Mwanamke anayejitambua hawezi kuwa Mke wa Pili au mchepuko

Crap kubwa sana hii

You know nothing when it comes to culture
 
Mke wa pili hana shida iwapo dini inaruhusu na taratibu zote zimefatwa.

Ndîo maana nikasema Watibeli hawafuati Mapokeo ya Dini àmbayo yamelenga kukandamiza HAKI za Watu Fulani na yameandikwa Kwa HISIA, matamanio ya Wanadamu na Wala siô Amri wala Sheria za Mungu
 
Ndîo maana nikasema Watibeli hawafuati Mapokeo ya Dini àmbayo yamelenga kukandamiza HAKI za Watu Fulani na yameandikwa Kwa HISIA, matamanio ya Wanadamu na Wala siô Amri wala Sheria za Mungu
Wanafuata sheria za imani ipi zisizo za kidini?
 
Result ya ujinga na umaskini...

Ujinga. Ni pale huyu mwanamke anashindwa kujitambua na kutambua nafasi yake .
Kushindwa kujiuliza kwanini .?

Umaskini. Ni pale jamii yake inamshinikiza kuolewa ili uku nyumbani wapate ahueni.

Hata kwa mchepuko mambo ni hayo hayo tu mawili
 
Crap kubwa sana hii

You know nothing when it comes to culture

Nilichoandika NI culture ya Tibeli Mkûu.
Take easy kama kwèñu culture Yenu NI kuruhusu Bintu zenu kuolewa kimafungu au kuwa michepuko NI ninyi lakini kwetu NI mwiko
Sababu kûbwa NI suala la HAKI na Upendo
Kihaki, siô Haki kufanya Jambo ambalo wewe hutaki kufanyiwa.

Kiupendo, siô Mapenzi na wala siô Upendo WA kwèli Mtu kuwekwa second position. Upendo Siku zote ni namba Moja
 
Sasa kama culture ni ya Tibeli kwa nini umewaandikia watanzania?
 

Umaskini huleta udhalili.
Ûjinga huleta Utumwa hasa kifikra na hata kidini.
MTU anatumia ûjinga wako kuhalalisha kukukandamiza

Mwanamke mjinga anaweza kuambiwa Dini imemtaka aolewe wake wengi naye Bila ku-reason anakubali kichwa kichwa.
 
𝐴𝑙𝑜ℎ! 𝑘𝑢𝑚𝑏𝑒 ℎ𝑢𝑢 𝑚𝑠𝑒𝑚𝑜 𝑢𝑛𝑎 𝑚𝑎𝑎𝑛𝑎 𝑠𝑎𝑛𝑎 (𝑢𝑘𝑖𝑚𝑠𝑖𝑓𝑖𝑎 𝑠𝑎𝑛𝑎 𝑚𝑔𝑒𝑚𝑎 𝑡𝑒𝑚𝑏𝑜 𝑢𝑙𝑖𝑡𝑖𝑎 𝑚𝑎𝑗𝑖) 𝑛𝑑𝑜 ℎ𝑖𝑖 𝑠𝑎𝑠𝑎.
 

Hii NI Kwa Watibeli
Ninyi weñye tamaduni tofauti na Sisi haiwahusu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…