Mkunazi Njiwa
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 8,538
- 7,559
....vianzie safarini kwa kuwa na "korosho" zako ulizopakaa "nipa" kama inavyowekwa "icing sugar" juu ya "cakes"...kidogokidogo unajitafunia....ukifika pale Mbagala R3 nakuja kukupokea tukale bata mlimani city na beach kidimbwi.....Kweli Dar kuna mambo kwelikweli, kesho nakuja huko kutokea Newala...nikifika nisikose kufika naeneo gani huko Dar ambapo nitapata vionjo vya jiji?
Karibu wanzuki [emoji120]
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app