Nurain
JF-Expert Member
- Apr 28, 2022
- 2,403
- 5,315
Ha ha haaa ila watu wagomvi Sana...hata hamchagui wa kuwachokoza....ukaidi kweliGENTAMYCINE aka popoma alitangaza ndoa humu kwamba anataka kuolewa sasa sijui kama kwasasa kaolewa au umeachwa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ha ha haaa ila watu wagomvi Sana...hata hamchagui wa kuwachokoza....ukaidi kweliGENTAMYCINE aka popoma alitangaza ndoa humu kwamba anataka kuolewa sasa sijui kama kwasasa kaolewa au umeachwa?
Inategemea na ubora na uimara wa shahawa zake na kama pia shahawa zina uhai, mfano mgumba hata awe wa kwanza na alale nayo wiki no mimba. Mla karanga, Nazi, mbegu maboga, Dafu, juice tende na mwenye shibe kati yao ndio amepachika nimejiongeza na outliers tuKama ilikuwa ni siku ya hatari wa kwanza kummwagia sikuhiyo ndo Mwenye mtoto
Taikon umebadilisha avatarKama wamempanda wote watatu katika siku ya Ovulation, ni wazi hawezi kujua Nani aliyempa mimba.
Wanawake ni watu wa pretending, drama, maigizo na unafiki. Kamwe usiwaamini hasa wakitoa machozi ndio Kabisa zidisha umakini.
Mimba kutunga kuna Factor nyingi za muhimu zaidi ya Ovulation yenyewe,
Kusingiziwa mtoto ni kuamua tuu.
Bujibuji Simba NyamaumeWanawake wako emotional superior than wanaume.
Wanaume tuna mbinu, wanawake wana mitego, unaweza kudhani huyu mwanamke umempata kwa mbinu zako za medani, kumbe umetegwa kifala tu.
Pia mwanamke ameumbwa ku perform multi tasks, ndio maana unakuta huju ananyonyesha mtoto, wakati huohuo anapika, huku akiongea na simu.
Heshima kwako ndugu yangu mpendwa sana Skylar, cacico, Kasie, Evelyn Salt na mwanamke uliyezaliwa ili hela zikufuate ulipo Miss Natafuta
Hawana huo ujanjaKumbe mwanamke anaweza kutupanga mimi, adriz na Bujibuji Simba Nyamaume kwa siku moja (kama ya leo Ijumaa) na wote 'tukamkaza" kwa ratiba aliyotuwekea kutokana na uhuni wetu, ila yule atakayempa mimba (kibendi) kati yetu atamjua tu na hatokosea?
Ninaombeni elimu juu ya hili wadau.
Hahahah huyu atakua ndugu yangu labdaChausiku kaiba style yako
View attachment 2427922