Mwanamke anayejitambua hawezi kuwa Mke wa Pili au mchepuko

Mwanamke anayejitambua hawezi kuwa Mke wa Pili au mchepuko

MWANAMKE ANAYEJITAMBUA HAWEZI KUWA MCHEPUKO AU MKE WA PILI.

Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli

Binti yàngu, kwetu Watibeli ni mwiko Kwa Binti zetu kuolewa Mke wa Pili au Uke Wenza au Kuwa mchepuko.

Huko ni kutojitambua, kujidhalilisha na dalili ya umaskini na uvivu.

Wewe siô mzuri mpaka úwe Mke WA pili au úwe mchepuko?
Wewe siô mchapakazi na mwenye uwezo wa kujitegemea mpaka úwe Mke WA pili au mchepuko.

Mwanamke mwenye mzuri kwelikweli hawezi kuwa Mchepuko au Mke WA pili. Hakunaga huyo Mwanamke.

Mwanamke anayefanya Kazi na kujitegemea hawezi kuwa Mke WA pili au mchepuko.

Kama nilivyokufunza Binti yàngu, kuwa Sisi Watibeli kufanya Kazi ni Dini. Lazima ufanye Kazi uweze kujitegemea mwenyewe.
Ndoa pia ni Dini lakini haimaanishi úwe Mke wa Pili au mchepuko.

Ukijitegemea Huwezi kuwa Mke WA pili Daima dawamu.

Kitu kizuri huwa chaguo la Kwanza. Kitu kinachopendwa huwa chaguo la Kwanza Binti yàngu. Usikubali kuwa na kuitwa wa ziada au nyongeza. Wewe siô wanyonyeza. Wewe NI wathamani.

Úkiwa mvivu na mwenye kumtegemea Mwanaume, hutaki kufanya Kazi na kujitegemea unavunja utu wako na Kwa hakika Watu watakudharau ikiwemo kuwekwa mchepuko au Mke wa Pili.

Kuolewa Mke WA pili au mchepuko NI kukosa Soko, haiwezeniki Wanawake wenzako Kila Siku wanaolewa na kupata Wanaume waô wènyewe alafu wewe úwe mpàngo wa kando au Mke WA Pili.

Huo ni Mkosi
Huko ni kujichafulia Ñyota yako. Kuizim.

Kuitwa Mke mdogo Binti yàngu siô Sifa Njema. Wewe siô Bi. Mdogo. Nilikuzaa úwe Mke Mkubwa Kwa Mwanaume atakayekupa First priority. Sikukuzaa uitwe Bi. Mdogo au Nyumba ndogo.

Wewes siô Bi. Mdogo.
Nyumba yako Kamwe isiitwe Nyumba ndogo.
Kamwe Usiitwe Mpàngo wa kando au mchepuko. Wewe ni Njia kuu, Mke Mkubwa. Nyumba kûbwa.

Wewe ni Highway, michepuko itoke kwako hiyo siô kesi lakini siô wewe ati úwe mchepuko Kutoka Njia kuu. Huko ni kujidhalilisha. Binti za Tibeli Kamwe na haitokuja kutokea wakawa na sîfa hiyo.

Kwani unaharaka gàni?
Wanaume wa kukuoa wàpo anakimbilia kuwa Mke WA pili au mchepuko ili kushusha hadhi na Ñyota yako Maisha yako yôte Kisa nini?

Fanya Kazi wewe NI Mwanamke unayeweza kujitegemea.

Elewa, Mwanamke mzuri anayefanya Kazi akajitegemea hawezi kuwa Mke WA pili au mchepuko Kwa sababu Wanaume weñye Akili hujua thamani yake na watamuoa akiwa nafasi ya Kwanza.

Fanya Kazi, linda heshima yako na thamani yako kama Mwanamke.

Masuala ya kusema mbona Zamani Bibi zako walikuwa wanaolewa Wake Wenza au Michepuko hiyo ilikuwa Zamani Wakati Wanawake wakiwa watumwa.

Tenà hata hizô Zamani Binti za Tibeli na Wanawake wa Tibeli hawakuwahi kuolewa Mke wa Pili Wala kuwa michepuko.

