Mwanamke bora kuliko wote duniani ni Bikira Maria, ukitaka ndiyo hivyo, usipotaka ndiyo hivyo

Mwanamke bora kuliko wote duniani ni Bikira Maria, ukitaka ndiyo hivyo, usipotaka ndiyo hivyo

Lakini ni Nani aliwaagiza muabudu bikira Maria?!
Hatumuabudu BIKIRA MARIA! Tunamuheshimu na kumsifu, tunamuomba atuombee! Hii ni imani yetu Wakatoliki, na bila shaka iko tofauti na ya kwako, busara hapa ni kuheshimu imani za watu wengine, kwa sababu imani ya mtu mwingine ni nadra sana kufanana na ya kwako, imani sio elimu. Sala yetu KWAKE ni nukuu ya salaam aliyopewa na MALAIKA aliyepeleka ujumbe kwake:
“Salaam MARIA, umejaa neema, BWANA yu nawe, umebarikiwa kuliko wanawake wote, na YESU mzao wa tumbo LAKO amebarikiwa”…nasi tu apenyeza maombi yetu kwake…MARIA MTAKATIFU mama wa MUNGU utuombee sisi wakosefu sasa na saa ya kufa kwetu amina. Uzuri ni kwamba, kwa wenzetu Waislam, wamemtunuku cheo kikubwa kwenye Quran Tukufu, ile tu kuandikwa mle ni heshima kubwa. (Mimi na wewe tumeandikwa kwenye vitambulisho vya NIDA na mahudhurio fulani tu bila shaka 😁). Tumsifu MARIA!
 
Labda ungesema mwanaume bora ni Yosefu aliyekubali kuhudumia mimba ya mke wake ambaye hata tunda alikuwa hajapewa. Fikiria tu mtu aliyekuambia hakuna kukulana hadi ndoa anakuja na habari kwamba kapata mimba kwa njia ya roho mtakatifu?!! .... inahitajika imani kubwa mno. Yosefu anachukuliwa poa ila ni shujaa wa muda wote.
 
Hatumuabudu BIKIRA MARIA! Tunamuheshimu na kumsifu, tunamuomba atuombee! Hii ni imani yetu Wakatoliki, na bila shaka iko tofauti na ya kwako, busara hapa ni kuheshimu imani za watu wengine, kwa sababu imani ya mtu mwingine ni nadra sana kufanana na ya kwako, imani sio elimu. Sala yetu KWAKE ni nukuu ya salaam aliyopewa na MALAIKA aliyepeleka ujumbe kwake:
“Salaam MARIA, umejaa neema, BWANA yu nawe, umebarikiwa kuliko wanawake wote, na YESU mzao wa tumbo LAKO amebarikiwa”…nasi tu apenyeza maombi yetu kwake…MARIA MTAKATIFU mama wa MUNGU utuombee sisi wakosefu sasa na saa ya kufa kwetu amina. Uzuri ni kwamba, kwa wenzetu Waislam, wamemtunuku cheo kikubwa kwenye Quran Tukufu, ile tu kuandikwa mle ni heshima kubwa. (Mimi na wewe tumeandikwa kwenye vitambulisho vya NIDA na mahudhurio fulani tu bila shaka 😁). Tumsifu MARIA!
Mnaabudu mizimu ya kibeberu.
 
Maneno mengi ujajibu swali!

Mungu aliyeruhusu mle nguruwe kwenye agano jipya na Mungu aliyekataza msile nguruwe kwenye agano la kale ni Mungu mmoja au mungu wawili tofauti?

