Mwanamke anamjua vipi aliyempa mimba ikiwa alitembea na wanaume watatu kwa wakati mmoja?

Mwanamke anamjua vipi aliyempa mimba ikiwa alitembea na wanaume watatu kwa wakati mmoja?

Mimi ninavyojua mbususa inapokea shahawa ya mimba mbao ya me inanatana na maku nyakati zile kama mbwa jike na dume Kwa dakika kadhaa na mwanamke akitunza vybes za kila mmoja mmoja atajua vybez la mimba ni la nani amini. Naijua hii
 
Kama ilikuwa ni siku ya hatari wa kwanza kummwagia sikuhiyo ndo Mwenye mtoto
Inategemea na ubora na uimara wa shahawa zake na kama pia shahawa zina uhai, mfano mgumba hata awe wa kwanza na alale nayo wiki no mimba. Mla karanga, Nazi, mbegu maboga, Dafu, juice tende na mwenye shibe kati yao ndio amepachika nimejiongeza na outliers tu
 
Mwanamke akikwambia ana mimba yako kitu cha kwanza muite geto halafu chukua simu yake uone wenzako wengine walio ambiwa hiyo mimba ni yake mtajikuta mpo kama watano.
 
Kama wamempanda wote watatu katika siku ya Ovulation, ni wazi hawezi kujua Nani aliyempa mimba.

Wanawake ni watu wa pretending, drama, maigizo na unafiki. Kamwe usiwaamini hasa wakitoa machozi ndio Kabisa zidisha umakini.

Mimba kutunga kuna Factor nyingi za muhimu zaidi ya Ovulation yenyewe,

Kusingiziwa mtoto ni kuamua tuu.
Taikon umebadilisha avatar
 
Wanawake wako emotional superior than wanaume.
Wanaume tuna mbinu, wanawake wana mitego, unaweza kudhani huyu mwanamke umempata kwa mbinu zako za medani, kumbe umetegwa kifala tu.

Pia mwanamke ameumbwa ku perform multi tasks, ndio maana unakuta huju ananyonyesha mtoto, wakati huohuo anapika, huku akiongea na simu.

Heshima kwako ndugu yangu mpendwa sana Skylar, cacico, Kasie, Evelyn Salt na mwanamke uliyezaliwa ili hela zikufuate ulipo Miss Natafuta
Bujibuji Simba Nyamaume
 
Chausiku kaiba style yako
IMG-20221126-WA0000.jpg
 
Back
Top Bottom