Mwanamke bora kuliko wote duniani ni Bikira Maria, ukitaka ndiyo hivyo, usipotaka ndiyo hivyo

Mungu amesema mambo mengi kwa watu wengi na kwa wakati ufahao. Mungu ni mlezi, kila wakati ameleta neno lifaalo kwa makusudi maalumu. Ila ujumbe wa Yesu ni ujumbe wa uokovu, ni namna gani uishi ili uurithi ufalme wa Mungu
Mungu wa wapi. Acha kuendelea utumwa. Yaani Bado umetekwa akili na dini za kuletewa mpaka hujitambui. Ukristo na uislamu ni dini zilizoletwa kutokomeza asili ya mtu mweusi. Kabla ya dini hizi kuja je watu walikuwa wanaabudu au hapana.
 
Guys haya madini mm huwa siyaamini. Hawa watu sijui mudi sijui yesu mi siwssmini kabisa ila naamini kuna nguvu isiyo ya kawaida ipo inayofanya mambo makubwa tusiyoyaona possibly ikawa ndo Munfu tuliyefundishwa toka wadogo. Ila nafikiri pia inaweza kuwa kuna viumbe enye maarifa na uwezo mkubwa kuliko sisi ambao wanatuangalia na ndio hao huwa tunaambiana sijui malaika ama mapepo sijui majini.
Hizi dini zote ni miradi tu ya wajanja kutupiga hela hamna kitu hapo.
Ukisoma vizuri huyu yesu wa nazareti ameitwa hivo ila kuna mayesu wengine wengi tu walishawahi kutokea na kujiita hivo kabla na baada yake. Na wengine mnawaona mpaka kenya walishatokea 2
Sasa miaka 2000 ijayo hawa yesu wa kenya watakuwa na makundi makubwa sana ya waumini wakiamini kama ndo yesu aloandikwa kwenye bibilia.
Kuna wayahudi wao badonwanamsubiri yesu hajatokea nao siku akitokea wa kwao itakuws kama hivi huyu yesu wa nazareti.
Hivo mimi siwaamini manabii wote akiwemo yesu na mhamed kwanza walikuwa na roho mbaya waliua sana watu
 
Mungu wa wapi. Acha kuendelea utumwa. Yaani Bado umetekwa akili na dini za kuletewa mpaka hujitambui. Ukristo na uislamu ni dini zilizoletwa kutokomeza asili ya mtu mweusi. Kabla ya dini hizi kuja je watu walikuwa wanaabudu au hapana.
Mkuu kila mtu ashinde vita zake. Utakikabili kifo peke yako na utajipambania huko uendako
 
Mkuu kila mtu ashinde vita zake. Utakikabili kifo peke yako na utajipambania huko uendako
Kwenda wapi. Kuku.ngombe .mbuzi unazokula zenyewe zinakwenda wapi. Kwahiyo unaogopa kifo. Kufa ndiyo maendeleo ya dunia. Kama hapo akili Yako imefika mwisho inawaza kwenda usipopajua ndiyo hivyo hivyo akili mpya inatakiwa ije Ili itatue shida kama yako
 
Sikatai mawazo mapya lakini kila mtu ni master of his own fate and captain of his soul. Amini unacho kiamini, i have no problem, for as long as your interests does not conflict with mine
 
Mimi sijaharamisha kiumbe cha mungu.

Kumbukumbu la torati sijaandika mimi.

Labda kama mungu wenu anabadilikabadilika.

Kwenye kumbukumbu la torati anakataza kwenye agano jipya anaruhusu.

Mungu wa ajabu kabisa!
Ndugu, kwa hiki ulichoandika hapa inaleta picha jinsi ulivyo maamuma. Unahitaji kujifunza zaidi ndiyo uje kuandika tena mara ya pili.
 
Mungu aliyeharamisha nguruwe kwenye agano la kale na huyu aliyeruhusu wa agano jipya ni miungu wawili tofauti au mmoja?
 
Mungu aliyeharamisha nguruwe kwenye agano la kale na huyu aliyeruhusu wa agano jipya ni miungu wawili tofauti au mmoja?
Ukinijibu pia hili swali kwa ufasaha nami nitakujibu ulilouliza.

"Hapana kulazimisha katika Dini. Kwani Uwongofu umekwisha pambanuka na upotofu. Basi anaye mkataa Shet'ani na akamuamini Mwenyezi Mungu bila ya shaka amekamata kishikio madhubuti, kisicho vunjika. Na Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusikia, Mwenye kujua." (Quran 2:256)

"Piganeni na wasio muamini Mwenyezi Mungu wala Siku ya Mwisho, wala hawaharimishi alivyo harimisha Mwenyezi Mungu na Mtume, wala hawashiki Dini ya Haki, miongoni mwa walio pewa Kitabu, mpaka watoe kodi kwa khiari yao, hali wamet'ii." (Quran 9:29)

Naomba uniambie ni mungu wawili tofauti au ni mungu mmoja hapo aliyeshusha aya hizo mbili? Mbona kama anabadilika badilika?
 
Ubikra wa Mariam ulikoma baada ya kuzaa na kuolewa na Yusufu.
 
Waendelee kumswalia mtume bado hajafika anapostahili
 
Ukienda shambani mara nyingine magugu ndiyo umea vizuri na kwa haraka kuliko mazao yenyewe.

Mungu yupo pamoja nasi waafrika zaidi ya hao wengine. Tuendelee kunywa mtori nyama ziko chini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…