Mwanamke huwezi pata mwanaume anayekupa mahitaji yote muhimu; na mwanaume huyohuyo aweze kula bata, kujiselfisha na kujipostisha na wewe kila wakati

Amen kwetu
 
Mwanamke anataka ampate wa ivo , na amkute singo, na asiwe mchepukaji akimpata.
 
Wapo na mnapishana nao kila siku ila sasa hawana yale mambo ya mwilini mnayoyathamini
Ila wana mambo mazuri sana ndani ya mioyo yao
kama ni kweli haunafkiii huku Jf, na kwa mumeo upo hivi ulivo, basi mumeo kaokota dodo chini ya muembe.
 
Una majibu mazuri walahi. Km upo really hivi km usemavyo mzee baba kabahatisha mpo wachache saana kwa huu uso wa dunia.

Kwani si ni kweli mwanaume anaamua kuoa kwa vigezo vyake mwenyewe?

Anashikiliwa lazima uoe huyu😅😅😅
 
Kwani si ni kweli mwanaume anaamua kuoa kwa vigezo vyake mwenyewe?

Anashikiliwa lazima uoe huyu😅😅😅
Kweli kabsa. Kuoa muoaji ana angalia vigezo vyake ikiwa anatumia akili kama atatumia matamanio ya kimwili pasipo kuangalia mipango malengo na mengineyo muhimu basi kuna ile kuoa kwa msukumo wa moyo, ndugu au ili mradi umeoa. Na mwanaume akitaka kitonga ataoa bila kuangalia misingi bora kwa huyo mwenza wake
 
Huyu kasema ukweli bana sister usiletee kutetea wanawake kijinga
 
Kwa thread hii lazima kiti chako kitakuwa kimeshaandaliwa huko Mbinguni.Ubarikiwe Sana mkuu.
 
Kwa thread hii lazima kiti chako kitakuwa kimeshaandaliwa huko Mbinguni.Ubarikiwe Sana mkuu.


Asante sana Christian Ray

Tuombeane mema Mungu atusaidie tuondoke tukiwa safi mkuu
 
Umesema kweli aiseh

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 

Ameeen[emoji28]
 
"Kwa vijana wetu wa kike watambue mahusiano mazuri na ndoa yanajengwa na uwezo wa kubeba majukumu sio uwezo wa kula bata" Mwisho wa kumnukuu mama D
 

nisaidie npate clp ya hii video tafadhali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…