Mwanamke anaweza kumbaka mwanaume?

Mwanamke anaweza kumbaka mwanaume?

Kwa sheria ya tanzania mwanamke anaweza kumbaka mwanamke mwenzake tuu kwa mujibu wa kifungu cha 131A cha kanuni ya adhabu ( penal code) kikisomwa pamoja na kifungu cha 22 cha kanuni ya adhabu.
ndo maana naipenda tz ubakaji free zone
 
Weeeeh!! Kumbe akina chief mko wengi, basi nitakubaka tena.
Ila nyege zenu za kike ni hatari sana...... Mtu unabakwa hivi hivi halafu huwezi kusema....... btw tukio lilikuja na faida zake..... KE akiwa high naweza kutambua kwa kiasi fulani,..... Na malipizi nafanyia hapo hapo.
 
Hivi mwanaume anaweza kubakwa na mwanamke?

Mi nauliza kwa sababu mwanaume ili aweze kufanya kazi ile lazima dushe lisimame, na kusimama kwa dushe inategemeana na hisia,.

Point yangu ni kwamba huo wakati wa kubakwa na mwanamke huyo mwanaume hisia anatoa wapi.

Majibu yenu wana JF mnijuze.

74ad566920da556f3f9fe6a2b7502554.jpg
Nadhani kama walivyo sema wengine inawezekana kabisa. Si kila wakati mwanaume anahitaji hisia, kwa mfano jichunguze unapoamka asubuhi kama ni mwanaume.

Pia inaweza ikatokana na involuntary actions ambazo ni man made. Mfano mwanaume anaweza wekewa madawa ya kulevya na kisha kupitiwa na usingizi lakini wakati huo huo akapewa madawa ya kuongeza nguvu kama viagra.

So kwa mtazamo ni jambo linawezekana kabisa mkuu. Na definition ya kubaka ni kufanya mapenzi na mtu bila ridhaa yake.
 
Ila nyege zenu za kike ni hatari sana...... Mtu unabakwa hivi hivi halafu huwezi kusema....... btw tukio lilikuja na faida zake..... KE akiwa high naweza kutambua kwa kiasi fulani,..... Na malipizi nafanyia hapo hapo.
Mmmmh!! Hivi kweli huwa mnabakwa au mnatusingizia tu jamani!!
 
Mmmmh!! Hivi kweli huwa mnabakwa au mnatusingizia tu jamani!!
Ndo maana nikasema wacha watu wafe na tai zao shingoni..... Ukikutwa unaeleza shtaka kama hilo watu watakushangaa balaa.
 
Nadhani kama walivyo sema wengine inawezekana kabisa. Si kila wakati mwanaume anahitaji hisia, kwa mfano jichunguze unapoamka asubuhi kama ni mwanaume.

Pia inaweza ikatokana na involuntary actions ambazo ni man made. Mfano mwanaume anaweza wekewa madawa ya kulevya na kisha kupitiwa na usingizi lakini wakati huo huo akapewa madawa ya kuongeza nguvu kama viagra.

So kwa mtazamo ni jambo linawezekana kabisa mkuu. Na definition ya kubaka ni kufanya mapenzi na mtu bila ridhaa yake.
Nimekumbuka kuna uzi uliletwa humu uliokuwa unahusiana na utafiti unaoonyesha kuwa wanawake wengi walio ndoani wanabakwa na waume zao.
 
Kwahiyo mwanamke akimbaka mwanaume hakuna kesi?
Neno lenyewe ama kosa la " ubakaji' haliwezekaniki kutedwa na mwanamke dhidi ya mwanaume kisheria kwa sababu sheria yetu haijalifanya kuwa kosa , ni kitedo kibaya sana kwenye jamii ni immoral na kisheria makosa yote ya jinai ni immoral lakini sii immoral zote ni makosa ya jinai.
 
Neno lenyewe ama kosa la " ubakaji' haliwezekaniki kutedwa na mwanamke dhidi ya mwanaume kisheria kwa sababu sheria yetu haijalifanya kuwa kosa , ni kitedo kibaya sana kwenye jamii ni immoral na kisheria makosa yote ya jinai ni immoral lakini sii immoral zote ni makosa ya jinai.
Afadhali,basi acha tuwabake tu maana hamna kesi.
 
Wakat niko darasa la kwanza, kuna mdada mkubwa kishenz jirani na home kwetu... Cjui alishikwa na Nyegge cku hiyo akataka kunibaka.
Akanizuga zuga nikamfata mpaka chumban kwake, akashikashika ka Dushe kangu alipoona kamesimama akaingiza kwenye kitumbua chake.
Akajaribu kukata kiuno kidudu kikachomoka pyuuuu!!!
Nadhani MBUNYE yake ilikua kubwa sana, kiasi kwamba kidudu changu kikawa kinaelea.
Zoezi likawa halikufanikiwa. Nikavaa kaptura yangu nikarudi home kwa bibi.

[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG]
La kwanza?
 
Kumbe urijali wa mwanamke unapimwa kwa ubakaji!![emoji134] [emoji134]
Basi mimi sio rijali.
Siyo lazima awe mbakaji lakini Si unajua,...... Mtawafahamu kwa matendo yao......
 
Mwanamke anawezaje kumbaka mwanaume?

Nyenzo ya mwanaume itafanyaje kazi katika mazingira kama hayo ya kubakwa?
 
mwanamke akifanya mapenzi na kijana aliye na umri wa chini ya miaka 18, tendo hilo litaitwa ni ubakaji.
 
Back
Top Bottom