Mwanamke anatangaza mapenzi yake hadharani; wewe nani kusema hadharani unampenda zaidi?

Mwanamke anatangaza mapenzi yake hadharani; wewe nani kusema hadharani unampenda zaidi?

Kweli Dar kuna mambo kwelikweli, kesho nakuja huko kutokea Newala...nikifika nisikose kufika naeneo gani huko Dar ambapo nitapata vionjo vya jiji?
....vianzie safarini kwa kuwa na "korosho" zako ulizopakaa "nipa" kama inavyowekwa "icing sugar" juu ya "cakes"...kidogokidogo unajitafunia....ukifika pale Mbagala R3 nakuja kukupokea tukale bata mlimani city na beach kidimbwi.....

Karibu wanzuki [emoji120]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Kwa sasa mjini daslam na viunga vyake trending story ni Hamisa Mobeto na Mpenziwe mpya kijana mjasiriamali na tajiri raia wa Ufaransa aitwaye Kevin Sowax kama sijakosea jina la baba...sasaa penzi ni la moto uji unaochemka ukasome..so wana matukio mengi mjini hapo daslam mfano wameenda kutoa msaada muhimbili takribani kiasi cha fedha kisichopungua milioni 16 hivii...hayo tuyaache

Sasa kijana wa hovyo Harmonise kaona Hamisa ana trend kuliko yy akaamua ajisweke na yy hapo ili atrend kwanza alianza kwa kuweka picha ya Hamisa kama Profile picture yake kwenye Simu yake...then haijatosha ametunga wimbo wa I want to be your side Nigga kwa Hamisa wimbo ambao alirusha kionjo chake kwny instagram page yake hukoo...

Sasa wadau wamemshukia kuanzia dada wa Taifa Mange na kumpa makavu live kuwa aache shobo za kijinga..mtu ana mpenzi wake kabisa halafu analeta ufala kama huo..
Sio Mange tuu watu kibao wamemponda..yani wamekerekwa na hicho kitendo...

Mmakonde ni kama litoto fulani hivi anataka kumuharibia mwenzie... soooo Hamisa kam unfollow Harmo...
Hyo ndo habari kwa ufupi.
Hahah ahsante sana reporter wetu, umetisha sana.
 
It’s a culture issue (watanzania tuna matatizo), kusema unampenda mwanamke wa mwenzako nchi za wenzetu it’s a very disrespectful situation.

Ni kwa sababu tunaishi Tanzania tu; nchi nyingine utaumizwa.

Halafu kuna watu wanasifia ujinga wa Harmonize; huwezi kumuimbia mapenzi mchumba wa mtu mwingine nchi za wenzetu bila ya kupata migogoro.

Hawa waluga luga Serikali imewalea sana mpaka kujiona watu muhimu.
Harmonize moja la bumunda la hovyo hovyo sana.
Hii ilijionyesha enzi anamlilia Kajala hadi mbele ya rais eti...baby take me back!!!!
 
Kwa sasa mjini daslam na viunga vyake trending story ni Hamisa Mobeto na Mpenziwe mpya kijana mjasiriamali na tajiri raia wa Ufaransa aitwaye Kevin Sowax kama sijakosea jina la baba...sasaa penzi ni la moto uji unaochemka ukasome..so wana matukio mengi mjini hapo daslam mfano wameenda kutoa msaada muhimbili takribani kiasi cha fedha kisichopungua milioni 16 hivii...hayo tuyaache

Sasa kijana wa hovyo Harmonise kaona Hamisa ana trend kuliko yy akaamua ajisweke na yy hapo ili atrend kwanza alianza kwa kuweka picha ya Hamisa kama Profile picture yake kwenye Simu yake...then haijatosha ametunga wimbo wa I want to be your side Nigga kwa Hamisa wimbo ambao alirusha kionjo chake kwny instagram page yake hukoo...

Sasa wadau wamemshukia kuanzia dada wa Taifa Mange na kumpa makavu live kuwa aache shobo za kijinga..mtu ana mpenzi wake kabisa halafu analeta ufala kama huo..
Sio Mange tuu watu kibao wamemponda..yani wamekerekwa na hicho kitendo...

Mmakonde ni kama litoto fulani hivi anataka kumuharibia mwenzie... soooo Hamisa kam unfollow Harmo...
Hyo ndo habari kwa ufupi.

