Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimesikia tu walimwengu wanasema hivyo😁Ulijua je yote hayo yanayo kata na yasiyo kata😂
Ungekuwa umeyasikia usinge andika kwa msisitizoNimesikia tu walimwengu wanasema hivyo😁
Unanisingizia tu , mimi nasali TAG ujue shalom shalom😊Ungekuwa umeyasikia usinge andika kwa msisitizo
Kwa kipimo ganiBado we mdogo
Basi yaishe ila kusali huko haimaanishi kumba huwezi kufanya hayoUnanisingizia tu , mimi nasali TAG ujue shalom shalom😊
Ndiyo tupo serious, ukinyoa bila mimi kujua lazima niulize, nani kakunyoa na ulinyoa ulikuwa na safari ya wapi? Mwamba kasema hapo juu ndo shamba lake lazima alikagueGuys kwahyo tunajadili kuhusu MAVUZI seriously??
Wangepofuka wakunga na madaktari wanaozalisha wamama wajawazito.Hauogopi kupofuka? Unakodolea macho huko kabisaaaa unamnyoa?
Hao wanasababu maalum. Unamwangaliaje mtu nayenyoa uchi wake? Ili iwe nini?Wangepofuka wakunga na madaktari wanaozalisha wamama wajawazito.
Kwa taarifa yako kuna dungadunga kibao wanazipenda, in other words mkeo akifuga zinampa soko mnoMwanamke kunyoa sehemu zake za Siri bila ruhusa ya mme wake ni ishara ya ushirikina na kuleta mikosi Kwa familia
Mwanamke akitaka kunyoa laZima amjulishe mme wake nae aridhie,
Sio mwanaume Yuko safari anakuta kipara aisee laZima urudi kwenu na makovu
Hakuna ugumu wowote, ndoa nzuri sana mwanamke asipokuwa malaya akalea wanae na mumewe na mwanaume akatimiza majukumu yake.Mnafanya tuone kwenye ndoa ni kugumu sana
Na ruhusa ya kunyoa mavuzi sure?Hakuna ugumu wowote, ndoa nzuri sana mwanamke asipokuwa malaya akalea wanae na mumewe na mwanaume akatimiza majukumu yake.
Cc: min -meMimi hata nikitaka KUJAMBA lazima niombe ruhusa kwa mume wangu Kibenteni cha UDSM
Akishaniruhusu basi utasikia ananiambia "Baby Jamba"..... hapo sasa ndo napata KIBALI cha Kujamba NABOFOA ushuzi mbaaaaaah mbaaaaahh
Cc: Poor Brain Lloyd Munroe Extrovert Mbaga Jr secretarybird
Hapa labda Mwanamke awe ameshaonyesha ana kaumalaya hivyo mumewe anashtuka hata akiguswa na jani sababu yupo kwenye kichaka chenye nyoka.Na ruhusa ya kunyoa mavuzi sure?
Bichwa komwe katika ID nyingine 🤣Mimi hata nikitaka KUJAMBA lazima niombe ruhusa kwa mume wangu Kibenteni cha UDSM
Akishaniruhusu basi utasikia ananiambia "Baby Jamba"..... hapo sasa ndo napata KIBALI cha Kujamba NABOFOA ushuzi mbaaaaaah mbaaaaahh
Cc: Poor Brain Lloyd Munroe Extrovert Mbaga Jr secretarybird