Mwanamke anayejitambua hawezi kuwa Mke wa Pili au mchepuko

unatemaga fact, ila leo tu umeyadavilaah.
 
unatemaga fact, ila leo tu umeyadavilaah
 
Mashudu matupu. Mke wa pili , watatu ama hata wasita sio ulemavu.

Wapo wanawake wapo watano kwa mwanaume mmoja na wamepiga hatua ya maendeleo kuliko huyo pimbi anayejiita mke mmoja mume mmoja wakati wanaishi maisha ya dhiki.
 
unatemaga fact, ila leo tu umeyadavilaah.

Kwa sababu ninyi hamjui Haki NI kitû gàni.
Siku ukijua Haki NI nini na Upendo NI kitû gàni utaelewa ninayoandikaga.
Kwa Sasa utakuwa unakubali nusu Kwa nusu na kukataa nusu Kwa nusu.
 
Kwa sababu ninyi hamjui Haki NI kitû gàni.
Siku ukijua Haki NI nini na Upendo NI kitû gàni utaelewa ninayoandikaga.
Kwa Sasa utakuwa unakubali nusu Kwa nusu na kukataa nusu Kwa nusu.
Kwaiyo we unasapoti ndoa ya mke mmoja au kiaje.
Em nifafanulie
 
Mashudu matupu. Mke wa pili , watatu ama hata wasita sio ulemavu.

Wapo wanawake wapo watano kwa mwanaume mmoja na wamepiga hatua ya maendeleo kuliko huyo pimbi anayejiita mke mmoja mume mmoja wakati wanaishi maisha ya dhiki.

Ndîo maana hamtaki Kuoa Wake waliohuru,weñye uelewa, Kwa sababu hawawezi kukubali ûjinga na kudharauliwa.

KUoa Wake watumwa unaweza Kuoa hata elfu Tano ukitaka NI Hela yako tuu na kuweza kuwahudumia Kwa sababu waô NI wavivu hawawezi kujilisha.

Lakini kamwehata úwe bilionea Namba Moja Dunia Huwezi kumwoa Mwanamke anayejitambua Mke WA pili au kumuolea wake wengi.

Kama wewe usivyokubali Mkeo awe na Mume Mwingine ndivyo hivyohivyo Kwa Mwanamke anayejitambua
 
Hizo ni propaganda.
Hakuna gap la kutisha Baina ya idadi ya Wanaume na Wanawake Duniani
Hata kama uwiano wa me na ke ungekua 1:1, kumbuka anaeoa ni mwanaume. Na sio kila mwanaume yuko tayari kuoa, kwa sababu mbalimbali.

Moja ya sababu ni kwamba, katika jamii ambayo mwanaume ndio anategemewa kutunza familia, na kwa hali ya sasa ya uchumi, ajira nk, kuna idadi kubwa sana ya wanaume (zaidi ya 50%) ambao hawako tayari kubeba majukumu ya familia, hivyo kuamua kutokuoa.

Hii tu peke yake, inafanya idadi ya wanawake wanaotaka kuolewa kuwa kubwa kuliko wanaume wanaotaka kuoa na hivyo kuwaacha wanawake wengi bila wanaume.
 
Kama mpo busy na Sera yenu ya kataa ndoa wacha waolewe tu wake wa pili..
 
Nchi zilizo endelea za Ulaya hakuna sheria za wake 2 ila wanaruhusu ndoa za jinsia moja. Unavyoona ni ujinga kwako wengine wanaona sawa. Kila mtu na aishi maisha ambayo anaona yanampa furaha.
Hamuwezi kuwa sawa watu wote duniani.
 
Inasikitisha sana
Wako wengi sana mbona. Mimi hata huwa sifatiliagi mambo ya watu. Yangu yenyewe yananishinda niwe busy na watu.
Ni machaguo yao. Halafu hamna jipya hapa duniani.
 
mtibeli wanyokwe.wewe mpare unajiita mtibeli. kum er nini wewe mtoto?

ukiwa huna jambo lamaana utuliage acha kujiaibisha hapo mwenyewe hata mke huna au unasapoti upinde tukuchumbie?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…