Mwanamke kupata mimba pasipo ridhaa ya mwanaume liwe kosa la jinai

Mwanamke kupata mimba pasipo ridhaa ya mwanaume liwe kosa la jinai

Mkuu Robert Heriel Mtibeli sikubaliani na wewe kwa hoja zifuatazo.

1.Kufanya ngono si starehe.

Mimi ni Muumini wa Dini ya Kikristo na kwenye maandiko tunaona Baada ya Uumbaji Mungu alipumzika siku ya saba akastarehe,haisemi starehe hiyo ilikuwa ngono.Hivyo kwenye hilo suala kusema eti Ngono ni starehe nakupinga kwa nguvu zote.

2.Unapofanya Ngono matokeo yake huwa ni ujauzito.

Ni kichaa tu ndiyo atakataa ya kwamba matokeo ya mwanaume kumwaga sperms kwenye uke ni kupatikana mtoto.Usipohitaji mtoto tumia kinga(condom),lakini usiseme eti ufanye ngono na mwanamke utegemee asizae wakati umemwagia sperms zako.

Yaani ufanye Ngono na mwanamke almost 1 year utegemee asipate mimba? Na kila siku unamwagia sperms na akizaa ukatae mimba? Wewe utakuwa huna akili timamu.


Hoja zangu ndizo hizo,lakini pia kama hitaki mtoto nenda kaoe uzae na mkeo lakini si kulala na mabinti za watu halafu usitegemee mimba kutoka kwao.

Hutaki mtoto basi tumia kinga(condom).
Wewe unaleta hoja za ukristo kwenye serikali?
Je, haki ya mwanadamu inalindwa na Mungu au Serikali?

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
MWANAMKE KUPATA MIMBA PASIPO RIDHAA YA MWANAUME LIWE KOSA LA JINAI.

Anaandika, Robert Heriel

Sisi kama wanaume tumekubali kabisa kuwa Kufanya ngono na Mwanamke Chini ya miaka 18 hiyo itahesabika kama Kosa la JINAI, Kwa jina la Ubakaji, bila kujali hiyo Binti alifanya Kwa ridhaa yake au Kwa kulazimishwa. Tumekubali.

Pia kesi ya ubakaji inaweza kuwa hata Kwa Mwanamke mwenye zaidi ya miaka 18 ikiwa tuu hakukuwa na makubaliano ya ridhaa Kwa Mwanamke. Na adhabu yake sio mchezo, ni Mvua ya miaka 30, yes miaka thelasini. Sawasawa! Tumekubali.

Sisi kama wanaume tunafanya Mapenzi Kwa sababu kuu ambayo ni Starehe Kwa 99%, kufurahisha Nafsi na mioyo yetu. Hiyo asilimia 1% iliyobaki ndio inahusu mambo ya Kupata Watoto ikigawana na kutafuta heshima Kwa wanaume wasio na Pesa.

Wakati wenzetu Wanawake, Dada zetu, Mama zetu hufanya mapenzi Kwa sababu nyingi Sana ikiwemo
I)Kuturidhisha Sisi wakitaka kupendwa, 25%
ii) Kupata Fedha na mambo ya kiuchumi 50%
iii) Kustarehe, 24%
iv) Kupata Watoto. 1%

Wanawake lazima waelewe Sisi tunapowatongoza tupo kwaajili ya Jambo moja kuu nalo ni Starehe tuu. Yaani ukiona mwanaume amekutongoza au anakukodolea macho basi elewa hapo anachotaka ni Starehe tuu. Tena akiwa ameoa ndio kabisa.

Serikali lazima itutendee Haki wanaume, Kustarehe sio kosa kisheria, na kisheria hakuna kosa la Kustarehe na Wanawake ikiwa tuu sio Wake za Watu, au Watoto Chini ya miaka 18.

Haiwezekani unakutana na Mwanamke kwaajil ya Kustarehe alafu anakuletea mambo ya Mimba, huo ni uhuni. Ushenzi na sio uungwana.

Serikali iweke sheria kuwa Mwanamke kubeba mimba ya mwanaume pasipo ridhaa ya mwanaume ni kosa la jinai, na adhabu itungwe. Huo ni uhuni.

