Mwanamke anamjua vipi aliyempa mimba ikiwa alitembea na wanaume watatu kwa wakati mmoja?

Mwanamke anamjua vipi aliyempa mimba ikiwa alitembea na wanaume watatu kwa wakati mmoja?

Tukutane New Corner Bar Mbezi Beach Weekend hii. Halafu kwanini 'Umeniua' kwa Baamedi wa Kimbulu Mrembo kuliko Wote ili umpate Wewe?

Umeona Baamedi wako wa zamani amerejea Sinde Pub Kijiwe chako Tukuka?

Sasa nakuomba Wewe Dili na yule Mmbulu na huyu niachie Mimi kwani ana yale Makalio makubwa ( Inye ) ninayoyapenda na ndiyo Ugonjwa wangu.
Huyu jamaa alishawahi kunipokonya kaunta wangu mmoja Salasala. Jamaa limalaya sana hilo
 
Hawezi kumjua aliempa mimba, atafahamu endapo mtoto akizaliwa atafanana na yupi kati ya hao wanaume. Au njia yenye uhakika ni kufanya DNA test.
Kwahiyo kuna uwezekano wa mwanamke kudinywa na wanaume watatu tofauti kwa siku moja?
 
GENTAMYCINE aka popoma alitangaza ndoa humu kwamba anataka kuolewa sasa sijui kama kwasasa kaolewa au umeachwa?
 
Swala la GENTAMYCINE kuolewa humu sio siri alilisema mwenyewe na aliunda mpaka kamati ikiwemo ya mapambo kwahiyo sio siri genta mke wa mtu.
 
Kwani mimba inatungwa immediately? Mimba inaweza kuchukua hadi siku mbili kutungwa toka tendo lifanyile. Kwa hiyo ukiambiwa hapa umenipa mimba mara baada ya tendo unadanganywa.
Mwanamke anaweza hata kukuambia lazima nipate Mimba yako na kweli kesho utamuona nayo hiyooo! Itakua kesha kupa!!!
 
Tayari nimeshabambikiwa sasa ngoja nitafute Panga Lililonolewa vyema niwasake Waliosahaulika Kubambikiwa wakati Washiriki wa Mchezo tulikuwa Watatu.
Tayari nimeshabambikiwa sasa ngoja nitafute Panga Lililonolewa vyema niwasake Waliosahaulika Kubambikiwa wakati Washiriki wa Mchezo tulikuwa Watatu.
Haha umeyakanyaga mkuu kwa hy huna budi kukubali kuubeba msalaba
 
Ukianza kumuelewa mwanamke, ujue umri wako wa kufa unakaribia. Kuna mmoja aliwahi niambia kuwa wanasikilizia utamu wa bao. Bao likiwa tamu zaidi, anajua kitu imo
Umetekwa sana na mafeminist ...amka kijana uanaume ni mtam kuliko uanamke
 
Back
Top Bottom