Mwanamke anaweza kumbaka mwanaume?

Mwanamke anaweza kumbaka mwanaume?

na je,kama mwanamke kakurubuni kwa kuchezea sehemu zake nawe uko nae coz sexual ni hisia,then ukashawishika out mind,apo law in define vip?

Issue ni kwamba umekubali lakini sheria inavyosema hata kama mtu amekubali mwanzo lakini katikati ya tendo akisema sitaki inabidi uache..ukiendelea itakuwa rape..., (lakini kwa mwanaume huwezi ukasema ulisema sitaki wakati uume wako unasema nataka)
 
According to Tanzanian Penal Code Cap16 a woman cannot rape under Tanzanian law as the offence requires two elements which are lack of consent and penetration. So since a woman cannot literary penetrate the man, it make it impossible for a woman to be charged.

However, a woman can be charged as an accessory before or after the fact on rape, this can happen if the woman assists or procures another person to commit offence of rape. Therefore the only instance when a woman can be charged is where she assist a man to rape another woman.
 
Mara kadhaa nimesikia kwenye redio na kusoma kwenye magazeti kuwa mwanamke fulani amembaka mtoto wa kiume. Habari za aina hii huwa nazitafakari kwa kina kujaribu kuona practicability yake. Navyofahamu neno KUBAKA linamaanisha mtu kulazimishwa kufanya ngono bila ridhaa yake. Sasa kwa upande wa mwanaume kama kweli amelazimishwa inawezekanaje mtaimbo usimame na shughuli ifanyike na kukamilika bila ridhaa yake!!! Kwa mwanamke, hiyo inawezekana kwamba jamaa anaweza akamwingilia na kumaliza tendo bila yeye kutaka wala kujisikia. Kwa sisi wanaume lazima 'jamaa' aamke na kusimama kabisa ndipo tendo lifanyike. Kwa hiyo, mimi binafsi sidhani kama ni sahihi kusema mwanaume amebakwa.
 
Ni kweli, Mwanaume anaweza sana kubakwa na mwanamke.
Mwanamke anaweza kumfanya mbwembwe za kumsimamisha mtalimbo wa huyo jamaa na kujisevia kiulaini.
 
tafuta kuna post hilo lilitoke siku za nyuma maeneo ya afrika ya kati kama sikosei..
 
Mara kadhaa nimesikia kwenye redio na kusoma kwenye magazeti kuwa mwanamke fulani amembaka mtoto wa kiume. Habari za aina hii huwa nazitafakari kwa kina kujaribu kuona practicability yake. Navyofahamu neno KUBAKA linamaanisha mtu kulazimishwa kufanya ngono bila ridhaa yake. Sasa kwa upande wa mwanaume kama kweli amelazimishwa inawezekanaje mtaimbo usimame na shughuli ifanyike na kukamilika bila ridhaa yake!!! Kwa mwanamke, hiyo inawezekana kwamba jamaa anaweza akamwingilia na kumaliza tendo bila yeye kutaka wala kujisikia. Kwa sisi wanaume lazima 'jamaa' aamke na kusimama kabisa ndipo tendo lifanyike. Kwa hiyo, mimi binafsi sidhani kama ni sahihi kusema mwanaume amebakwa.

Hizo uzisikiazo nyingi huwa ni case za statutory rape na si forcible rape.
 
Ni kweli, Mwanaume anaweza sana kubakwa na mwanamke.
Mwanamke anaweza kumfanya mbwembwe za kumsimamisha mtalimbo wa huyo jamaa na kujisevia kiulaini.
Kama mwanamke atafanya mbwembwe zake na kumwamsha jamaa kiasi cha kumudu mchezo mpaka dakika 90 basi huyo hajabakwa bali amelainishwa tu mpaka akaingia LINE mwenyewe.
 
Hizo uzisikiazo nyingi huwa ni case za statutory rape na si forcible rape.
Nakubaliana na mchango wako lakini neno RAPE nadhani ni kali mno ikilinganishwa ba tukio lenyewe. Ninachotaka kusema hapa ni kwamba mwanamke anaweza kutumia mbinu zozote zilizo ndani ya uwezo wake ili kumshawishi 'mwanaume' aamke. Wakati wa tendo sidhani kana inakuwa ni ubakaji tena. Inawezekana kisheria imewekwa hivyo ili kuzuia kabisa matukio ya aina hiyo lakini in reallity hainiingii akilini kusikia mwanamme amebakwa.
 
Nakubaliana na mchango wako lakini neno RAPE nadhani ni kali mno ikilinganishwa ba tukio lenyewe. Ninachotaka kusema hapa ni kwamba mwanamke anaweza kutumia mbinu zozote zilizo ndani ya uwezo wake ili kumshawishi 'mwanaume' aamke. Wakati wa tendo sidhani kana inakuwa ni ubakaji tena. Inawezekana kisheria imewekwa hivyo ili kuzuia kabisa matukio ya aina hiyo lakini in reallity hainiingii akilini kusikia mwanamme amebakwa.

Kimaumbile haiwezekani kwa mwanamke kumbaka mwanamme.
 
kwa sheria za tanzania mwanamme zaidi ya miaka 18 hawezi bakwa sababu kijiti kinasimama chenyewe.

Kwa under 18, hiyo ni ubakaji na anashtakiwa na jamhuri

hata kwa mwanamke ubakaji ni hadi wahakiki kulikuwa na penetration kama ni above 18.
 
kwa sheria za tanzania mwanamme zaidi ya miaka 18 hawezi bakwa sababu kijiti kinasimama chenyewe.

Kwa under 18, hiyo ni ubakaji na anashtakiwa pna jamhuri

hata kwa mwanamke ubakaji ni hadi wahakiki kulikuwa na penetration kama ni above 18.
Kielelezo gani kitaonyesha kuwa PENETRATION ilikuwepo manake below 18yrs hata RISASI hazitoki?
 
Ni kweli, Mwanaume anaweza sana kubakwa na mwanamke.
Mwanamke anaweza kumfanya mbwembwe za kumsimamisha mtalimbo wa huyo jamaa na kujisevia kiulaini.

Hata mwanamke asipofanya bwembwe akikuvulia tu nguo!! hata kama hutaki kufirigisa mzee kipala ameshanyanyuka utasema inasens kw BLUETOOTH!!
 
Zimbabwe ilitokea. Wanawake wawili walimpa lift kijana wakampeleka kwao wakamwekea viagra kwenye kinywaji bila ridhaa yake halafu wakamshughulikia!
 
Wanabakwa tu hawa tena huku wamefungwa pingu mikononi.
 
Back
Top Bottom