Mwanamke anatangaza mapenzi yake hadharani; wewe nani kusema hadharani unampenda zaidi?

Kweli Dar kuna mambo kwelikweli, kesho nakuja huko kutokea Newala...nikifika nisikose kufika naeneo gani huko Dar ambapo nitapata vionjo vya jiji?
Mazense, Tandale kwa Bibi Nyau, Buza na River Side maeneo ya sheli ya Gudo hasa usiku uta enjoy sana
 
Wabongo Kwa Akili kama punje za Mchele,huyo Hamisa na Hamonaizi wote ni wapenda kiki za kipuuzi na mastermind wa kiki zao ni mwijaku,elewa tu bongo msanii akikwambia ni usiku Toka nje uangalie
 
Kwani huyo hamida lazima mahusiano yake yawe public au Mimi ndio mshamba
 
Harmonize ndo nani na anafanya shughuli gani?
 
Kweli anaboa mnoo..ni upumbavu wa kiwango cha reli...
Dah! Kama mambo yenyewe ndiyo haya, basi na mimi bora niahirishe tu hili zoezi langu. Nilikuwa najifua studio za Wagosi wa Kaya huku Tanga, kwa lengo la kukutungia wimbo eti!
 
Dah! Kama mambo yenyewe ndiyo haya, basi na mimi bora niahirishe tu hili zoezi langu. Nilikuwa najifua studio za Wagosi wa Kaya huku Tanga, kwa lengo la kukutungia wimbo eti!
Yani nimechekaaaa mnoo...mtani ungeniona meno yotr nje..japo mnatusemaaaaaaaa kama tumepigwa bwana..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…