Najua kuna Watu wataniona hamnazo au nimechanganyikiwa, au ninatabia za kishenzi lakini Kwa upande wangu nipo Mbele ya Muda. Ninazingatia Haki za Pande mbili, yaani Mwanamke na Mwanaume.

Mwanamke kwenye Hii Dunia ana-control mambo makuu mawili natural, ambayo ni Sex na reproduction. Mwanamke ndiye anatawala tendo la Ndoa pamoja na ishu ya Uzazi. Hayo mambo mawili.

Ni jukumu la Mwanamke kudhibiti suala la mimba. Na ikiwa anataka kubeba mimba ni lazima aongee na Mwanaume wakubaliane. Huo ndio uungwana, hiyo ndio HAKI.

Sheria Hii ya Mwanamke kubeba mimba pasipo ridhaa ya mwanaume italeta tija ndani ya jamii yetu. Kama ifuatavyo;

1. Itapunguza migogoro ya kijinga ambayo haina maana.

2. Itawafanya Wanawake wasikubali kubeba mimba bila ya Ndoa au pasipo kuandikishana(makubaliano maalumu) iwemo sahihi ya Mwanaume, ikiwa Mwanamke hajaolewa.

3. Itapunguza single mother ambao wengine Kwa Makusudi hujibebesha mimba Kwa maamuzi Yao wajitegemea liwalo na liwe, au wakidhani watapata huruma au mapenzi ya wanaume.

Kuzaa Watoto hakuna uhusiano wowote na kuongeza hisia za mwanaume kama hakupendi. Acha niseme ukweli WA moja Kwa moja.

4. Itapunguza Wanawake wanaoingilia ndoa za Watu na kujibebesha mimba na kuharibu ndoa za Watu. ATI kisingizio mwenye kosa ni Mwanaume Kwa sababu alimfata. Ni Kweli mwanaume alikufata lakini alifuata Starehe lakini sio Watoto. Zingatia makubaliano yenu, Kabla hujalala na Mwanaume muulize swali ikitokea Umepata mimba nini kitatokea, uone atakujibu vipi, majibu hayo muandikishe aweke sahihi. Uone kama hataghairi.

5. Itapunguza Watoto kuzaliwa bila ya Ndoa, makubaliano.
Ndoa ndio sehemu pekee mtoto anazaliwa Kwa ridhaa. Ukishaolewa jua tayari umesaini makubaliano ya kuzaa Watoto.

Lakini kama haujaolewa hiyo sio kazi yako. Kazi yako ni Starehe na unatakiwa kulipwa.

Haiwezekani umetoka zako kwenye Starehe na Mwanamke na lengo likiwa ni Starehe alafu mtu akuletee vitu visivyoeleweka.

Serikali hasa watunga sheria wajue kuwa ni ukiukwaji wa Haki za binadamu hasa Kwa wanaume kumbebea mimba pasipo ridhaa yake. Ni jinai ambayo haijawekwa kwenye sheria. Iwekwe.

Ooh! Wakati unafanya hukujua mimba inaweza kutokea? Wanaouliza maswali haya sijui wanatumia Akili ipi, ni uhuni, Utapeli na unyanyasaji Kwa wanaume. Kumpa kazi isiyomhusu.

Kama lengo ni kuwapendelea Wanawake Kwa kubinya Haki za Wanaume ni Sawa, lakini hiyo kamwe haiwezi kuwa Haki.

Unakuta kijana wa Watu Hana Mpango WA kuwa na Watoto lakini hiyo haimaanishi hapaswi kufanya ngono/mapenzi. Mapenzi yapo sio kwaajili ya Uzazi tuu Bali pia ni Starehe.

Wataalamu washeria na mnaopenda Haki liangalieni Jambo hili, mlifanyie kazi.

Nimemaliza! Mnaochukia mchukie, wenye matusi mtukane. Ila Sio HAKI kubeba mimba ya mwanaume pasipo ridhaa yake. Huo ni ukatili wa kijinsia.

