Mwanamke anamjua vipi aliyempa mimba ikiwa alitembea na wanaume watatu kwa wakati mmoja?

Mwanamke anamjua vipi aliyempa mimba ikiwa alitembea na wanaume watatu kwa wakati mmoja?

Wanawake wako emotional superior than wanaume.
Wanaume tuna mbinu, wanawake wana mitego, unaweza kudhani huyu mwanamke umempata kwa mbinu zako za medani, kumbe umetegwa kifala tu.

Pia mwanamke ameumbwa ku perform multi tasks, ndio maana unakuta huju ananyonyesha mtoto, wakati huohuo anapika, huku akiongea na simu.

Heshima kwako ndugu yangu mpendwa sana Skylar, cacico, Kasie, Evelyn Salt na mwanamke uliyezaliwa ili hela zikufuate ulipo Miss Natafuta
Aisee......
 
Kumbe mwanamke anaweza kutupanga mimi, adriz na Bujibuji Simba Nyamaume kwa siku moja (kama ya leo Ijumaa) na wote 'tukamkaza" kwa ratiba aliyotuwekea kutokana na uhuni wetu, ila yule atakayempa mimba (kibendi) kati yetu atamjua tu na hatokosea?

Ninaombeni elimu juu ya hili wadau.
Muhuni ni aliyewapanga , ninyi mtajuana vp labda kama ilikuwa group sex orgy.
 
Kumbe mwanamke anaweza kutupanga mimi, adriz na Bujibuji Simba Nyamaume kwa siku moja (kama ya leo Ijumaa) na wote 'tukamkaza" kwa ratiba aliyotuwekea kutokana na uhuni wetu, ila yule atakayempa mimba (kibendi) kati yetu atamjua tu na hatokosea?

Ninaombeni elimu juu ya hili wadau.
Kuna mmoja nadhani ni Kenya kama sijakosea alizaa watoto mapacha hao watoto walionekana kila mmoja ana baba yake

Niliisikia hii BBC kama miaka miwili iliyopita
 
Kumbe mwanamke anaweza kutupanga mimi, adriz na Bujibuji Simba Nyamaume kwa siku moja (kama ya leo Ijumaa) na wote 'tukamkaza" kwa ratiba aliyotuwekea kutokana na uhuni wetu, ila yule atakayempa mimba (kibendi) kati yetu atamjua tu na hatokosea?

Ninaombeni elimu juu ya hili wadau.
Hakuna Kitu kama Hicho... Akili hawana Za Hivyo.

Mwanamke ni Kiumbe Kama Viumbe wengine Unaowaona Wakiwa Heat Period wanavyoangaika. Kwahiyo Mimba Itakayoingia hawezi Jua ni ya Nani Mpka DNA itokeze na Hapo Anaweza Kwenda Tengeneza Kadi 3 za Kliniki
 
Hawezi kumjua aliempa mimba, atafahamu endapo mtoto akizaliwa atafanana na yupi kati ya hao wanaume. Au njia yenye uhakika ni kufanya DNA test.
Si mnasemaga eti bao la Mimba ndiyo linakuwaga tamu sana hadi mnapitiwa na kausingizi kidogo hata ka nusu saa hivi!!??
 
Back
Top Bottom