Punguza jazba mtani. Hebu tabasam basi kidogo ππKweli anaboa mnoo..ni upumbavu wa kiwango cha reli...
Duh kumbe! Kwa style hyo jamaa konde boy kweli anafeliKwa sasa mjini daslam na viunga vyake trending story ni Hamisa Mobeto na Mpenziwe mpya kijana mjasiriamali na tajiri raia wa Ufaransa aitwaye Kevin Sowax kama sijakosea jina la baba...sasaa penzi ni la moto uji unaochemka ukasome..so wana matukio mengi mjini hapo daslam mfano wameenda kutoa msaada muhimbili takribani kiasi cha fedha kisichopungua milioni 16 hivii...hayo tuyaache
Sasa kijana wa hovyo Harmonise kaona Hamisa ana trend kuliko yy akaamua ajisweke na yy hapo ili atrend kwanza alianza kwa kuweka picha ya Hamisa kama Profile picture yake kwenye Simu yake...then haijatosha ametunga wimbo wa I want to be your side Nigga kwa Hamisa wimbo ambao alirusha kionjo chake kwny instagram page yake hukoo...
Sasa wadau wamemshukia kuanzia dada wa Taifa Mange na kumpa makavu live kuwa aache shobo za kijinga..mtu ana mpenzi wake kabisa halafu analeta ufala kama huo..
Sio Mange tuu watu kibao wamemponda..yani wamekerekwa na hicho kitendo...
Mmakonde ni kama litoto fulani hivi anataka kumuharibia mwenzie... soooo Hamisa kam unfollow Harmo...
Hyo ndo habari kwa ufupi.
Shukrani mdada. Dah yaani umeeleza vizuri mwanzo tulikua tunajua mtoa mada kavurugwaKwa sasa mjini daslam na viunga vyake trending story ni Hamisa Mobeto na Mpenziwe mpya kijana mjasiriamali na tajiri raia wa Ufaransa aitwaye Kevin Sowax kama sijakosea jina la baba...sasaa penzi ni la moto uji unaochemka ukasome..so wana matukio mengi mjini hapo daslam mfano wameenda kutoa msaada muhimbili takribani kiasi cha fedha kisichopungua milioni 16 hivii...hayo tuyaache
Sasa kijana wa hovyo Harmonise kaona Hamisa ana trend kuliko yy akaamua ajisweke na yy hapo ili atrend kwanza alianza kwa kuweka picha ya Hamisa kama Profile picture yake kwenye Simu yake...then haijatosha ametunga wimbo wa I want to be your side Nigga kwa Hamisa wimbo ambao alirusha kionjo chake kwny instagram page yake hukoo...
Sasa wadau wamemshukia kuanzia dada wa Taifa Mange na kumpa makavu live kuwa aache shobo za kijinga..mtu ana mpenzi wake kabisa halafu analeta ufala kama huo..
Sio Mange tuu watu kibao wamemponda..yani wamekerekwa na hicho kitendo...
Mmakonde ni kama litoto fulani hivi anataka kumuharibia mwenzie... soooo Hamisa kam unfollow Harmo...
Hyo ndo habari kwa ufupi.
Wamefungua code aiseeKuna nini huko daslam wakuu??
Pamoja mkaka...Shukrani mdada. Dah yaani umeeleza vizuri mwanzo tulikua tunajua mtoa mada kavurugwa
Nimetabasamu mtani ππππPunguza jazba mtani. Hebu tabasam basi kidogo ππ
Nice, hivyo ndivyo wapaswa uwe. βΊοΈNimetabasamu mtani ππππ
Basi unadhani mtani nilinuna basii? labda maandishi ndo yalinunaaa... π€£Nice, hivyo ndivyo wapaswa uwe. βΊοΈ
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] missa atulie, ila mie napenda wafike mbali, ili bibi cheka aone wivuu mfyuu zake.Waja ndo wanashtuka maana penzi la Hamisa ni kama penzi lao...
Umeeleza vizuri ila mtafungwa, konde kazinguaKwa sasa mjini daslam na viunga vyake trending story ni Hamisa Mobeto na Mpenziwe mpya kijana mjasiriamali na tajiri raia wa Ufaransa aitwaye Kevin Sowax kama sijakosea jina la baba...sasaa penzi ni la moto uji unaochemka ukasome..so wana matukio mengi mjini hapo daslam mfano wameenda kutoa msaada muhimbili takribani kiasi cha fedha kisichopungua milioni 16 hivii...hayo tuyaache
Sasa kijana wa hovyo Harmonise kaona Hamisa ana trend kuliko yy akaamua ajisweke na yy hapo ili atrend kwanza alianza kwa kuweka picha ya Hamisa kama Profile picture yake kwenye Simu yake...then haijatosha ametunga wimbo wa I want to be your side Nigga kwa Hamisa wimbo ambao alirusha kionjo chake kwny instagram page yake hukoo...
Sasa wadau wamemshukia kuanzia dada wa Taifa Mange na kumpa makavu live kuwa aache shobo za kijinga..mtu ana mpenzi wake kabisa halafu analeta ufala kama huo..
Sio Mange tuu watu kibao wamemponda..yani wamekerekwa na hicho kitendo...
Mmakonde ni kama litoto fulani hivi anataka kumuharibia mwenzie... soooo Hamisa kam unfollow Harmo...
Hyo ndo habari kwa ufupi.
Bandari imeuzwaKuna nini huko daslam wakuu??
Tutafungwaje?Umeeleza vizuri ila mtafungwa, konde kazingua
Kwamba ujui mtafungwaje na mwarabuTutafungwaje?
Hahaa wamepoa kama uji[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] missa atulie, ila mie napenda wafike mbali, ili bibi cheka aone wivuu mfyuu zake.
Sijui kibenteni wake kamficha wapi, hata hatumsikii. Woiiiih
Sababu huku wwnawanawake hawana maji kama wa huko haya landJe huko daslama watu mnapataje muda wakufatilia Maisha ya watu
Ulizia mtaa wa Instagram pale kwa Mtogole.Kweli Dar kuna mambo kwelikweli, kesho nakuja huko kutokea Newala...nikifika nisikose kufika naeneo gani huko Dar ambapo nitapata vionjo vya jiji?