Hiyo siô desturi ya Wanawake Bora wanaojitambua.
Hilo la Mke WA pili au mchepuko Acha Wengine wafanye lakini siô wewe Binti yàngu. .
Baadhi ya Mapokeo ya Dini àmbayo hayakufuata HAKI Bali yalifuata matamanio ya Wanadamu na matamanio ya waandishi wa Wakati huo usiyafuate.

Mimi Baba yako, na Mama yako ndivyo tulivyokuagiza hayo. Yasikilize maneno yàngu


Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa Sasa Dar es salaam
Kuwa mke wa pili au wa tatu au mpenzi wa mwanaume ambaye hajamuoa (mchepuko) sidhani kama inatokana na uzuri, usomi au kipato. Hapo ndipo unapokosea.
Kwa uzoefu wangu naona kama kuna zaidi ya hayo, ingawa pia kuhitaji support ya kiuchumi linaweza kuwa moja wapo. Kingine ni mapenzi, wanawake kuna kitu zaidi ya hela wanahitaji kwa mwanaume, hivyo akikipata kwa mwanaume anaweza asiangalie mengine yote.
 
Mchepuko ni NOMINO Tu wala haina cha kufanya na Mambo ya mapenzi, mwanamke ambaye yuko tayari kuwa na Mimi, I mean kama mke wa pili, NAOMBA AJE INBOX, nataka ambaye yuko matured sitaki hizi simblisi

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]simbilisi
 
Wanawake wengi nowadays we are educated hii itasaidia kupunguza hayo mahusiano yasiyo na tija.

Yeah!
Yesu alisema Siku ukiujua ukweli utakuwa Huru.
Wanawake ni Moja ya makundi ndàni ya jamii àmbayo yamefungwa kwèñye Mila za uongo na visakale vya kilaghai ili kuwafanya watumwa WA kifikra na kimaumbile.

Mwanamke Huru(mwenye Akili na anayejitambua) hawezi kukubali kuvunja Nyumba ya Mtu au kuwa Mke WA pili huku akijua Mke WA Kwanza hawezi kukubali Jambo Hilo.

Au yeye akijua kuwa kama angekuwa Mke WA Kwanza asingekubali Mke mwenza
 
Kuwa mke wa pili au wa tatu au mpenzi wa mwanaume ambaye hajamuoa (mchepuko) sidhani kama inatokana na uzuri, usomi au kipato. Hapo ndipo unapokosea.
Kwa uzoefu wangu naona kama kuna zaidi ya hayo, ingawa pia kuhitaji support ya kiuchumi linaweza kuwa moja wapo. Kingine ni mapenzi, wanawake kuna kitu zaidi ya hela wanahitaji kwa mwanaume, hivyo akikipata kwa mwanaume anaweza asiangalie mengine yote.

Mwanamke asipokuwa mjinga na akawa na kipato hawezi kuwa Mke WA pili Wala mchepuko.

Wanawake wôte Duniani wanataka Mwanaume WA Pekeake kama Sisi Wanaume tunavyotaka Mke w pekeetu.

Hayo Mengine NI kujaribu kuwa-label kinyume na ukweli
 
MWANAMKE ANAYEJITAMBUA HAWEZI KUWA MCHEPUKO AU MKE WA PILI.

Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli

Binti yàngu, kwetu Watibeli ni mwiko Kwa Binti zetu kuolewa Mke wa Pili au Uke Wenza au Kuwa mchepuko.

Huko ni kutojitambua, kujidhalilisha na dalili ya umaskini na uvivu.

Wewe siô mzuri mpaka úwe Mke WA pili au úwe mchepuko?
Wewe siô mchapakazi na mwenye uwezo wa kujitegemea mpaka úwe Mke WA pili au mchepuko.

Mwanamke mwenye mzuri kwelikweli hawezi kuwa Mchepuko au Mke WA pili. Hakunaga huyo Mwanamke.

Mwanamke anayefanya Kazi na kujitegemea hawezi kuwa Mke WA pili au mchepuko.

