Hehehehhehe taratibu basi mamaKwani mwanamke akichepuka anatembea au anafanya mwenyewe.Wanaume bwana wakiamua kujihalalishia udume wao huja n nyuzi Kama hizi.Wewe unafanya Nini mpaka mke wako achepuke?lazima unashida Tena kubwa Sana na Tena Bora ufe Basi kwa sababu umepunguza uwezo was kuitwa mwanamme.Kwendeni huko
Mkuu nipo kwenye ndoa. Kosa la mke kuchepuka ni gumu kuvumilika kwa upande wangu na ninaomba Mwenyezi MUNGU lisitokee na likitokea nisijue.Mkuu upo kwenye ndoa kweli!??? Kama haupo ingia kwanza ndan ya ndoa ndipo utaona balaa lake
Inakuaje pale inapotokea hivyo huku mmezaa watoto kama watatu!??Mkuu nipo kwenye ndoa. Kosa la mke kuchepuka ni gumu kuvumilika kwa upande wangu na ninaomba Mwenyezi MUNGU lisitokee na likitokea nisijue.
Ndoa yako iko poa huku unapima watoto!! Haya bwana.
Muache, anafikiri sifa![emoji23] [emoji3] [emoji23] [emoji23] imebd nichek..na akikipata asisahau kutujulisha mana anavyosema kwa bwebwe kua anawapima DNA[emoji23] [emoji23] [emoji23] siku atalia kilio cha karne
Pimeni tu, ila mkigundua sio wenu kuweni wapole tu mlee masna kitanda hakizai haramu. Mbona wenu huwa tunalea!! Hebu muwe na mioyo ya kupondeka.Huwezi elewa hili kwa kuwa wewe ni mwanamke, nyinyi mmepewa proof ya uhakika na mola kuwa mtoto ni wako, sisi inabidi tuwe na imani tuu, imagine that! Kitu kikubwa kama ku pass DNA yako kwa miaka elfu na elfu ijayo eti uamini tuu maneno ya mke wako, kuwa huyu ni mwanao.
Sisemi kuwa tusiamini wenza wetu lakini, what if? Fedheha ya kuwa mume bwege ni kubwa kuliko lawama. Kwa hiyo mimi namuelewa sana Prof na kila mwanaume wa shoka lazima afanye DNA ya watoto wake, just because!
Mkuu mimi nina hasira mbaya yenye kisasi na huwa inakaa muda mfupi lkn ina tabia ya kujiridiarudia. Kukaa naye ipo siku anaweza akaniudhi kwa jambo jingine halafu nikapata hasira ya kukumbuka alivochepuka nikamdhuru. Kwa usalama wangu na wake ni bora tukaachana kwa wema japo inauma kutengana but that is the price that should be paid. Mara nyingi mmoja wenu kuchepuka ndani ya ndoa ni kipimo tosha kuwa ndoa hiyo haikuwa na baraka za Mwenyezi MUNGU.Inakuaje pale inapotokea hivyo huku mmezaa watoto kama watatu!??
Mambo mengine Mungu na atuepushie mbali
Mumeakichepuka hata pesa yake usipokee mfungashienguo zake azikutemlangon arudi kwa mchepukomke akichepuka hugeuka nyoka mwenye sumu kali kuliko kobra. Ukigundua na kuthibitisha mkeo kachepuka unatakiwa kutoa taraka siku hiyo hiyo tena usilale naye kitanda kimoja wala usile chakula chake ama maji yake atakayokuandalia. Ni ukweli mchungu.
Kuchepuka hadi kuleta mtoto ndani ni dharau ambayo haipaswi kuvumiliwa na mwanamume yeyotePimeni tu, ila mkigundua sio wenu kuweni wapole tu mlee masna kitanda hakizai haramu. Mbona wenu huwa tunalea!! Hebu muwe na mioyo ya kupondeka.
Unaona sasa, tunarudi pale pale kwenye mitazamo tofauti, kwani unafikiri sababu ya kuzaa ni nini? Watoto sio urembo ule wa kufurahia 'how cute they are' ile in investment ya genetic material yako, kama hakuna hiyo investment basi mtoto aende huko huko alikotoka. Tujifunze kwa Simba dume anavyofanya akichukua pride, halei mbegu isiyo yake.Pimeni tu, ila mkigundua sio wenu kuweni wapole tu mlee masna kitanda hakizai haramu. Mbona wenu huwa tunalea!! Hebu muwe na mioyo ya kupondeka.
Kitanda hakizai haramu na wanawake baadhi wamewasitiri waume zao kwa kuzaa nje ya ndoa.Pimeni tu, ila mkigundua sio wenu kuweni wapole tu mlee masna kitanda hakizai haramu. Mbona wenu huwa tunalea!! Hebu muwe na mioyo ya kupondeka.
Hahahaaa!Kitanda hakizai haramu na wanawake baadhi wamewasitiri waume zao kwa kuzaa nje ya ndoa.
Yawezekana mwanaume unamtosheleza mkeo kimapenzi lakini uwezo wa kumpa mimba huna.
Umekaa na ndoa miaka mitano then mke anajaribu nje mara moja tu na mimba hiyo na wewe mume hujui unajua tu Mungu ndiyo ameamua kutuondolea mtihani wa miaka mitano, kumbe ni kazi ya mchepuko hiyo.