Sasa mtoa mada ali fail wapi kutuletea taarifa kama hii?[emoji848]

Turudi kwenye mada;harmo atakua na shida sana ya kiki
 
Facts.

Tuna ushamba na ulimbukeni mwingi sana.....

Binafsi demu/mke wa mwingine HANIHUSU na wala sipotezi NGUVU/MAARIFA yangu kwa maongezi yasiyo na maana zaidi ya "salaam" na ule ubinaadamu wa maneno usio na UKAKASI....

Tunahitaji kuanza KUJIAMINI...

Baadhi yetu wanaume HATUNA KUJIAMINI kule kwa "alpha males"....tumeatamia KUJIAMINI kwa "yale ya beta males"[emoji1787][emoji1787]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Sisi wengine tunathamini sana kuwa na marafiki mambo ya kuzoeana na wenzi wao big NoNo No
 
Amemuimbia mchumba wa nani mkuu wengine hatuko instagram?anyway unapoint hata mambo ya kuzoeana na mwanamke wa mtu ni umama et shem nimekumis .mwingine live alinambia bro una pisi kali nilimkata jicho kama la idd amini dada akatulia
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwa sasa mjini daslam na viunga vyake trending story ni Hamisa Mobeto na Mpenziwe mpya kijana mjasiriamali na tajiri raia wa Ufaransa aitwaye Kevin Sowax kama sijakosea jina la baba...sasaa penzi ni la moto uji unaochemka ukasome..so wana matukio mengi mjini hapo daslam mfano wameenda kutoa msaada muhimbili takribani kiasi cha fedha kisichopungua milioni 16 hivii...hayo tuyaache

Sasa kijana wa hovyo Harmonise kaona Hamisa ana trend kuliko yy akaamua ajisweke na yy hapo ili atrend kwanza alianza kwa kuweka picha ya Hamisa kama Profile picture yake kwenye Simu yake...then haijatosha ametunga wimbo wa I want to be your side Nigga kwa Hamisa wimbo ambao alirusha kionjo chake kwny instagram page yake hukoo...

Sasa wadau wamemshukia kuanzia dada wa Taifa Mange na kumpa makavu live kuwa aache shobo za kijinga..mtu ana mpenzi wake kabisa halafu analeta ufala kama huo..
Sio Mange tuu watu kibao wamemponda..yani wamekerekwa na hicho kitendo...

Mmakonde ni kama litoto fulani hivi anataka kumuharibia mwenzie... soooo Hamisa kam unfollow Harmo...
Hyo ndo habari kwa ufupi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa harmo nae wa kumuwazia serious? Hamissa nae kwan kwa Kelvin huyo kwamba atamind? Mmmh

Aache kujistukia Kelvin ni wakee, [emoji23][emoji23][emoji23]
 
....vianzie safarini kwa kuwa na "korosho" zako ulizopakaa "nipa" kama inavyowekwa "icing sugar" juu ya "cakes"...kidogokidogo unajitafunia....ukifika pale Mbagala R3 nakuja kukupokea tukale bata mlimani city na beach kidimbwi.....

Karibu wanzuki [emoji120]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Itabidi nikutafute nikifika hapo mlimani city, make nasikia mambo ya huko kidimbwi na kitambaa cheupe sinza ni moto sana.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa harmo nae wa kumuwazia serious? Hamissa nae kwan kwa Kelvin huyo kwamba atamind? Mmmh

Aache kujistukia Kelvin ni wakee, [emoji23][emoji23][emoji23]
Waja ndo wanashtuka maana penzi la Hamisa ni kama penzi lao...
 
Amemuimbia mchumba wa nani mkuu wengine hatuko instagram?anyway unapoint hata mambo ya kuzoeana na mwanamke wa mtu ni umama et shem nimekumis .mwingine live alinambia bro una pisi kali nilimkata jicho kama la idd amini dada akatulia

Mkuu u make my day
Aisee nimecheka sana peke yangu

Huyo jamaa kweli kavu
Eti una pisi kali
 
Bangi ni kitu mbaya kama huiwezi. Alafu mazoea na wapenzi wa watu sio mazuri. Kiufupi hana jipya anatapatapa ili na yeye awepo kwenye habari
 
Back
Top Bottom