Major Paloma
Member
- Nov 6, 2019
- 56
- 48
๐๐๐๐๐๐
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unakwama wapi wewe? Mana tatizo ni wewe na siyo yeyeWanawake wanaongea kingereza sana yani wana slang slang ooh kfc was sweet ,oohh im Sorry darling wanaboa ,oh movies sijui wapi kwa kweli wanaboaaa
Kwa nini uvijue .mwanamke hautakiwi ujue kila kitu unatakiwa uwe na exposure ya kiasi tu ya maeneo ya kukuzunguka huko kwengine tuachieni sisi mkiwa wajuaji sana mnakuwa tatizo
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahahah. Mwanamke jasiri kama wanamume mi hamna aisee. Si ndo wale nyoka anaingia geto dem badala aogope akimbie nyumba unakuta kamuua amemfunga kamba kamning'iniza mlangoni au anakuwa anakurushia huyo nyoka kukutisha. Sasa hapa nani anakuwa mwanaume ndani ya nyumba
Ili msiwe wajuaji sana mkaacha kutuheshimu ie kwa masilahi ya ndoa
Na wenye makalio makubwa ogopa sana wanajiamini kuliko hata mwanamke mwenye degree
Sent from my iPhone using JamiiForums
[emoji3] [emoji3] [emoji3]Mi kuna mmoja niliachana nae maana dah dem eti haogopi mkiwa mnaangalia horror movies. Kuna wale mkiwa mnaangalia movie kama hii kuna matukio anaogopa kuangalia anajificha nyuma ya mgongo wako au anakulalia mapajani anakwambia utanisimlia hapo nini kilitokea ila huyu wangu anakodoa tu macho watu wanatobolewa utumbo au ubongo na mazombie ye uso mkavu hafichi ata uso kwa mikono. Nikasema we kaolewe na majenerali wa vikundi vya waasi kongo huko ndo mnawezana
Ukiona mwanaume hawazi ngono, ilhali wewe tako lako, sura yako na tabia vinavutia, huyo hajakamilika,No 3 inanihusu kwa hiyo mabaharia niogopeni, sitaki urafiki na wanawake japo nashirikiana nao kwa Mambo mengi hasa ya kibiashara na kijamii, napenda kuwa na marafiki wa kiume wale wenye mawazo chanya, sio wale wanaowaza ngono kila saa
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukiona mwanaume hawazi ngono, ilhali wewe tako lako, sura yako na tabia vinavutia, huyo hajakamilika,
Au
Kinyume chake ww ni flat screen
Over
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanaweka na ki"way" kwa pembeni 'iyo ni way kweli"
[emoji23][emoji23][emoji23]Mi kuna mmoja niliachana nae maana dah dem eti haogopi mkiwa mnaangalia horror movies. Kuna wale mkiwa mnaangalia movie kama hii kuna matukio anaogopa kuangalia anajificha nyuma ya mgongo wako au anakulalia mapajani anakwambia utanisimlia hapo nini kilitokea ila huyu wangu anakodoa tu macho watu wanatobolewa utumbo au ubongo na mazombie ye uso mkavu hafichi ata uso kwa mikono. Nikasema we kaolewe na majenerali wa vikundi vya waasi kongo huko ndo mnawezana
Sema they're too smart upstairs.
Kwann mkuu
HahahaNimecheka sanaaa hii namba 6
6. Mwanamke mkienda out akatawala bili
โMnauzaje hapa?โ
โWahudumu mbona mnakaa mbali?โ
โHesabu vizuri wasituibie chenji"