Mwanamke anayechepuka ni hatari kwa uhai wa mume wake kuliko hata wauaji wa kutumia silaha

Hata sisi tukichepuka bado tunakuwa na mapenzi nanyi jamani, ndio maana huwa hatuhamii kwa michepuko na watoto tukizaa mnalea nyie waume zetu. Ikijulikana basi mtusamehe tu tuendelee kusongesha maisha.
mkuu, siwezi kulea mtoto wa jamaa mwingine labda awe yatima or anahitaji msaada hapo sawa. ila hii ya kuchepuka ukaja na mimba juu, RISASI zitakuhusu sana
 
It is damn true!!..........Am wishing you so much likes for your fantastic facts!!
 
umenena kweli japo sijaoa, nnayo yaona ni uthibitisho tosha.
 
mkuu, siwezi kulea mtoto wa jamaa mwingine labda awe yatima or anahitaji msaada hapo sawa. ila hii ya kuchepuka ukaja na mimba juu, RISASI zitakuhusu sana
Usijali mkuu, hautojua.
 
Wew [HASHTAG]#espy[/HASHTAG] inaelekea kiwembe wew, ila be careful jamaa akitambua hatoku trust again, all in all both tuwe na hofu ya Mungu, na kila mtu ajitaid ku'play part yake ili ibilisi hakose nafac
Jamaa yangu ana hofu ya Mungu mkuu, hachepuki. Lucky me.
 
Ah! Haya, sawa,ila inafanana na kaukweli fulani hivi!
 
Nitajua tu. watoto wote nimewapima kwa DNA test tangia wakiwa 6month old. siwezi kudanganywa na haitotokea nidanganywe
Mkemia mkuu sio mjing kama unavyodhani, sasa nyie hna migogoro yoyote unategemea akwambie watoto sio wako kweli!!!
Hiyo ndoa yako nayo kiboko mkuu, watoto unapima DNA kabisa!!! Imbombo ngafu.
 
Mkemia mkuu sio mjing kama unavyodhani, sasa nyie hna migogoro yoyote unategemea akwambie watoto sio wako kweli!!!
Hiyo ndoa yako nayo kiboko mkuu, watoto unapima DNA kabisa!!! Imbombo ngafu.
mkuu, siwezi kupimia DNA bongo na hata ningekuwa Bongo siwezi trust mkemia huyo. issue inafanyiwa south afrika, Ujerumani or marekani, na mama haitotokea ajue abadani. mkuu, siyo rahisi kuuziwa mbuzi kwa gunia. ndoa yangu iko poa, nina watoto ni watu wazima sasa...
 
Ndoa yako iko poa huku unapima watoto!! Haya bwana.
 
mke akichepuka hugeuka nyoka mwenye sumu kali kuliko kobra. Ukigundua na kuthibitisha mkeo kachepuka unatakiwa kutoa taraka siku hiyo hiyo tena usilale naye kitanda kimoja wala usile chakula chake ama maji yake atakayokuandalia. Ni ukweli mchungu.
Mkuu upo kwenye ndoa kweli!??? Kama haupo ingia kwanza ndan ya ndoa ndipo utaona balaa lake
 
Ndoa yako iko poa huku unapima watoto!! Haya bwana.
tunawapima just in case...! cheating ni nyingi kwenye jamii na huwezi jua nani mkweli na nani mwongo. ndoa ni mkataba, na wakati wowote mkataba huo unaweza kufika ukomo na ukaenda kubembea na men wengine, and the same applies to men. bora nijue Damu halisi ya prof...na si vinginevyo! I had a friend, alikuwa na demu wake anasoma chuo na alimpenda sana na alimpa good time sana. ikabidi afunge naye ndoa huku akiwa na mimba. kumbe hiyo mimba ni ya jamaa mwingine. sometimes tunajifunza kutokana na makosa yanayowakuta ndugu na marafiki zetu...
 
Wapime tu, utakipata unachokitafuta mkuu.
 
mke akichepuka hugeuka nyoka mwenye sumu kali kuliko kobra. Ukigundua na kuthibitisha mkeo kachepuka unatakiwa kutoa taraka siku hiyo hiyo tena usilale naye kitanda kimoja wala usile chakula chake ama maji yake atakayokuandalia. Ni ukweli mchungu.
Hasira hiyo kali sana. regulate kidogo mkuu. Ila ni kweli kabisa.
 
Wapime tu, utakipata unachokitafuta mkuu.
[emoji23] [emoji3] [emoji23] [emoji23] imebd nichek..na akikipata asisahau kutujulisha mana anavyosema kwa bwebwe kua anawapima DNA[emoji23] [emoji23] [emoji23] siku atalia kilio cha karne
 
Hilo nalo neno.
 
Mwanaume mfano wa Mungu. Mwanaume ni kichwa cha familia. bado tunalialia.........
 
Wajane ni wengi sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…