Mwanamke bora kuliko wote duniani ni Bikira Maria, ukitaka ndiyo hivyo, usipotaka ndiyo hivyo

Mwanamke bora kuliko wote duniani ni Bikira Maria, ukitaka ndiyo hivyo, usipotaka ndiyo hivyo

Mungu amesema mambo mengi kwa watu wengi na kwa wakati ufahao. Mungu ni mlezi, kila wakati ameleta neno lifaalo kwa makusudi maalumu. Ila ujumbe wa Yesu ni ujumbe wa uokovu, ni namna gani uishi ili uurithi ufalme wa Mungu
Mungu wa wapi. Acha kuendelea utumwa. Yaani Bado umetekwa akili na dini za kuletewa mpaka hujitambui. Ukristo na uislamu ni dini zilizoletwa kutokomeza asili ya mtu mweusi. Kabla ya dini hizi kuja je watu walikuwa wanaabudu au hapana.
 
Guys haya madini mm huwa siyaamini. Hawa watu sijui mudi sijui yesu mi siwssmini kabisa ila naamini kuna nguvu isiyo ya kawaida ipo inayofanya mambo makubwa tusiyoyaona possibly ikawa ndo Munfu tuliyefundishwa toka wadogo. Ila nafikiri pia inaweza kuwa kuna viumbe enye maarifa na uwezo mkubwa kuliko sisi ambao wanatuangalia na ndio hao huwa tunaambiana sijui malaika ama mapepo sijui majini.
Hizi dini zote ni miradi tu ya wajanja kutupiga hela hamna kitu hapo.
Ukisoma vizuri huyu yesu wa nazareti ameitwa hivo ila kuna mayesu wengine wengi tu walishawahi kutokea na kujiita hivo kabla na baada yake. Na wengine mnawaona mpaka kenya walishatokea 2
Sasa miaka 2000 ijayo hawa yesu wa kenya watakuwa na makundi makubwa sana ya waumini wakiamini kama ndo yesu aloandikwa kwenye bibilia.
Kuna wayahudi wao badonwanamsubiri yesu hajatokea nao siku akitokea wa kwao itakuws kama hivi huyu yesu wa nazareti.
Hivo mimi siwaamini manabii wote akiwemo yesu na mhamed kwanza walikuwa na roho mbaya waliua sana watu
 
Mungu wa wapi. Acha kuendelea utumwa. Yaani Bado umetekwa akili na dini za kuletewa mpaka hujitambui. Ukristo na uislamu ni dini zilizoletwa kutokomeza asili ya mtu mweusi. Kabla ya dini hizi kuja je watu walikuwa wanaabudu au hapana.
Mkuu kila mtu ashinde vita zake. Utakikabili kifo peke yako na utajipambania huko uendako
 
Mkuu kila mtu ashinde vita zake. Utakikabili kifo peke yako na utajipambania huko uendako
Kwenda wapi. Kuku.ngombe .mbuzi unazokula zenyewe zinakwenda wapi. Kwahiyo unaogopa kifo. Kufa ndiyo maendeleo ya dunia. Kama hapo akili Yako imefika mwisho inawaza kwenda usipopajua ndiyo hivyo hivyo akili mpya inatakiwa ije Ili itatue shida kama yako
 
Kwenda wapi. Kuku.ngombe .mbuzi unazokula zenyewe zinakwenda wapi. Kwahiyo unaogopa kifo. Kufa ndiyo maendeleo ya dunia. Kama hapo akili Yako imefika mwisho inawaza kwenda usipopajua ndiyo hivyo hivyo akili mpya inatakiwa ije Ili itatue shida kama yako
Sikatai mawazo mapya lakini kila mtu ni master of his own fate and captain of his soul. Amini unacho kiamini, i have no problem, for as long as your interests does not conflict with mine
 
Mimi sijaharamisha kiumbe cha mungu.

Kumbukumbu la torati sijaandika mimi.

Labda kama mungu wenu anabadilikabadilika.

Kwenye kumbukumbu la torati anakataza kwenye agano jipya anaruhusu.

Mungu wa ajabu kabisa!
Ndugu, kwa hiki ulichoandika hapa inaleta picha jinsi ulivyo maamuma. Unahitaji kujifunza zaidi ndiyo uje kuandika tena mara ya pili.
 