Mungu wenu ana sifa ya kubadilikabadilika?
Maagizo au amri hutolewa kwa kuzingatia hatua za ukuaji wa yule anayepewa maagizo au amri ( ukuaji huo unaweza ukawa wa kiakili, kimwili, kijamii, kiroho, kisiasa, nk).
Mfano: mtoto wa mwaka mmoja atakatazwa kutumia wembe( Kwasababu, kwake ni hatari), Lakini kijana wa miaka 16, ataruhusiwa kutumia.
Kijana wa darasa la tano haruhusiwi kuoa( hata kama ana ashiki), lakini kijana wa miaka 20 anaruhusiwa. Ulipokuwa darasa la pili uliambiwa 2-3=haiwezekani, lakini ukiwa darasa la Saba(2-3=-1). Kwahiyo, maagizo yanatolewa kwa kuzingatia hatua ya ukuaji na uelewa wa muhusika( ndio maana, mahakamani unaulizwa elimu yako ili kuepusha maswali yasiyoendana na elimu yako).
- Kwahiyo, amri hizo za vyakula zilitolewa kwa wahusika( waisrael) ili kuwa andaa kupokea amri za MUNGU zitakazotolewa hapo baadaye.
Hatahivyo, umechanganya mafaili kwa kudhani kuwa dini ya KIKRISTO na KIYAHUDI ni sawa. DINI ya KIKRISTO ni dini inayofuata maagizo ya YESU KRISTO, Kwahiyo vipengele ambavyo YESU KRISTO alivirekebisha( UKRISTO unavizingatia pia, likiwemo hilo suala la vyakula kwa wale WAYAHUDI na wasiokuwa WAYAHUDI).
 
Maagizo au amri hutolewa kwa kuzingatia hatua za ukuaji wa yule anayepewa maagizo au amri ( ukuaji huo unaweza ukawa wa kiakili, kimwili, kijamii, kiroho, kisiasa, nk).
Mfano: mtoto wa mwaka mmoja atakatazwa kutumia wembe( Kwasababu, kwake ni hatari), Lakini kijana wa miaka 16, ataruhusiwa kutumia.
Kijana wa darasa la tano haruhusiwi kuoa( hata kama ana ashiki), lakini kijana wa miaka 20 anaruhusiwa. Ulipokuwa darasa la pili uliambiwa 2-3=haiwezekani, lakini ukiwa darasa la Saba(2-3=-1). Kwahiyo, maagizo yanatolewa kwa kuzingatia hatua ya ukuaji na uelewa wa muhusika( ndio maana, mahakamani unaulizwa elimu yako ili kuepusha maswali yasiyoendana na elimu yako).
- Kwahiyo, amri hizo za vyakula zilitolewa kwa wahusika( waisrael) ili kuwa andaa kupokea amri za MUNGU zitakazotolewa hapo baadaye.
Hatahivyo, umechanganya mafaili kwa kudhani kuwa dini ya KIKRISTO na KIYAHUDI ni sawa. DINI ya KIKRISTO ni dini inayofuata maagizo ya YESU KRISTO, Kwahiyo vipengele ambavyo YESU KRISTO alivirekebisha( UKRISTO unavizingatia pia, likiwemo hilo suala la vyakula kwa wale WAYAHUDI na wasiokuwa WAYAHUDI).
Kwahiyo wasabato wasiokula nguruwe ni wayahudi na wakatoliki wanaokula ni wakristo?

Kama wote ni wakristo nani yuko sahihi kwenye kuyafata maandiko ya biblia wasabato au wakatoliki?
 
Kwahiyo wasabato wasiokula nguruwe ni wayahudi na wakatoliki wanaokula ni wakristo?

Kama wote ni wakristo nani yuko sahihi kwenye kuyafata maandiko ya biblia wasabato au wakatoliki?
Kula nguruwe wewe after all utaenda kuchomwa tu
 
Hapo kwa kuwa shekhe kamsifia mariam unakubali. Ila angesema nguruwe haram kwa kutumia quran hiyo hiyo ungekataa.
Aseme tu kwa vifungu. Sheikh wako amesema ukipenda Mariam ni mwanamke bora kuliko wote ulimwenguni, usipopenda bado Mariam ni mwanamke bora kuliko wote ulimwenguni
 
Aseme tu kwa vifungu. Sheikh wako amesema ukipenda Mariam ni mwanamke bora kuliko wote ulimwenguni, usipopenda bado Mariam ni mwanamke bora kuliko wote ulimwenguni
Hili sijalikataa linajulikana na sina tatizo nalo.

