FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
Kuna majina ya vitabu nimeweka juu hapo vipitie mtandaoni utanielewa.Madam fimbo gani unamanisha? Zile za kitandani au zile wanafunzi wanachapwa na walimu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna majina ya vitabu nimeweka juu hapo vipitie mtandaoni utanielewa.Madam fimbo gani unamanisha? Zile za kitandani au zile wanafunzi wanachapwa na walimu?
unapiga chenga kama jj okocha, sawa tumekuelewa mtibeli wa babeliNikuonyeshe wewe na Nani Mkuu?
Namaanisha iD yako inamilikiwa na watu wangapi?
Naomba ufafanuzi hapaKijana elewa kuwa Mwanamke haogopi kufokewa na Mwanaume asiyempenda. Yaani kama Mkeo hakupendi hata ukimfokea wala haumii Sana
Usilolijua mtiberi taikuni Mzee wangu hakuna mwanamke anaekupenda wewe oa tu mwanamke ataeleta watoto wazuri chagua shepu nzuri rangi ya mtume usije ukaanzisha ukoo wa nyaniOa Mwanamke anayekupenda
Yaan hapo maana yake km hum.tombi akato.mbeka?Nkaushauri soma vitabu viwili (One Thousand and One nights} "Alf lela u lela" na "The perfumed Garden".
Ukisoma vitabu hivyo utaelewa kuwa mwanamke hawezi kukutii hata uwe mfalme unaemiliki kila kitu kama humchapi fimbo akachapika.
Hakupendi Mzee hata ukifoka anakuona km kimbu tu kinampigia makeleleNaomba ufafanuzi hapa
Niamini Mimi mwanamke kuna fantasy zake anazozitaka kutoka kwa mwanaume ukimuongopea maneno mazuri yeye zile fantasy zinarotate kwenye bongo yake sasa akiingia akaona zile fantasy haziwi reality Mzee hakuna kupendwa hapo wanawake hawapendi muulize R Kelly walichomfanya sasa hivi anasaga meno huko ananyea debeNa Hawezi kukupenda kama ulishindwa Kumfanya Akupende, mwanamke haamui kupenda, Anafanywa Apende .
Bado hujafafanua?Hakupendi Mzee hata ukifoka anakuona km kimbu tu kinampigia makelele
Wewe jua tu hakuna mwanamke anaekupenda akiwa kwenye siku zake za maumivu sababu anasikia maumivu na wewe hujafanikisha kulitungua yai lake unamuacha aishi kwa matesoBado hujafafanua?
Mwanamke gani anapenda kufokewa?
Yupi anaumia kama ukimfokea Yule asiyekupenda/ anayekupenda?
Tunajidanganya tu kupenda ni Jambo la muda
Leo anaweza kukupenda Kesho akageuka. Na kinyume chake ni sahii
Umemalizaaaa!!!Na hawezi kukutii kama hanufaiki nawe
Manufaa moja wapo ni pamoja na kumfanya apatwe na kichefuchefu na kuanza kula udongoUmemalizaaaa!!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] pia ni sawa.Manufaa moja wapo ni pamoja na kumfanya apatwe na kichefuchefu na kuanza kula udongo
Una kitu utafika mbaliii, unapita mule mule.Niamini Mimi mwanamke kuna fantasy zake anazozitaka kutoka kwa mwanaume ukimuongopea maneno mazuri yeye zile fantasy zinarotate kwenye bongo yake sasa akiingia akaona zile fantasy haziwi reality Mzee hakuna kupendwa hapo wanawake hawapendi muulize R Kelly walichomfanya sasa hivi anasaga meno huko ananyea debe
Selfishness at high rateNaomba nitofautiane na wewe mkuu. Upendo unaona madhaifu ya mtu na "kuchagua" kuyahimili. Ninahisi wengi wetu humu tunaongelea upendo wa rasharasha tu hapa lakini kiukweli upendo umebeba vitu vingi sana.
Kuna muda katika ndoa/familia tuseme, mwenza wako anafanya tukio mpaka unasema hapa nimefika mwiaho, ama inatokea situation ambayo inawaumiza sana wote wawili hasa ugonjwa, kufukuzwa kazi, ajali na mambo ya dizaini hizo na bado mnachagua kuishi na kutembea pamoja katika hali zote na kushikamana. Imagine linakuja jitatizo hilo, linainvolve kumbadilisha pampers mwenz mchana na usiku, kumlisha, kumuogesha huku kuna watoto and stufd like that, kuweza??
Mara watoto kukosa ada ama hakuna gesi wala mkaa, mara mchele umeisha..najaribu kusema kwamba, upendo ni sacrifice kubwa sana ambayo wenza wanatakiwa kuifanya kila iitwapo leo. Mwenzangu na mie tusipotumiwa teni tu ya lunch hatupokei simu[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]. Anyways, it is what it is.....
Vitabu vya dini huwa vinakazia "wana macho lkn hawaoni na wanamasikio lkn hawasikii" unaelimisha sana kuhusu hili ila bdo kuna mtu anapita hpa kila siku lkn mwisho wa siku bado ataongozwa na matamanio zaidi
Suluhisho ya hayo yote ni kuwa Detached tu na mambo mengi!
unapiga chenga kama jj okocha, sawa tumekuelewa mtibeli wa babeli
Katika ubora wako mtibeli. Nikiona bandiko lako lazima nisome kwa makini