Mwanamke kama huna bikra na hujaolewa wewe ni chombo cha starehe. Acha kuulizauliza eehh una mpango gani na Mimi au unataka kunichezea?

Mwanamke kama huna bikra na hujaolewa wewe ni chombo cha starehe. Acha kuulizauliza eehh una mpango gani na Mimi au unataka kunichezea?

Tatizo hata wanawake wasio na pesa hawataki wanaume wasio na pesa

Mbwai iwe mbwai
Uko sahihi

Wao wanataka mwanaume mwenye kibunda sisi hatulalamiki

Ila sisi tukisema tunataka bikira na ambaye sio single maza wanaanza kulalamika na kutafuta huruma za watu

Kings never settle for the less

The game is brutal but still fair
 
Usiwapangie watu maisha. Wanaolewa kila uchwao, nyie mkibakia kupiga kelele kwenye key board.
Kwa ground mambo si yanaonekana, hata hivyo mimi sipingi wao kuolewa, nafikiria tu ile bond ya wazazi inayokufa mmoja akifa. Yaani kwa status yangu naweza kuoa ila kaa asokuwa na mtoto ni risk kubwa sana.
 
Kwa ground mambo si yanaonekana, hata hivyo mimi sipingi wao kuolewa, nafikiria tu ile bond ya wazazi inayokufa mmoja akifa. Yaani kwa status yangu naweza kuoa ila kaa asokuwa na mtoto ni risk kubwa sana.
Risk ni ipi? Hebu elezea.
 
Bahati mbaya binti mwingine ana watoto wawili baba tofauti anauliza una mpango gani na Mimi.
Mwingine chuchu zimeshaanguka anakuambia sitaki unichezee.
Wewe mwenyewe ndiyo umeyachezea maisha yako sisi tunafanya mwendelezo tu.
Ungekataa kufanya tendo la ndoa kwa sharti mpaka uolewe kuna kijana alikushikia bunduki?.
Umepoteza bikra hapo subiri mwendelezo wa kuchezewa mpaka siku Mungu akikuonea huruma ndipo utaolewa au atakupumzisha mahal
Ndo kuwa straight kwa huyo mwanamke, sio ukiwa nae faragha unamdanganya halafu huku JF unafunguka.

Mwanamke anainuka sababu ya mambo kama haya. Kudangaanywa danganywa, kuzalishwa, kukimbiwa mwishowe anakuwa sugu wakikutana kumi wanakuja na plan ya kumkomboa mwanamke malkia wa nguvu wanazidi kuongezeka, wanawalea watoto wasimtegemee mwanaume.
 
Usiwapangie watu maisha. Wanaolewa kila uchwao, nyie mkibakia kupiga kelele kwenye key board.
Ni wachache sana na ni weak men huwa wanawaoa

Single maza wengi tunawaona mitaani wakisugua benchi

Wanaliwa na kuachwa kwa kudanganywa wataolewa

Mwisho wa siku wanazidi kuzalishwa kila mtoto anakuwa na baba yake
 
Back
Top Bottom