Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 38,657
- 44,759
Hapa waliingia contract😂 🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapa waliingia contract😂 🤣
Ugwadu ukizidi akili uhama toka kichwani na kuhamia chini.Mtu anaweza fanya chochote.Nasikia hayo hutokea sana shule za wasichana watupu!🙄
We ni mwanaume kweli?Hii ni ngumu sana kutafsiri kwasababu ukidindisha maana yake tayari umeridhia tendo.
Ina maana hapo ushirikiano unahusika?Halafu katika hali ya kubakwa ambako kuna wasiwasi mwingi dushe inasimamaje?😂😂😂Mwanaume anaishiwaje nguvu akashindwa kujinusuru
😀 😂 🤣Halafu katika hali ya kubakwa ambako kuna wasiwasi mwingi dushe inasimamaje?😂😂
Iangalie vizuri hiyo video na usikie kwa makini, dada anasema alimleleka jamaa kwa Mpalange bila jamaa kujua. Huu ni ubakaji, jamaa hakuridhiaHapa waliingia contract😂 🤣
Achana na story za kijiweni hizo. Mwanamme kwenye sex kuna limit. Kama walimuua basi walimuua kwa njia nyingine lakini siyo kwa kumbaka.Niliwahi kusikia, mkoa flani kwenye shule ya bweni ya wasichana walimbaka mlinzi mpaka kufa.
You are totaly wrong dear. Mwanamke anaweza kumshawishi mvulana underage asiyejua chochote na akafanya naye mapenzi. Huko ni kubaka. Halafu kubaka siyo lazima mwanamme sex organ yake iwe tayari kwa shughuli. Hata mwanamke akisababisha friction itokee kwenye sex organs za kwake na mwanaume kwa lazima hii ni kubaka.Sheria ya nchi yetu inamtambua Mwanaume tu kuwa ndiye anaweza kubaka. Tendon la kubaka ni lazima mwanaume amuingilie mwanamke kwa nguvu na si mwanamke kwa mwanaume
Kwa hicho alichokifanya hastahili kabisa kuitwa dada 😂dada anasema alimleleka jamaa kwa Mpalange bila jamaa kujua. Huu ni ubakaji, jamaa hakuridhia
NYAHUNIKwa hicho alichokifanya hastahili kabisa kuitwa dada 😂
Kabisa bingwa. Hii story ni ya zamani sana ni uongo mtupu.Hizo ni stori tu na kila shule ya bweni ya wasichana ina stori hizo za uongo...mara walimbaka muuza karanga, mara mlinzi, mara babu mpishi, mara dereva, mara mpita njia n.k
Nipe mimi uyo mwanamke mkuu, mwaka wa saba huu unaenda nipo single.Ni ngumu kuamini ila ndo ilivyonitokea, siwezi danganya. Na alinivizia hivyo zaidi ya mara moja. Nilimuambia brother nae hakuamini akasema namsingizia huyo mwanamke na kweli nilikuwa simpendi toka moyoni hadi leo simpendi ila ananing'ang'ania balaa!
Vipi ulimkatalia au ulimwambia jisevie mama yote ya kwakoIpo kabisa wakuu. Nimewahi lala na mwanamke mmoja sikuwa nampenda kivileee. Ikatokea akawa anataka tufanye tendo nikakataa. Basi usingizi mzito ukanipitia. Baada ya masaa kadhaa nikaanza kuota km niko nafanya tendo na mwanamke.
Baadae nikashituka usingizini nakuta yule mdada amenikalia kwa juu akiendelea kufanya. Nilikuwa km sjielewi elewi hivi!Nadhani alinichezea nikiwa nmesinzia hadi uume ukasimama.Haya mambo yapo sana hasa kwenye ndoa omba yasikukute.
Hii kaliSiku zote tren inagongwa huwa haingongi
Hii ilinitokea siku moja nikiwa kwenye sindano za malaria.Kweli mkuu kuna baadhi ya wanawake wanadai mechi kwa nguvu ukikataa anaanzisha zogo eti umefanya kwa hawala yako.Jamani!!! Mi mwanamke mingine kero aiseeeee!
Mkuu inawezekana, hususani Kama mwanamke huyo Ana mamlaka au uwezo wa kukutushia maisha yako. Mfano Kama anaweza kukufukuza kazi, au kutoa taarifa zako za siri azijuazo kwa wanausalama, endapo utakataa kulala naye. Katika mazingira hayo ukifanya bila kupendezwa anakuwa amebaka.Ni jambo limetustaajabisha wengi muda mfupi uliopita usiku huu
Hii ni baada ya kusikia Kijana mmoja Bodaboda amelazimishwa kufanya mapenzi na Landlord wake ambaye ni mjane kwa miaka kadhaa
Kijana anasema Mama huyo aliingia chumbani kwake na kufunga mlango na kisha kumtight.