ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 48,052
- 104,677
Wanajiingiza kwenye matatizo, hilo hata wewe uliye mwanamke unalijua. Bond ya wazazi haifi hadi mmoja afe.Lakin wapo wengi wanaolewa na ambao hawajazaa nao.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanajiingiza kwenye matatizo, hilo hata wewe uliye mwanamke unalijua. Bond ya wazazi haifi hadi mmoja afe.Lakin wapo wengi wanaolewa na ambao hawajazaa nao.
Asante sana.Pole
Njoo nikuchezeeSawasawa
Lakin ukumbuke single maza wengi wanatengenezwa na nyie nyie wanaume.Wanajiingiza kwenye matatizo, hilo hata wewe uliye mwanamke unalijua. Bond ya wazazi haifi hadi mmoja afe.
Sawa wanguNjoo nikuchezee
Sikatai, ila wengi wa single mama wamejitakia wenyewe. Kuzaa na mtu asiye na future na wewe ni kujitakia matatizo.Lakin ukumbuke single maza wengi wanatengenezwa na nyie nyie wanaume.
Tatizo ni kwamba hata wanaume waliozaa hawataki single maza 😅 😅 😅Umesema?🤣🤣🤣
Totoz zenye vizazi, sikandii single moms lakini.....waolewe na wanaume waliokwisha zaa!
Tatizo hata wanawake wasio na pesa hawataki wanaume wasio na pesaTatizo ni kwamba hata wanaume waliozaa hawataki single maza 😅 😅 😅
Single maza hawakubaliki kila kona ni kwa kudra za Mungu tu au mzizi ndio aolewe
Kuna binti mmoja nilikuwa namfukuzia kipindi natafuta mke na nilikuwa nimewataget mabinti watatu ila yeye nilimpa nafasi ya kwanza kwa sababu namjua vizuri.Bahati mbaya binti mwingine ana watoto wawili baba tofauti anauliza una mpango gani na Mimi.
Mwingine chuchu zimeshaanguka anakuambia sitaki unichezee.
Wewe mwenyewe ndiyo umeyachezea maisha yako sisi tunafanya mwendelezo tu.
Ungekataa kufanya tendo la ndoa kwa sharti mpaka uolewe kuna kijana alikushikia bunduki?.
Umepoteza bikra hapo subiri mwendelezo wa kuchezewa mpaka siku Mungu akikuonea huruma ndipo utaolewa au atakupumzisha mahali pema.
Usiwapangie watu maisha. Wanaolewa kila uchwao, nyie mkibakia kupiga kelele kwenye key board.Umesema?🤣🤣🤣
Totoz zenye vizazi, sikandii single moms lakini.....waolewe na wanaume waliokwisha zaa!
wewe mbona hujaolewa shida nini?Usiwapangie watu maisha. Wanaolewa kila uchwao, nyie mkibakia kupiga kelele kwenye key board.
Umezingua hapo ulipomkubali tena umeshusha value yako, mwanamke ukimtaka kwa nia nzuri ya kumuoa akikataa usimkubali tena akija kwa njia hio hapo ataendelea kujialaumu yeye uamzi wake kuwa alizingua ila kwa stahiri hio anakuona na wewe walewale tu haukua hata na hio nia.Kuna binti mmojq nilikuwa namfukuzia kipindi natafuta mke na nilikuwa nimewataget mabinti watatu ila yeye nilimpa nafasi ya kwanza kwa sababu namjua vizuri.
Akanikataa baadae akaja kupata ujauzito na akazaa alimzalisha akamtelekeza
Akaja kuanza shobo na mimi tena akawa ananiambia nimuoe duuh nilichokifanya nikamla alafu nikamuacha eti akaanza kunipa laana sijui hauta kuja kupata mwanamke atakayekupenda kama mimi sijui umenifanyia ukatili
Yeye amesahau alichonifanyia nyuma
Nilipomkumbusha alichonifanyia akaniblock 🤣🤣🤣
Hawa wanawake sometimes chenga sio wanawake wote lakin
Una hakika?wewe mbona hujaolewa shida nini?
Nilitaka nimuumize tu kama mimi nilivyoumia nafsi yangu ilizikeUmezingua hapo ulipomkubali tena umeshusha value yako, mwanamke ukimtaka kwa nia nzuri ya kumuoa akikataa usimkubali tena akija kwa njia hio hapo ataendelea kujialaumu yeye uamzi wake kuwa alizingua ila kwa stahiri hio anakuona na wewe walewale tu haukua hata na hio nia.
nakuuliza Kwanini hujaolewa😕😕😕unazeeka nausimbe wako 🤣🤣Una hakika?
🤣🤣🤣nakuuliza Kwanini hujaolewa😕😕😕unazeeka nausimbe wako 🤣🤣