Si kweli! Maneno hayo si ya Paulo. Ni ya Yesu Kristo mwenyewe. Nakushauri kabla ya kuandika fanya utafiti kwanza. Angalia mwenyewe hapa:

Marko 7 (Biblia Takatifu)
¯¯¯¯¯¯¯¯¯¯
"¹⁴ Akawaita makutano tena, akawaambia, Nisikieni nyote na kufahamu.
¹⁵ Hakuna kitu kilicho nje ya mtu ambacho kikimwingia chaweza kumtia unajisi, bali vile vimtokavyo, ndivyo vimtiavyo unajisi yule mtu.
¹⁶ Mtu akiwa na masikio ya kusikilia, na asikie.]
¹⁷ Hata alipoingia nyumbani, ameuacha mkutano, wanafunzi wake wakamwuliza habari za ule mfano.
¹⁸ Akawaambia, Hivi hata ninyi hamna akili? Hamfahamu ya kwamba kila kitu kilicho nje ya mtu, kikimwingia, hakiwezi kumtia unajisi;
¹⁹ kwa sababu hakimwingii moyoni, ila tumboni tu; kisha chatoka kwenda chooni? Kwa kusema hivi alivitakasa vyakula vyote.
²⁰ Akasema, Kimtokacho mtu ndicho kimtiacho unajisi.
²¹ Kwa maana ndani ya mioyo ya watu hutoka mawazo mabaya, uasherati,
²² wivi, uuaji, uzinzi, tamaa mbaya, ukorofi, hila, ufisadi, kijicho, matukano, kiburi, upumbavu.
²³ Haya yote yaliyo maovu yatoka ndani, nayo yamtia mtu unajisi. "

Mstari wa 19 hapo unatoa majibu.
Mungu aliyeharamisha nguruwe kwenye agano la kale na huyu aliyeruhusu wa agano jipya ni miungu wawili tofauti au mmoja?
 
Mungu aliyeharamisha nguruwe kwenye agano la kale na huyu aliyeruhusu wa agano jipya ni miungu wawili tofauti au mmoja?
Ukinijibu pia hili swali kwa ufasaha nami nitakujibu ulilouliza.

"Hapana kulazimisha katika Dini. Kwani Uwongofu umekwisha pambanuka na upotofu. Basi anaye mkataa Shet'ani na akamuamini Mwenyezi Mungu bila ya shaka amekamata kishikio madhubuti, kisicho vunjika. Na Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusikia, Mwenye kujua." (Quran 2:256)

"Piganeni na wasio muamini Mwenyezi Mungu wala Siku ya Mwisho, wala hawaharimishi alivyo harimisha Mwenyezi Mungu na Mtume, wala hawashiki Dini ya Haki, miongoni mwa walio pewa Kitabu, mpaka watoe kodi kwa khiari yao, hali wamet'ii." (Quran 9:29)

Naomba uniambie ni mungu wawili tofauti au ni mungu mmoja hapo aliyeshusha aya hizo mbili? Mbona kama anabadilika badilika?
 
Ukinijibu pia hili swali kwa ufasaha nami nitakujibu ulilouliza.

"Hapana kulazimisha katika Dini. Kwani Uwongofu umekwisha pambanuka na upotofu. Basi anaye mkataa Shet'ani na akamuamini Mwenyezi Mungu bila ya shaka amekamata kishikio madhubuti, kisicho vunjika. Na Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusikia, Mwenye kujua." (Quran 2:256)

"Piganeni na wasio muamini Mwenyezi Mungu wala Siku ya Mwisho, wala hawaharimishi alivyo harimisha Mwenyezi Mungu na Mtume, wala hawashiki Dini ya Haki, miongoni mwa walio pewa Kitabu, mpaka watoe kodi kwa khiari yao, hali wamet'ii." (Quran 9:29)

Naomba uniambie ni mungu wawili tofauti au ni mungu mmoja hapo aliyeshusha aya hizo mbili? Mbona kama anabadilika badilika?
Waendelee kumswalia mtume bado hajafika anapostahili
 
Afrika itatuchukua miaka mingi sn kujinasua toka katika mitego ya wakoloni(DINI). Leo hii mchina anakula siyo tu nguruwe,pamoja na nyoka,mbwa,paka,komba mwiko nk. Na bado Mungu anawajalia kuwa wavumbuzi na wanasayansi wazuri. Mwafrika amekalia kwenye masimulizi ya zamani kula hiki usile kile na bado hata kutengeneza sindano za kushonea nguo hajaweza. Sasa vya kula au kutokula nguruwe vinawasaidia nini? Hebu tuamke waafrika!
Ukienda shambani mara nyingine magugu ndiyo umea vizuri na kwa haraka kuliko mazao yenyewe.

Mungu yupo pamoja nasi waafrika zaidi ya hao wengine. Tuendelee kunywa mtori nyama ziko chini.
 
Back
Top Bottom