Nawatakia Sabato NJEMA.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam


Inaachaje kuwa ridhaa wakati ulitoa nguo mwenyewe? Mbwa wa kiume pekee asiye na akili ndo anaweza kuwa na utetezi huo.

1. Condom.
2. Kumwaga nje.
3. Calender.

Inakuwaje ulalamike? Zote hizo umeshindwa? Kweli hii ni aibu.
 
Inaachaje kuwa ridhaa wakati ulitoa nguo mwenyewe? Mbwa wa kiume pekee asiye na akili ndo anaweza kuwa na utetezi huo.

1. Condom.
2. Kumwaga nje.
3. Calender.

Inakuwaje ulalamike? Zote hizo umeshindwa? Kweli hii ni aibu.

Huwezi Elewa kama hujataka kuelewa.
Unafikiri hizo njia zote zisijui?
 
Huwezi Elewa kama hujataka kuelewa.
Unafikiri hizo njia zote zisijui?

Kama wewe ni binadamu and you know unachopaswa kufanya, na usifanye, then unawajibika na matokeo.

Mwanamme anayemlaumu mwanamke kwa mimba (labda abakwe au atekwe), ni mpumbavu.

Unao utashi wa:

1. Kulala na mwanamke matured.
2. Kutokulala na mwanamke desperate.
3. Kuchagua mwanamke anayefaa.
4. Kutumia Condom.
5. Kumwaga nje.
6. Kufuata kalenda.

Baada ya hayo yote hapo juu, bado utalalama kwamba sio ridhaa yako kumpa mwanamke mimba?

Ni ridhaa, umechagua kumpa mimba kwa kitendo cha kushindwa kutumia mbinu zote hizo, impliedly umerizia kumpa mwanamke Mimba.
 
naunga mkono hoja, wanatutegeshea sana, hasa wakijua una Ka IST na vishilingi vya kubadirishia mboga.
 
Nimeshaelewa,
Unafikiri kila ukifanya mapenzi mimba inaingia?
Mwanamke ndiye ana-control sex na Uzazi.
Na sio mwanaume mpandaji.
Ndio maana Mkeo anaweza kukubambikizia Watoto na usijue lakini wewe huwezi kufanya Jambo Hilo.
Nd
Yaani mwanamke ambae anatoa yai kwa mwezi linaloishi masaa 24 ndo acontrol uzazi?Mwanaume mwenye uwezo wa kutia mimba kila siku iendayo kwa Mungu yeye vipi?Mwanaume ndo anaetakiwa kucontrol uzazi maana yeye kila akitimwaga anauwezo wa kutia mimba. Yeye ndo ajilinde.
 
Kama wewe ni binadamu and you know unachopaswa kufanya, na usifanye, then unawajibika na matokeo.

Mwanamke anayemlaumu mwanamke kwa mimba (labda anakwe au atekwe), ni mpumbavu.

Unao utashi wa:

1. Kulala na mwanamke matured.
2. Kutokulala na mwanamke desperate.
3. Kuchagua mwanamke anayefaa.
4. Kutumua Condom.
5. Kumwaga nje.
6. Kufuata kalende!

Baada ya hayo yote hapo juu, bado utalalama kwa sio ridhaa yako kumpa mwanamke mimba?

Ni ridhaa, umechagu kumpa mimba kwa kitendo cha kushindwa kutumia mbinu zote hizo, impliedly umerizia kumpa mwanamke Mimba.

Elewa kuwa kulala Mwanamke hasa ambaye hujamuoa na ni mtu mzima ni kwaajili ya starehe.
Elewa pia kuwa Mimba inamhusu Mwanamke kwa asilimia kubwa. Yeye ndiye anayeamua iingie au isiingie.
 
I am a woman na naunga mkono hoja yako!you are on point!
Kukubaliana kwenda kulala pamoja ni.kuwa lolote laweza tokea mimba au ukimwi

Kukumbatiana mkumbatieni nyie halafu make jamii itunge sheria mna wazimu
 
Elewa kuwa kulala Mwanamke hasa ambaye hujamuoa na ni mtu mzima ni kwaajili ya starehe.
Elewa pia kuwa Mimba inamhusu Mwanamke kwa asilimia kubwa. Yeye ndiye anayeamua iingie au isiingie.