Kama nilivyokufunza Binti yàngu, kuwa Sisi Watibeli kufanya Kazi ni Dini. Lazima ufanye Kazi uweze kujitegemea mwenyewe.
Ndoa pia ni Dini lakini haimaanishi úwe Mke wa Pili au mchepuko.

Ukijitegemea Huwezi kuwa Mke WA pili Daima dawamu.

Kitu kizuri huwa chaguo la Kwanza. Kitu kinachopendwa huwa chaguo la Kwanza Binti yàngu. Usikubali kuwa na kuitwa wa ziada au nyongeza. Wewe siô wanyonyeza. Wewe NI wathamani.

Úkiwa mvivu na mwenye kumtegemea Mwanaume, hutaki kufanya Kazi na kujitegemea unavunja utu wako na Kwa hakika Watu watakudharau ikiwemo kuwekwa mchepuko au Mke wa Pili.

Kuolewa Mke WA pili au mchepuko NI kukosa Soko, haiwezeniki Wanawake wenzako Kila Siku wanaolewa na kupata Wanaume waô wènyewe alafu wewe úwe mpàngo wa kando au Mke WA Pili.

Huo ni Mkosi
Huko ni kujichafulia Ñyota yako. Kuizim.

Kuitwa Mke mdogo Binti yàngu siô Sifa Njema. Wewe siô Bi. Mdogo. Nilikuzaa úwe Mke Mkubwa Kwa Mwanaume atakayekupa First priority. Sikukuzaa uitwe Bi. Mdogo au Nyumba ndogo.

Wewes siô Bi. Mdogo.
Nyumba yako Kamwe isiitwe Nyumba ndogo.
Kamwe Usiitwe Mpàngo wa kando au mchepuko. Wewe ni Njia kuu, Mke Mkubwa. Nyumba kûbwa.

Wewe ni Highway, michepuko itoke kwako hiyo siô kesi lakini siô wewe ati úwe mchepuko Kutoka Njia kuu. Huko ni kujidhalilisha. Binti za Tibeli Kamwe na haitokuja kutokea wakawa na sîfa hiyo.

Kwani unaharaka gàni?
Wanaume wa kukuoa wàpo anakimbilia kuwa Mke WA pili au mchepuko ili kushusha hadhi na Ñyota yako Maisha yako yôte Kisa nini?

Fanya Kazi wewe NI Mwanamke unayeweza kujitegemea.

Elewa, Mwanamke mzuri anayefanya Kazi akajitegemea hawezi kuwa Mke WA pili au mchepuko Kwa sababu Wanaume weñye Akili hujua thamani yake na watamuoa akiwa nafasi ya Kwanza.

Fanya Kazi, linda heshima yako na thamani yako kama Mwanamke.

Masuala ya kusema mbona Zamani Bibi zako walikuwa wanaolewa Wake Wenza au Michepuko hiyo ilikuwa Zamani Wakati Wanawake wakiwa watumwa.

Tenà hata hizô Zamani Binti za Tibeli na Wanawake wa Tibeli hawakuwahi kuolewa Mke wa Pili Wala kuwa michepuko.

Hiyo siô desturi ya Wanawake Bora wanaojitambua.
Hilo la Mke WA pili au mchepuko Acha Wengine wafanye lakini siô wewe Binti yàngu. .
Baadhi ya Mapokeo ya Dini àmbayo hayakufuata HAKI Bali yalifuata matamanio ya Wanadamu na matamanio ya waandishi wa Wakati huo usiyafuate.

Mimi Baba yako, na Mama yako ndivyo tulivyokuagiza hayo. Yasikilize maneno yàngu


Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa Sasa Dar es salaam
Ok
 
Kwahiyo wale Wanawake waliotakiwa kuolewa na Timu kataa Ndoa ya akina dronedrake unataka waolewe na nani kama sio kuwa Mke wa pili?😜

Sisi kule kwetu, unaweza Kuoa Wanawake hata 10(Kimila lakini) muhimu uweze kuwatunza na kuwahudumia
Huyu jamaa aendelee na watibeli wenzake, sisi tumeamua mke mmoja hajawahi kutosha. Unless unataka usifike 80yrs
 
MWANAMKE ANAYEJITAMBUA HAWEZI KUWA MCHEPUKO AU MKE WA PILI.

Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli

Binti yàngu, kwetu Watibeli ni mwiko Kwa Binti zetu kuolewa Mke wa Pili au Uke Wenza au Kuwa mchepuko.

Huko ni kutojitambua, kujidhalilisha na dalili ya umaskini na uvivu.

Wewe siô mzuri mpaka úwe Mke WA pili au úwe mchepuko?
Wewe siô mchapakazi na mwenye uwezo wa kujitegemea mpaka úwe Mke WA pili au mchepuko.

Mwanamke mwenye mzuri kwelikweli hawezi kuwa Mchepuko au Mke WA pili. Hakunaga huyo Mwanamke.

Mwanamke anayefanya Kazi na kujitegemea hawezi kuwa Mke WA pili au mchepuko.

Kama nilivyokufunza Binti yàngu, kuwa Sisi Watibeli kufanya Kazi ni Dini. Lazima ufanye Kazi uweze kujitegemea mwenyewe.
Ndoa pia ni Dini lakini haimaanishi úwe Mke wa Pili au mchepuko.

Ukijitegemea Huwezi kuwa Mke WA pili Daima dawamu.

Kitu kizuri huwa chaguo la Kwanza. Kitu kinachopendwa huwa chaguo la Kwanza Binti yàngu. Usikubali kuwa na kuitwa wa ziada au nyongeza. Wewe siô wanyonyeza. Wewe NI wathamani.

Úkiwa mvivu na mwenye kumtegemea Mwanaume, hutaki kufanya Kazi na kujitegemea unavunja utu wako na Kwa hakika Watu watakudharau ikiwemo kuwekwa mchepuko au Mke wa Pili.

Kuolewa Mke WA pili au mchepuko NI kukosa Soko, haiwezeniki Wanawake wenzako Kila Siku wanaolewa na kupata Wanaume waô wènyewe alafu wewe úwe mpàngo wa kando au Mke WA Pili.

Huo ni Mkosi
Huko ni kujichafulia Ñyota yako. Kuizim.

Kuitwa Mke mdogo Binti yàngu siô Sifa Njema. Wewe siô Bi. Mdogo. Nilikuzaa úwe Mke Mkubwa Kwa Mwanaume atakayekupa First priority. Sikukuzaa uitwe Bi. Mdogo au Nyumba ndogo.

Wewes siô Bi. Mdogo.
Nyumba yako Kamwe isiitwe Nyumba ndogo.
Kamwe Usiitwe Mpàngo wa kando au mchepuko. Wewe ni Njia kuu, Mke Mkubwa. Nyumba kûbwa.

Wewe ni Highway, michepuko itoke kwako hiyo siô kesi lakini siô wewe ati úwe mchepuko Kutoka Njia kuu. Huko ni kujidhalilisha. Binti za Tibeli Kamwe na haitokuja kutokea wakawa na sîfa hiyo.

Kwani unaharaka gàni?
Wanaume wa kukuoa wàpo anakimbilia kuwa Mke WA pili au mchepuko ili kushusha hadhi na Ñyota yako Maisha yako yôte Kisa nini?

Fanya Kazi wewe NI Mwanamke unayeweza kujitegemea.

Elewa, Mwanamke mzuri anayefanya Kazi akajitegemea hawezi kuwa Mke WA pili au mchepuko Kwa sababu Wanaume weñye Akili hujua thamani yake na watamuoa akiwa nafasi ya Kwanza.

Fanya Kazi, linda heshima yako na thamani yako kama Mwanamke.

Masuala ya kusema mbona Zamani Bibi zako walikuwa wanaolewa Wake Wenza au Michepuko hiyo ilikuwa Zamani Wakati Wanawake wakiwa watumwa.

Tenà hata hizô Zamani Binti za Tibeli na Wanawake wa Tibeli hawakuwahi kuolewa Mke wa Pili Wala kuwa michepuko.

Hiyo siô desturi ya Wanawake Bora wanaojitambua.
Hilo la Mke WA pili au mchepuko Acha Wengine wafanye lakini siô wewe Binti yàngu. .
Baadhi ya Mapokeo ya Dini àmbayo hayakufuata HAKI Bali yalifuata matamanio ya Wanadamu na matamanio ya waandishi wa Wakati huo usiyafuate.

