Mwanamke kama huna bikra na hujaolewa wewe ni chombo cha starehe. Acha kuulizauliza eehh una mpango gani na Mimi au unataka kunichezea?

Kuna binti mmoja nilikuwa namfukuzia kipindi natafuta mke na nilikuwa nimewataget mabinti watatu ila yeye nilimpa nafasi ya kwanza kwa sababu namjua vizuri.
Akanikataa baadae akaja kupata ujauzito na akazaa aliemzalisha akamtelekeza na kumuacha kabisa kwa kukana ujauzito.
Akaja kuanza shobo na mimi tena akawa ananiambia nimuoe duuh nilichokifanya nikamla alafu nikamuacha eti akaanza kunipa laana sijui hauta kuja kupata mwanamke atakayekupenda kama mimi sijui umenifanyia ukatili
Yeye amesahau alichonifanyia nyuma
Nilipomkumbusha alichonifanyia akaniblock 🤣🤣🤣
Hawa wanawake sometimes chenga sio wanawake wote lakin
 
Umezingua hapo ulipomkubali tena umeshusha value yako, mwanamke ukimtaka kwa nia nzuri ya kumuoa akikataa usimkubali tena akija kwa njia hio hapo ataendelea kujialaumu yeye uamzi wake kuwa alizingua ila kwa stahiri hio anakuona na wewe walewale tu haukua hata na hio nia.
 
Nilitaka nimuumize tu kama mimi nilivyoumia nafsi yangu ilizike
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…