Mkunazi Njiwa
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 8,538
- 7,559
....vianzie safarini kwa kuwa na "korosho" zako ulizopakaa "nipa" kama inavyowekwa "icing sugar" juu ya "cakes"...kidogokidogo unajitafunia....ukifika pale Mbagala R3 nakuja kukupokea tukale bata mlimani city na beach kidimbwi.....Kweli Dar kuna mambo kwelikweli, kesho nakuja huko kutokea Newala...nikifika nisikose kufika naeneo gani huko Dar ambapo nitapata vionjo vya jiji?
Hahah ahsante sana reporter wetu, umetisha sana.Kwa sasa mjini daslam na viunga vyake trending story ni Hamisa Mobeto na Mpenziwe mpya kijana mjasiriamali na tajiri raia wa Ufaransa aitwaye Kevin Sowax kama sijakosea jina la baba...sasaa penzi ni la moto uji unaochemka ukasome..so wana matukio mengi mjini hapo daslam mfano wameenda kutoa msaada muhimbili takribani kiasi cha fedha kisichopungua milioni 16 hivii...hayo tuyaache
Sasa kijana wa hovyo Harmonise kaona Hamisa ana trend kuliko yy akaamua ajisweke na yy hapo ili atrend kwanza alianza kwa kuweka picha ya Hamisa kama Profile picture yake kwenye Simu yake...then haijatosha ametunga wimbo wa I want to be your side Nigga kwa Hamisa wimbo ambao alirusha kionjo chake kwny instagram page yake hukoo...
Sasa wadau wamemshukia kuanzia dada wa Taifa Mange na kumpa makavu live kuwa aache shobo za kijinga..mtu ana mpenzi wake kabisa halafu analeta ufala kama huo..
Sio Mange tuu watu kibao wamemponda..yani wamekerekwa na hicho kitendo...
Mmakonde ni kama litoto fulani hivi anataka kumuharibia mwenzie... soooo Hamisa kam unfollow Harmo...
Hyo ndo habari kwa ufupi.
Harmonize moja la bumunda la hovyo hovyo sana.It’s a culture issue (watanzania tuna matatizo), kusema unampenda mwanamke wa mwenzako nchi za wenzetu it’s a very disrespectful situation.
Ni kwa sababu tunaishi Tanzania tu; nchi nyingine utaumizwa.
Halafu kuna watu wanasifia ujinga wa Harmonize; huwezi kumuimbia mapenzi mchumba wa mtu mwingine nchi za wenzetu bila ya kupata migogoro.
Hawa waluga luga Serikali imewalea sana mpaka kujiona watu muhimu.
Kwa sasa mjini daslam na viunga vyake trending story ni Hamisa Mobeto na Mpenziwe mpya kijana mjasiriamali na tajiri raia wa Ufaransa aitwaye Kevin Sowax kama sijakosea jina la baba...sasaa penzi ni la moto uji unaochemka ukasome..so wana matukio mengi mjini hapo daslam mfano wameenda kutoa msaada muhimbili takribani kiasi cha fedha kisichopungua milioni 16 hivii...hayo tuyaache
Sasa kijana wa hovyo Harmonise kaona Hamisa ana trend kuliko yy akaamua ajisweke na yy hapo ili atrend kwanza alianza kwa kuweka picha ya Hamisa kama Profile picture yake kwenye Simu yake...then haijatosha ametunga wimbo wa I want to be your side Nigga kwa Hamisa wimbo ambao alirusha kionjo chake kwny instagram page yake hukoo...
Sasa wadau wamemshukia kuanzia dada wa Taifa Mange na kumpa makavu live kuwa aache shobo za kijinga..mtu ana mpenzi wake kabisa halafu analeta ufala kama huo..
Sio Mange tuu watu kibao wamemponda..yani wamekerekwa na hicho kitendo...
Mmakonde ni kama litoto fulani hivi anataka kumuharibia mwenzie... soooo Hamisa kam unfollow Harmo...
Hyo ndo habari kwa ufupi.
Sisi wengine tunathamini sana kuwa na marafiki mambo ya kuzoeana na wenzi wao big NoNo NoFacts.
Tuna ushamba na ulimbukeni mwingi sana.....
Binafsi demu/mke wa mwingine HANIHUSU na wala sipotezi NGUVU/MAARIFA yangu kwa maongezi yasiyo na maana zaidi ya "salaam" na ule ubinaadamu wa maneno usio na UKAKASI....
