Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Muwe mnatafuta usahihi kwanza kabla ya kupost. Kasome hiyo sura uone kama hayo ni maneno ya Paulo.Kaka yesu akuwahi kusema ivyo hayo ni maneno ya Paulo
Nilikuuliza swali kule haujanijibu mbona kama unalikwepa?Wasabato hawali nguruwe ni wakristo na wanatumia biblia.
Kwao nguruwe ni haram.
Wakatoliki wanakula nguruwe ni wakristo na wanatumia biblia.
Mungu wa agano la kale ni huyohuyo wa agano jipya.
Kati ya wasabato na wakatoliki nani wakristo wa kweli?
Nani anafata maandiko kwa usahihi?
Nmekuelewa kabisa kila andiko katika biblia lina maana katika maisha ya binadam,,Mungu amesema mambo mengi kwa watu wengi na kwa wakati ufahao. Mungu ni mlezi, kila wakati ameleta neno lifaalo kwa makusudi maalumu. Ila ujumbe wa Yesu ni ujumbe wa uokovu, ni namna gani uishi ili uurithi ufalme wa Mungu
Mapokeo mengi yalikuwa tamaduni tu za watu na sisi tukayameza kama yalivyo bila kuchuja.Unajua dini zimeharibiwa na mapokeo, ukisoma biblia ni tofauti kabisa
Hivi mnakuwa hamuwezi kutoa aya hadi muongeze chumvi. We akili yako ukisikia neno piganeni akili yako inakuja kwenye vita. Hapo kwenye aya mpaka watakaposilimu wapi imeandikwa kwenye aya.Nilikuuliza swali kule haujanijibu mbona kama unalikwepa?
Quran 2:256 inasema hakuna kulazimishana katika kuabudu, yaani siyo lazima mtu kuwa muislamu.
Quran 9:29 inawaagiza ninyi waislamu kuwapiga na kuwaua wasio waislamu mpaka watakaposilimu au kulipa kodi.
Je, mungu wenu anabadilika badilika pia? Au ni miungu wawili tofauti tofauti?
Akhy unaangaika bure kumpigia mbuzi gitaa.Hivi mnakuwa hamuwezi kutoa aya hadi muongeze chumvi. We akili yako ukisikia neno piganeni akili yako inakuja kwenye vita. Hapo kwenye aya mpaka watakaposilimu wapi imeandikwa kwenye aya.
Jizya ni kodi ambayo ilikuwa inalipwa kwa raia wasiokuwa waislamu. Hivi hiyo aya umeitoa wapi mbona umeongeza uongo mwingi.
Hapo walikuwa washirikina walikuwa wanaishi kwenye dola ya kiislamu ambao walikuwa wanatumia huduma zinazonufaisha jamii kwa ujumla haswa ulinzi kulipa kodi(jizya).
We nenda nchi yoyote usilipe kodi uone utafanywa nini kama haujafilisiwa au kuwekwa ndani.
Pia aya inasema piganeni na sio wapigeni. Kwa hiyo hapo kuna mapambano ya pande mbili sio upande mmoja. Kiswahili rahisi hauelewi na vitu vilivyokuwa "complex" utaelewa kweli?
Piganeni na wasio muamini Mwenyezi Mungu wala Siku ya Mwisho, wala hawaharimishi alivyo harimisha Mwenyezi Mungu na Mtume, wala hawashiki Dini ya Haki, miongoni mwa walio pewa Kitabu, mpaka watoe kodi kwa khiari yao, hali wametii.
(Qur'an 9:29)
Wewe swali langu umejibu?Nilikuuliza swali kule haujanijibu mbona kama unalikwepa?
Quran 2:256 inasema hakuna kulazimishana katika kuabudu, yaani siyo lazima mtu kuwa muislamu.
Quran 9:29 inawaagiza ninyi waislamu kuwapiga na kuwaua wasio waislamu mpaka watakaposilimu au kulipa kodi.
Je, mungu wenu anabadilika badilika pia? Au ni miungu wawili tofauti tofauti?
Mungu wao saa nyingine haelewekiMimi sijaharamisha kiumbe cha mungu.
Kumbukumbu la torati sijaandika mimi.
Labda kama mungu wenu anabadilikabadilika.
Kwenye kumbukumbu la torati anakataza kwenye agano jipya anaruhusu.
Mungu wa ajabu kabisa!