Mwanamke hawezi kukutii kama hakupendi hata uwe tajiri namba moja Duniani

ndugu ROBERTINHO ebu tuonyeshe mke wako alafu tuingie chimbo
 

Heshima haitokani na Pesa. Ndio maana FaizaFoxy anasema Huko shule mnaenda kusomea ujingaujinga.

Heshima inatokana na Maadili, na uadilifu.

Hicho unachozungumzia ni unafiki na Uchawa. Huwezi ita unafiki na Uchawa kuwa ni heshima.

Pesa ni heshima ikiwa imetafutwa Kwa uadilifu. Fanya ushoga upate utajiri uone Nani atakuheshimu, uza madawa ya kulevya alafu uone kama utaheshimika,

Jamii za Watu wajinga na Wanafiki ndio huonyesha unafiki wao kama sehemu ya heshima.
 
ROBERT HERIEL unatema madini tu hongera sana
 
Vitabu vya dini huwa vinakazia "wana macho lkn hawaoni na wanamasikio lkn hawasikii" unaelimisha sana kuhusu hili ila bdo kuna mtu anapita hpa kila siku lkn mwisho wa siku bado ataongozwa na matamanio zaidi
 
Nkaushauri soma vitabu viwili (One Thousand and One nights} "Alf lela u lela" na "The perfumed Garden".

Ukisoma vitabu hivyo utaelewa kuwa mwanamke hawezi kukutii hata uwe mfalme unaemiliki kila kitu kama humchapi fimbo akachapika.
Na ndio mana ikasisitizwa na mleta mada mtu kuoa mwanamke anyempenda maana upendo wa kweli ukiwepo automatically mwanamke atavumilia madhaifu yako
 
Mimi ninaamini kama uliishi na familia yako kwa amani na upendo,ukatimiza majukumu yako kwa mke na watoto wako, hata ukose nguvu za kiume,upate pressure na kisukari upendo na utii bado utaendelea kuwepo.LAKINI kama uliitelekeza familia ukaenda kutumia pesa na michepuko huku wanao ma mkeo wanashinda njaa,watoto wanakosa ada jiandae ndugu, fainali uzeeni.
 
Mtibeli wewe wanawake huwajui bado.

Pamoja na kuwajua kote wanawake, kiundani na kuwa chambua walivyo, ila amini kwamba unaweza pigwa tukio siku moja na mpenzi wako, unaye amini anakupenda sana, ukabaki kushangaa.

Yaka kukuta, Yaliyo mkuta mchambuzi wa maswala ya mahusiano na wanawake tajiri maarufu "Steve Harvey" ambaye Ali amini mke wake ana mpenda sana, ila kwa sasa ashapigwa za usoo na mkewe, Haamini kilichotokea

TKO moja hatari sana, mke wake ameliwa kimasihara....[emoji1787][emoji1787]
 
Pamoja na uchambuzi wote kuhusu wanawake lakini bado "Steve Harvey" mke wake ameliwa kimasihara[emoji1787][emoji1787]

Haya mambo hayanaga upendo wala nini, yanakujaga kimasihara.

Kama uzi maarufu wa JF wa kula tunda kimasihara ulivyo chambua.

Fear women.

 
Nkaushauri soma vitabu viwili (One Thousand and One nights} "Alf lela u lela" na "The perfumed Garden".

Ukisoma vitabu hivyo utaelewa kuwa mwanamke hawezi kukutii hata uwe mfalme unaemiliki kila kitu kama humchapi fimbo akachapika.
Fimbo ipi hiyo?
 
Ni kweli, mwanamke akikupenda haoni madhaifu yako. Kila ukifanyacho kwake ni furaha tu.

Unawaza muonane wapi na huna kitu, unaamua tu basi hata muonane stendi ila hiyo furaha yake utadhani umempeleka selena hotel.
Naomba nitofautiane na wewe mkuu. Upendo unaona madhaifu ya mtu na "kuchagua" kuyahimili. Ninahisi wengi wetu humu tunaongelea upendo wa rasharasha tu hapa lakini kiukweli upendo umebeba vitu vingi sana.

Kuna muda katika ndoa/familia tuseme, mwenza wako anafanya tukio mpaka unasema hapa nimefika mwiaho, ama inatokea situation ambayo inawaumiza sana wote wawili hasa ugonjwa, kufukuzwa kazi, ajali na mambo ya dizaini hizo na bado mnachagua kuishi na kutembea pamoja katika hali zote na kushikamana. Imagine linakuja jitatizo hilo, linainvolve kumbadilisha pampers mwenz mchana na usiku, kumlisha, kumuogesha huku kuna watoto and stufd like that, kuweza??

Mara watoto kukosa ada ama hakuna gesi wala mkaa, mara mchele umeisha..najaribu kusema kwamba, upendo ni sacrifice kubwa sana ambayo wenza wanatakiwa kuifanya kila iitwapo leo. Mwenzangu na mie tusipotumiwa teni tu ya lunch hatupokei simu😅😅😅😅. Anyways, it is what it is.....
 
Nkaushauri soma vitabu viwili (One Thousand and One nights} "Alf lela u lela" na "The perfumed Garden".

Ukisoma vitabu hivyo utaelewa kuwa mwanamke hawezi kukutii hata uwe mfalme unaemiliki kila kitu kama humchapi fimbo akachapika.
Madam fimbo gani unamanisha? Zile za kitandani au zile wanafunzi wanachapwa na walimu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…