Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
- Thread starter
-
- #21
Nyie ndo mnawapa wanawake haki ambazo kiukweli sio zao. Mwanamke hana haki ya kupenda, wajibu wake ni kumtii mumewe, kumburudisha mumewe na kuwa submissive kwa mumewe basi
Nawakubali sana waarabu kwenye hili, mwanamke analetewa tu mumewe hana haja ya kuchagua eti kampenda au la, mwanaume ndie anaependa na kuchagua.
Watu wenye mentality kama yako ndio wameongeza wimbi la feminists na kuharibu Natural World Order wakiwa vibaraka wa New World Order bila kujijua
Inasikitisha wanaume mnawajadili wanawake.
Hapa unamaanisha fimbo ya mwanzi au fimbo yenye mishipa ?hawezi kukutii hata uwe mfalme unaemiliki kila kitu kama humchapi fimbo akachapika.
Sidhani Kama inahitaji kupendwa au kutiiwa ili ukamulike, muhimu timiza wajibu wako ktk maisha then mengine iachie nature
Aloooh..bandiko limekamilika....
Na hawezi kukutii kama hanufaiki nawe
hawaeleweki asubuhi anakupenda, mchana ananuna, usiku anataka mkuyenge
Hata hivyo hawakuumbwa kutupenda, wameumbwa kututii..utii unakuja kwa sababu ya mengi.
Nonsense.
Haya ndo kama yale ya watu masikini kuamini Matajiri hawana furaha.
kasome vitabu nilivyoweka, utaelewa. Au muulize Robert Heriel Mtibeli Taikon wa Fasihi, itakuwa kishaelewa.Hapa unamaanisha fimbo ya mwanzi au fimbo yenye mishipa ?
VIJANA TUTAFUTE PESA KWA AJILI YA AFYA ZETU NA FAMILIA ZETU
Nkaushauri soma vitabu viwili (One Thousand and One nights} "Alf lela u lela" na "The perfumed Garden".
Ukisoma vitabu hivyo utaelewa kuwa mwanamke hawezi kukutii hata uwe mfalme unaemiliki kila kitu kama humchapi fimbo akachapika.
Hakuna mahali mwanamke kaambiwa ampende mumewe. Habari ya woga unaileta wewe, it's either love for husbands or respect for wives.Tofautisha utii na Woga
Huwezi mtii mtu usiyempenda.
Hahahaa haya nitasoma nikivipata, ua kama unavyo nitumie nisomekasome vitabu nilivyoweka, utaelewa.
Maskini huwa tunajipa moyo sana kwamba Penzi la pesa halipo duniani na kama lipo basi si la moyoni mwa hao wawili, na si kila mwanamke anataka pesa ili ampende mwanaume na kinyume chake... ha ha ha ha sisi maskini bana.
eehMa luteni kanali pale lugalo wake zao Bodaboda wanajilia tu