Mimi Baba yako, na Mama yako ndivyo tulivyokuagiza hayo. Yasikilize maneno yàngu


Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa Sasa Dar es salaam
Futa hili andishi haraka sana. Unataka kutuambia na mama yetu wa Taifa hamnazo?? kwa yeye ni mke pili?? wakati dini yake inaruhusu! Unataka kuniambia na mama zetu sisi ambao tumezaliwa katika familia za Kiafrika zenye wake wengi mama zetu hawajitambui??? Unataka kutumbia na bibi zake Yesu walikuwa hawajitambui??? maana Yesu chain yake katokana na mke wa pili au wa tatu kuanzia kisa cha Yuda na Mkwe wake hadi anazaliwa Peresi hadi kuja kwa Daudi kutoka kwa Naomi hadi Sulemani mwana daudi babu yake na Yesu.

Ondoa hili andishi yakhe!
 
Nabii gàni alioa Wake wengi ukiachana na Yakobo aliyezakaziwa Kwa kudanganywa pàmoja na Muhammad.
Embu nitajie Nabii angalau Watatu waliooa wake wengi.
Nijue kwèli wewe unasema kweli
Daudi, Suleman, babu Ibrahimu, Yuda mwana wa Yakoko na wengineo.
 
View attachment 3070674

Embu angalia hiyo chart alafu nambie jinsia gàni kwèñye Umri WA Kuoa na kuolewa wàpo wengi?
Humu ndani kuna Matowashi wa kuzalisha (Mahanisi), matowashi wa kufanywa (Mapadre) na matowashi wa kujitakia (mashoga). Ongeza na wanaume waliozuiwa kule Ukraine na kwingineko wasiondoke nchi ili wafie vitani. Ukiondoa hao wote utakuja kuelewa kuwa wanaume halisi ni wachache kuliko wanawake.
 
Nimecomment before kusoma 😀😀 nikipata muda nisome kivumbi.

Lakini naunga mkono hoja ya mleta mada! 😂
 
Wengi tu wake wenza. Masuala ya kuolewa na kuoa haina uhusiano na kuwa na elimu na kipato.

Sijawahi kuona tangu kuzaliwa Mwanamke aliyesoma na mwenye kipato akawa Mke WA Pili

Hao walioolewa tuu wakishapata Pesa au Elimu hukimbia Ndoa za mitala.
 
Humu ndani kuna Matowashi wa kuzalisha (Mahanisi), matowashi wa kufanywa (Mapadre) na matowashi wa kujitakia (mashoga). Ongeza na wanaume waliozuiwa kule Ukraine na kwingineko wasiondoke nchi ili wafie vitani. Ukiondoa hao wote utakuja kuelewa kuwa wanaume halisi ni wachache kuliko wanawake.

Hata Wanawake wàpo WA aina hiyohiyo Mkûu.

Nimeshafanya utafiti na kugundua hata hao wanaolewa Wake Wenza NI umaskini waô tuu na Wengine ni TAMAA za Mali

Lakini Hakuna Mwanamke Duniani anayetaka ku-share Mwanamke kama ilivyo kwetu Wanaume Hakuna Mwanaume àmbaye atataka Mkewe awe na Mwanaume Mwingine
 
Daudi, Suleman, babu Ibrahimu, Yuda mwana wa Yakoko na wengineo.

Daudi hakuwa Nabii alikuwa Mfalme.
Suleiman hajawahi kuwa Nabii Ila NI Mfalme.
Yuda hakuwa Nabii Urithi aliopewa na Babaake NI fimbi ya kifalme tenà hiyo NI baàda ya Reuben Kaka yake kunyimwa Haki ya Kwanza baàda ya Kulala na bilha suria wa Baba yake(Yakobo).

Yakobo alioa Wake wawili siô Kwa mapenzi yake Bali Kwa kulaghaiwa na Labani mpagani.

Ibrahim hajawahi Kuoa Wake wawili
 
Back
Top Bottom