Mwanamke ambaye hujawahi kumuona akituma picha, mwambie atume ambayo haija-editiwa usije kujuta baadaye

Mwanamke ambaye hujawahi kumuona akituma picha, mwambie atume ambayo haija-editiwa usije kujuta baadaye

Vile sampuli mbili tofauti kutoka JF zinachungulia huu uzi kwa mbali👇😁
downloadfile-6.jpg
 
Wanawake hasa Hawa weusi hawajiamini wanatumia filter ili kuibia watu na kuwaachia majuto makubwa.

Hii imetokea Jana rafiki yangu kayakanyaga baada ya kumkimbia Mwanamke wake wa mtandaoni waliyekutana Facebook, hii imesababishwa na kakutana na sampuli mbili tofauti.

Hawa Wanawake weusi hawajitambui na hawana uhuru wa Fikra na hawajikubali na wanaingiza watu king sana.

This is stolen Generation
Hahahaa naona umepigwa na kitu kizito kwa wanawale Weusi..Lakin wanasema Black is beautiful 🤣🤣🤣
 
Dawa ni muonane live tu, hiyo video sijui photos zote ni ubatili mtupu. Ila msituseme sana jamani wenye matunusi [emoji23][emoji23][emoji23] filters ndo zinatusitiri aweeww
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nakuja kukufundisha nawee uwake shougaaangu nani anataka kuonekana michunusi??[emoji23][emoji1783] Thubutuuuu!!
Ndo hapo sasa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mimi ukinipigia video call umekwisha.
Kwenye video call naonekana mrembo zaidi hata ya kwenye picha.
Sijui ni camera ya simu yangu, sijui ni namna ninavyoposition camera...
Hadi watu wananiuliza natumiaga app gani kwenye video call.
Nifundisheeee plzz na mie dear, niwauwe kw video call.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wengine mpaka uzime taa ndio uweze kupelekea moto wa jikoni, ile kuchochea kuni tu inabidi uvute picha ya video queen fulani.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wanaume ndio mnasababisha...na wadada wenye akili mbili ndo wanaona bora wajichubue, wee njia nzima wakitembea wawili utasikia cheupuuu cheupeee, hakuna mtu ataita chusiii, akipata mwanamke mweupe utasikia mtoto anawaka rangi ya mtume. Yaan mbaka matako wanaofanya surgery ni kwa sababu ya wanaume,
Ukweli ni kwamba wanaume wengi wanapenda wanawake weupe wachache ndo utasikia wanapenda blacks.
Neno lao kuu "rangi ya mtumee"
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom