolewa stail hiyo, na ukishambomoa sasa ndio anaanza kukusimulia yote anayopata tabu kwenye relationship yake yan anakurahisishia wewe ujue anapenda nini ili usikosee kama bwanaake.

Alafu kuhusu kukuogopa hapana, wanaume wengi wanapendaga wanawake kama ninyi sababu kuwaingia ni rahisi na hakuna strings atached, wanakukulen kimasihara, ukienda kwene uzi wa kula kimasihara wengi wao walileta urafiki wa ushikaji wakaliwa.

Cha mwisho kabisa MWANAUME HANAGA URAFIKI NA MTOTO WA KIKE YAN LABDA AWE MBAYA WA SURA NA KILA KITU, LAKIN KAMA MTOTO MZURI HAKUNA MWANAUME ANAVILIAGA, YAN KAMA ANAJIFANYA RAFIKI AKO NI EITHER ANAKUTAKA WEWE, au RAFIKI YAKO AU MDOGO WAKO, au kuna kitu yupo interested nacho labda info fulan,

Yan ukiona upo na mshikaji ni mshkaji wako na mpo poa na wewe ni kasexy lady basi jua alishakuwazia ivi siku akikutoa chupi itakuwaje na hiyo chuchu yako imekaaje ukiwa naked...MWANAUME YUPO TOFAUTI SANA NA MWANAMKE...

STAY DANGEROUS....


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
haaaaa hutofautiani sana demu wangu nae kampani kubwa ni wanaume anadai eti wanawake wengi wana story za ajabu tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…