Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
- Thread starter
-
- #221
Futa hili andishi haraka sana. Unataka kutuambia na mama yetu wa Taifa hamnazo?? kwa yeye ni mke pili?? wakati dini yake inaruhusu! Unataka kuniambia na mama zetu sisi ambao tumezaliwa katika familia za Kiafrika zenye wake wengi mama zetu hawajitambui??? Unataka kutumbia na bibi zake Yesu walikuwa hawajitambui??? maana Yesu chain yake katokana na mke wa pili au wa tatu kuanzia kisa cha Yuda na Mkwe wake hadi anazaliwa Peresi hadi kuja kwa Daudi kutoka kwa Naomi hadi Sulemani mwana daudi babu yake na Yesu.
Ondoa hili andishi yakhe!
KabisaMakosa ya Watu hata kama ni wakubwa kiasi gani au wanacheo kiasi gani hayageuki kuwa siô Makosa.
Ndgu upo sahihi kabisa.
Kuna shangazi yangu yeye ni muislam na dini yao inamruhusu mumewe kuoa mke mwingine, ila yeye katu hakubaliani na hilo.
Sio kisa dini inaruhusu basi uitumie kumkandamiza mwanamke, nae ni binadamu na ana wivu kama wewe mwanaume.
Hili bandiko ni kweli tupu.
Hutaki kutesa kwa zamu...
Sasa nani mtibeli humu acha ujuaji dogo.Ndîo maana nikasema Watibeli hawafuati Mapokeo ya Dini àmbayo yamelenga kukandamiza HAKI za Watu Fulani na yameandikwa Kwa HISIA, matamanio ya Wanadamu na Wala siô Amri wala Sheria za Mungu
Mzee mwenzangu umeongea sahihi kabisaHuyu jamaa aendelee na watibeli wenzake, sisi tumeamua mke mmoja hajawahi kutosha. Unless unataka usifike 80yrs
Ukisoma hata historia za Mitume wetu kuanzia Abraham, Suleiman hata Muhamadi wote walioa wake zaidi ya mmojaNI Kwa sababu Wanawake walinyimwa Miundombinu ya kujitafutia na kufanya kazi ndîo maana waliolewa kimafungu kama Nyanya. Lakini siô kwamba Walipenda au wanapenda Jambo Hilo.
Ndîo maana wakiolewa Wake Wenza vita Yao Humo ndàni NI kûbwa mno, kulogana, kuuana, na hata Wakati mwingine Mwanaume hûjikuta kwèñye hatari ya kupoteza Maisha.
Kina dronedrake na Liverpool VPN waô wanakataa Ndoa Kwa sababu ya utapeli Mkubwa uliopo humo siô kwamba hawajui umuhimu wa Ndoa.
Eeghh nataka MTU ako serious akuje inbox nitangaze ndoa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]simbilisi
Yaani huo mwendo wa kilomita 1 Kwa Mwaka mara Moja ndiyo unifanye nifie kiunoni Mjukuu, not to that extent 😜Utafia viunoni babu🤣🤣🤣🤣
Kwanza vocha yangu nakudai.
Aaah babu wa mchongo kwisha habari yako.Yaani huo mwendo wa kilomita 1 Kwa Mwaka mara Moja ndiyo unifanye nifie kiunoni Mjukuu, not to that extent 😜
Vocha nilikutumia Jana Mjukuu, kumbe hukuiona
Kuwa na huruma na Wazee 😜Aaah babu wa mchongo kwisha habari yako.
Acha fix we mzee🤣
Dini ni moja tuLazima utaje Ni dini gani ,, 😂kusema dini usifikiri kila mtu Ni dini yako😆