Mashekhe wanasema nguruwe haramu je unakubali kama unavyokubali kwa Mariam?
 
Na mungu aliyesema msile nguruwe kwenye kumb la torati ni mungu wa kina nani?
Au mungu wa wapagani?
Ni kwa sababu ya mioyo yao, kwa wakati ule walikuwa sawa. Hata wanawake waliokutwa katika uzinzi walipigwa mawe, Yesu alikuja kuweka sawa, walioa wake wengi na kutoa talaka hovyo hovyo kama mfanyavyo waisilamu, Yesu akaweka sawa. Tunaishi misingi ya agano la kale na ufafanuzi wake katika agano jipya
 
Hili sijalikataa linajulikana na sina tatizo nalo.

Mashekhe wanasema nguruwe haramu je unakubali kama unavyokubali kwa Mariam?
Anzisha uzi wa nguruwe, lakini katika uzi huu tunataka ukiri kwa kinywa chako kwamba Quran imeandika hivyo, Allah wenu akasema hivyo na mtume wenu akasema hivyo kuwa Mariam ni mwanamke bora kuliko wote ulimwenguni
 
Anzisha uzi wa nguruwe, lakini katika uzi huu tunataka ukiri kwa kinywa chako kwamba Quran imeandika hivyo, Allah wenu akasema hivyo na mtume wenu akasema hivyo kuwa Mariam ni mwanamke bora kuliko wote ulimwenguni
Amina
 
Anzisha uzi wa nguruwe, lakini katika uzi huu tunataka ukiri kwa kinywa chako kwamba Quran imeandika hivyo, Allah wenu akasema hivyo na mtume wenu akasema hivyo kuwa Mariam ni mwanamke bora kuliko wote ulimwenguni
Wasabato hawali nguruwe ni wakristo na wanatumia biblia.

Kwao nguruwe ni haram.

Wakatoliki wanakula nguruwe ni wakristo na wanatumia biblia.

Mungu wa agano la kale ni huyohuyo wa agano jipya.

Kati ya wasabato na wakatoliki nani wakristo wa kweli?

Nani anafata maandiko kwa usahihi?
 
Wasabato hawali nguruwe ni wakristo na wanatumia biblia. Kwao nguruwe ni haram. Wakatoliki wanakula nguruwe ni wakristo na wanatumia biblia. Mungu wa agano la kale ni huyohuyo wa agano jipya. Kati ya wasabato na wakatoliki nani wakristo wa kweli?
Nani anafata maandiko kwa usahihi?
Tuanze na neno "Wakristu". Kwa ufupi sana ni wale wanaofuata mafundisho ya Yesu Kristu. Kuna orodha ya mambo mengi tu ambayo kabla ya mafundisho ya Kristu yalionekana yapo sahihi akayafafanua kuwa si sahihi, na mengine yalionekana si sahihi akayabainisha kuwa ni sahihi. Machache katika hayo ni:
1. Kutoa talaka / kumuacha mke au mume
2. Kumpiga mawe mwanamke aliyekutwa katika uzinzi
3. Kufanya kazi siku ya sabato
4. Kujali kinachoingia mwilini badala ya kinachotoka rohoni

Sasa kama wewe ni Mkristu, tunategemea hakuna namna nyingine zaidi ya kuwa mfuasi wa mafundisho ya Kristu. Huwezi ukajiita Mkristu halafu haufuati anachofundisha Kristu ila unafuata mila za Wayahudi.
Kuhusu wanachosimamia Wasabato, hilo watajibu wao
 
Mwokozi wangu; Kwa kuwa ameutazama Unyonge wa mjakazi wake. Kwa maana, tazama, tokea sasa Vizazi vyote wataniita mbarikiwa; Kwa kuwa Mwenye nguvu amenitendea makuu,
Kumbe walianza tangu karne na karne
 
Back
Top Bottom