Very high level of rubbish and stupid thinking, you have the organ, you push it in to a vagina, and you blame anayepokea?

Who pushes the organ toward vagina?

Una hiyari ya:

1. Kutolala na mwanamke.
2. Kuchagua aina unayotaka.
3. Kutumia kinga.
4. Kumwaga nje.
5. Kutumia calender!

Wewe si Mbwa!
 
Yaani mwanamke ambae anatoa yai kwa mwezi linaloishi masaa 24 ndo acontrol uzazi?Mwanaume mwenye uwezo wa kutia mimba kila siku iendayo kwa Mungu yeye vipi?Mwanaume ndo anaetakiwa kucontrol uzazi maana yeye kila akitimwaga anauwezo wa kutia mimba. Yeye ndo ajilinde.

Mwanaume hawezi kujilinda wakati madhara hayapati yeye. Hilo ni moja.
Anayejilinda ni yule ambaye anawajibika kwa asilimia kubwa kuhusu jambo fulani. Kwa ishu za uzazi Mwanamke ndiye anayewajibika na anayehusika kwa asilimia 100%

Yeye ndiye anayetakiwa kujilinda Kabla, wakati wa mimba na baada ya mimba.

Huwezi sema Mwanaume ajilinde kwa jambo ambalo mchango wake ni mdogo ukilinganisha na mwanamke kwenye ishu ya mimba.

Masomo ya uzazi yanamlenga zaidi Mwanamke kuliko mwanaume kwa sababu mwanaume mchango wake ni mbegu tuu ilhali Mwanamke mchango wake ni zaidi ya mbegu
 
Very high level of rubbish and stupid thinking, you have the organ, you push it in to a vagina, and you blame anayepokea?

Who pushes the organ toward vagina?

Ndio maana jamii zenye akili zinapendekeza Sheria ya utoaji mimba.
Ukishakubali zinaa kwenye jamii huwezi kuzikataa sheria kama hizo ambazo unaziita za kipuuzi.

Sio lazima uingize uume kwenye uke ndio Mwanamke apate mimba.
Hizo akili niza Watu wajinga.

Alafu hapa hakuna anayelaumiwa. Ishu ni Haki tuu.
Mtu Kaja kwa ishu za starehe alafu wewe unaleta mimba. Upuuzi
 
Kwenye kuhusisha serikali,nadhani ulitakiwa kumshirikisha mwenyekiti wa serikali ya mtaa akupe kibali cha kudinya kavu kavu.
Af mbona unalalamikia mwanamke kubeba ujauzito, hata unapoenda vichakani si unapita madukani? Labda ungesema msaidiwe pesa ya ndomu mnapoenda kugegeda. Au unapomwaga labda wewe unategemea kitatokea kitu gani!

Kwenye kudinya na kuachia grisi,bora ungekuwa unafanya na mtu unayejua upo tayari,likitokea la kutokea utawajibika. Sasa wengine unakuta na vichaa hamviachi,mnaogopa mtajulikana.
Adawayizi,chomoa muache ahangaike huko mwenyewe. Kama umelipia na starehe umepata,nini shida tena?

Mnaogopo masebene ya wake zenu wakijua mmedinya nje na kitu imekubali
 
Mwanaume hawezi kujilinda wakati madhara hayapati yeye. Hilo ni moja.
Anayejilinda ni yule ambaye anawajibika kwa asilimia kubwa kuhusu jambo fulani. Kwa ishu za uzazi Mwanamke ndiye anayewajibika na anayehusika kwa asilimia 100%

Yeye ndiye anayetakiwa kujilinda Kabla, wakati wa mimba na baada ya mimba.

Huwezi sema Mwanaume ajilinde kwa jambo ambalo mchango wake ni mdogo ukilinganisha na mwanamke kwenye ishu ya mimba.

Masomo ya uzazi yanamlenga zaidi Mwanamke kuliko mwanaume kwa sababu mwanaume mchango wake ni mbegu tuu ilhali Mwanamke mchango wake ni zaidi ya mbegu
Kwa akili hizi,mtaendelea kutegeshewa mpaka basi.
 
Back
Top Bottom