Tunahitaji kuanza KUJIAMINI...
Baadhi yetu wanaume HATUNA KUJIAMINI kule kwa "alpha males"....tumeatamia KUJIAMINI kwa "yale ya beta males"[emoji1787][emoji1787]
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Amemuimbia mchumba wa nani mkuu wengine hatuko instagram?anyway unapoint hata mambo ya kuzoeana na mwanamke wa mtu ni umama et shem nimekumis .mwingine live alinambia bro una pisi kali nilimkata jicho kama la idd amini dada akatulia
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa harmo nae wa kumuwazia serious? Hamissa nae kwan kwa Kelvin huyo kwamba atamind? MmmhKwa sasa mjini daslam na viunga vyake trending story ni Hamisa Mobeto na Mpenziwe mpya kijana mjasiriamali na tajiri raia wa Ufaransa aitwaye Kevin Sowax kama sijakosea jina la baba...sasaa penzi ni la moto uji unaochemka ukasome..so wana matukio mengi mjini hapo daslam mfano wameenda kutoa msaada muhimbili takribani kiasi cha fedha kisichopungua milioni 16 hivii...hayo tuyaache
Sasa kijana wa hovyo Harmonise kaona Hamisa ana trend kuliko yy akaamua ajisweke na yy hapo ili atrend kwanza alianza kwa kuweka picha ya Hamisa kama Profile picture yake kwenye Simu yake...then haijatosha ametunga wimbo wa I want to be your side Nigga kwa Hamisa wimbo ambao alirusha kionjo chake kwny instagram page yake hukoo...
Sasa wadau wamemshukia kuanzia dada wa Taifa Mange na kumpa makavu live kuwa aache shobo za kijinga..mtu ana mpenzi wake kabisa halafu analeta ufala kama huo..
Sio Mange tuu watu kibao wamemponda..yani wamekerekwa na hicho kitendo...
Mmakonde ni kama litoto fulani hivi anataka kumuharibia mwenzie... soooo Hamisa kam unfollow Harmo...
Hyo ndo habari kwa ufupi.
Itabidi nikutafute nikifika hapo mlimani city, make nasikia mambo ya huko kidimbwi na kitambaa cheupe sinza ni moto sana.....vianzie safarini kwa kuwa na "korosho" zako ulizopakaa "nipa" kama inavyowekwa "icing sugar" juu ya "cakes"...kidogokidogo unajitafunia....ukifika pale Mbagala R3 nakuja kukupokea tukale bata mlimani city na beach kidimbwi.....
Karibu wanzuki [emoji120]
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Unawezakuta Harmonize na Hamisa walikubaliana watoke kwa kiki ya style gani (lao 1) afu Hadhira mkawa mnachezeshwa tu mziki msioujua mdundo wake ukoje [emoji124]Nlikua najua Dar salama hakuna washamba , Harmonize akani prove wrong
[emoji106][emoji2956][emoji7][emoji109]Sisi wengine tunathamini sana kuwa na marafiki mambo ya kuzoeana na wenzi wao big NoNo No
[emoji1787]Nlikua najua Dar salama hakuna washamba , Harmonize akani prove wrong
[emoji1787][emoji1787]Itabidi nikutafute nikifika hapo mlimani city, make nasikia mambo ya huko kidimbwi na kitambaa cheupe sinza ni moto sana.
Waja ndo wanashtuka maana penzi la Hamisa ni kama penzi lao...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa harmo nae wa kumuwazia serious? Hamissa nae kwan kwa Kelvin huyo kwamba atamind? Mmmh
Aache kujistukia Kelvin ni wakee, [emoji23][emoji23][emoji23]
Yani anapenda kiki mpk sio salama tena kwa afya yake...Sasa mtoa mada ali fail wapi kutuletea taarifa kama hii?[emoji848]
Turudi kwenye mada;harmo atakua na shida sana ya kiki
Amemuimbia mchumba wa nani mkuu wengine hatuko instagram?anyway unapoint hata mambo ya kuzoeana na mwanamke wa mtu ni umama et shem nimekumis .mwingine live alinambia bro una pisi kali nilimkata jicho kama la idd amini dada akatulia
Badae et akaomba msamaha hata sikumjibu .japo ni mshikaj wangu sana ila jingaMkuu u make my day
Aisee nimecheka sana peke yangu
Huyo jamaa kweli kavu
Eti una pisi kali