Mwanamke anachokifuata kwenye mahusiano ni pesa (uchumi) na si mapenzi

Kuna bidada anamaokoto kama yote, bidada mu heiress, halafu hana makuu dada wa watu, ana mipaja kama yote, mtako ule wa kumimina ukamiminika wa kuonekana kutoka mbele kama wa muhabeshi, halafu bidada kamng'ang'ania mchizi wa kawaida tu, halafu mchizi hata hamuelewi.

Yani hiyo case imenifanya nione theory yako haija fit na data.
 
Hiyo tunaweza kuipa 0.0001%
 
Mkuu ndio yule anafanya kazi BOT pale
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…