Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
Hizo ni shobo zako, lipa deni ndio tuanze kutoana out.!!Hapana, ni namna pia ya kuangalia kama mna akili kichwani, kumbuka naweza kukutoa nje kwa gharama mara tano ya deni lako, na sio kwamba unanilazimisha nikutoe. Kwa hiyo unatakiwa kuufikirisha ubongo wako
Tatizo makubaliano yalikuwaje??