Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Sa buku na outing yake where and where?!!!Si eti jamani, story nyingi baada ya kulipa buku ya watu 😌😌
Deni ni deni out ni out.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sa buku na outing yake where and where?!!!Si eti jamani, story nyingi baada ya kulipa buku ya watu 😌😌
Mim kesho nalipwa 😂😂😂😂 ila zake zangu zangu za mkopo unarudishaSio wote, mama mtoto wangu alinikopesha zaidi ya million moja na nusu na amenisamehe
👏👏We unamfanyia yote hayo, ye anakufanyia nini in return?
Yaani hadi nimeogopa 🙄🙄 mtu umkopeshe akulipe out kweli? Yani mtu akope benki asubuhi aamke akafagie nje ya bank alafu aseme deni limeisha kwa kufagia. Haiusu kwa kweli, hela zetu mtalipa TU 🤓🤓😌Sa buku na outing yake where and where?!!!
Deni ni deni out ni out.
I say, uko sahihi 150% Kuna dada niliomba aniazime hela yake nikiwa nimekwama, laki moja. Ikanisaidia sana. Sasa kuna siku nae akaja kunililia shida, kabla sijamrudishia ile laki. Nikampa laki tatu, ambayo haikuwa mkopo, nikijua narudisha hisani. Kuna siku akanifuata ananiuliza lini nitamrudishia laki yake niliyomkopa?😳Wakuu,
Hawa viumbe mungu kawaumba tofauti,
Hata umfanyie shopping na kumfurahisha kwa gharama yyte ile lakini kama hukumlipa hela anayokudai hata kama ilikua ni elf 1. Hamuelewani
We mpe mnunulie simu, mnunulie gari lakini kama anakudai Bado hujasema.
Chamsingi anza kulipa deni lake ndo mengine yaendelee
Mnakaza sana bhana..Wanawake tuungane kupinga na kukemea utapeli. Dai dai dai hata kama mia wewe dai, hela akikuachia asubuhi ikibaki akichukua hesabu deni umemkopesha, 🤓🤓 mdai
Eti jamani!!Kama mtu anakudai kumnunulia chakula ndio umemlipa au ndio yalikuwa makubaliano hayo
Sawa, ila mkumbuke kutoomba kwa mnaemdai dai, kama hamtaki kuhesabu anavyowagaramia baada ya kumkopesha. Kwa sababu ukininidai elfu yako wakati najua nakugharamia elfu kumi nyingi tu, nitaacha kukugharamia ili tujaribu kubalance hesabu, ili nawe u catch up na mimiWanawake tuungane kupinga na kukemea utapeli. Dai dai dai hata kama mia wewe dai, hela akikuachia asubuhi ikibaki akichukua hesabu deni umemkopesha, 🤓🤓 mdai