Mwanamke kupata mimba pasipo ridhaa ya mwanaume liwe kosa la jinai

Mwanamke kupata mimba pasipo ridhaa ya mwanaume liwe kosa la jinai

MWANAMKE KUPATA MIMBA PASIPO RIDHAA YA MWANAUME LIWE KOSA LA JINAI.

Anaandika, Robert Heriel

Sisi kama wanaume tumekubali kabisa kuwa Kufanya ngono na Mwanamke Chini ya miaka 18 hiyo itahesabika kama Kosa la JINAI, Kwa jina la Ubakaji, bila kujali hiyo Binti alifanya Kwa ridhaa yake au Kwa kulazimishwa. Tumekubali.

Pia kesi ya ubakaji inaweza kuwa hata Kwa Mwanamke mwenye zaidi ya miaka 18 ikiwa tuu hakukuwa na makubaliano ya ridhaa Kwa Mwanamke. Na adhabu yake sio mchezo, ni Mvua ya miaka 30, yes miaka thelasini. Sawasawa! Tumekubali.

Sisi kama wanaume tunafanya Mapenzi Kwa sababu kuu ambayo ni Starehe Kwa 99%, kufurahisha Nafsi na mioyo yetu. Hiyo asilimia 1% iliyobaki ndio inahusu mambo ya Kupata Watoto ikigawana na kutafuta heshima Kwa wanaume wasio na Pesa.

Wakati wenzetu Wanawake, Dada zetu, Mama zetu hufanya mapenzi Kwa sababu nyingi Sana ikiwemo
I)Kuturidhisha Sisi wakitaka kupendwa, 25%
ii) Kupata Fedha na mambo ya kiuchumi 50%
iii) Kustarehe, 24%
iv) Kupata Watoto. 1%

Wanawake lazima waelewe Sisi tunapowatongoza tupo kwaajili ya Jambo moja kuu nalo ni Starehe tuu. Yaani ukiona mwanaume amekutongoza au anakukodolea macho basi elewa hapo anachotaka ni Starehe tuu. Tena akiwa ameoa ndio kabisa.

Serikali lazima itutendee Haki wanaume, Kustarehe sio kosa kisheria, na kisheria hakuna kosa la Kustarehe na Wanawake ikiwa tuu sio Wake za Watu, au Watoto Chini ya miaka 18.

Haiwezekani unakutana na Mwanamke kwaajil ya Kustarehe alafu anakuletea mambo ya Mimba, huo ni uhuni. Ushenzi na sio uungwana.

Serikali iweke sheria kuwa Mwanamke kubeba mimba ya mwanaume pasipo ridhaa ya mwanaume ni kosa la jinai, na adhabu itungwe. Huo ni uhuni.

Najua kuna Watu wataniona hamnazo au nimechanganyikiwa, au ninatabia za kishenzi lakini Kwa upande wangu nipo Mbele ya Muda. Ninazingatia Haki za Pande mbili, yaani Mwanamke na Mwanaume.

Mwanamke kwenye Hii Dunia ana-control mambo makuu mawili natural, ambayo ni Sex na reproduction. Mwanamke ndiye anatawala tendo la Ndoa pamoja na ishu ya Uzazi. Hayo mambo mawili.

Ni jukumu la Mwanamke kudhibiti suala la mimba. Na ikiwa anataka kubeba mimba ni lazima aongee na Mwanaume wakubaliane. Huo ndio uungwana, hiyo ndio HAKI.

Sheria Hii ya Mwanamke kubeba mimba pasipo ridhaa ya mwanaume italeta tija ndani ya jamii yetu. Kama ifuatavyo;

1. Itapunguza migogoro ya kijinga ambayo haina maana.

2. Itawafanya Wanawake wasikubali kubeba mimba bila ya Ndoa au pasipo kuandikishana(makubaliano maalumu) iwemo sahihi ya Mwanaume, ikiwa Mwanamke hajaolewa.

3. Itapunguza single mother ambao wengine Kwa Makusudi hujibebesha mimba Kwa maamuzi Yao wajitegemea liwalo na liwe, au wakidhani watapata huruma au mapenzi ya wanaume.

Kuzaa Watoto hakuna uhusiano wowote na kuongeza hisia za mwanaume kama hakupendi. Acha niseme ukweli WA moja Kwa moja.

4. Itapunguza Wanawake wanaoingilia ndoa za Watu na kujibebesha mimba na kuharibu ndoa za Watu. ATI kisingizio mwenye kosa ni Mwanaume Kwa sababu alimfata. Ni Kweli mwanaume alikufata lakini alifuata Starehe lakini sio Watoto. Zingatia makubaliano yenu, Kabla hujalala na Mwanaume muulize swali ikitokea Umepata mimba nini kitatokea, uone atakujibu vipi, majibu hayo muandikishe aweke sahihi. Uone kama hataghairi.

5. Itapunguza Watoto kuzaliwa bila ya Ndoa, makubaliano.
Ndoa ndio sehemu pekee mtoto anazaliwa Kwa ridhaa. Ukishaolewa jua tayari umesaini makubaliano ya kuzaa Watoto.

Lakini kama haujaolewa hiyo sio kazi yako. Kazi yako ni Starehe na unatakiwa kulipwa.

Haiwezekani umetoka zako kwenye Starehe na Mwanamke na lengo likiwa ni Starehe alafu mtu akuletee vitu visivyoeleweka.

Serikali hasa watunga sheria wajue kuwa ni ukiukwaji wa Haki za binadamu hasa Kwa wanaume kumbebea mimba pasipo ridhaa yake. Ni jinai ambayo haijawekwa kwenye sheria. Iwekwe.

Ooh! Wakati unafanya hukujua mimba inaweza kutokea? Wanaouliza maswali haya sijui wanatumia Akili ipi, ni uhuni, Utapeli na unyanyasaji Kwa wanaume. Kumpa kazi isiyomhusu.

Kama lengo ni kuwapendelea Wanawake Kwa kubinya Haki za Wanaume ni Sawa, lakini hiyo kamwe haiwezi kuwa Haki.

Unakuta kijana wa Watu Hana Mpango WA kuwa na Watoto lakini hiyo haimaanishi hapaswi kufanya ngono/mapenzi. Mapenzi yapo sio kwaajili ya Uzazi tuu Bali pia ni Starehe.

Wataalamu washeria na mnaopenda Haki liangalieni Jambo hili, mlifanyie kazi.

Nimemaliza! Mnaochukia mchukie, wenye matusi mtukane. Ila Sio HAKI kubeba mimba ya mwanaume pasipo ridhaa yake. Huo ni ukatili wa kijinsia.

Nawatakia Sabato NJEMA.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Mwanaume mwenyewe sasaView attachment 2620182
1683973399233.png
 
Mkuu Robert Heriel Mtibeli sikubaliani na wewe kwa hoja zifuatazo.

1.Kufanya ngono si starehe.

Mimi ni Muumini wa Dini ya Kikristo na kwenye maandiko tunaona Baada ya Uumbaji Mungu alipumzika siku ya saba akastarehe,haisemi starehe hiyo ilikuwa ngono.Hivyo kwenye hilo suala kusema eti Ngono ni starehe nakupinga kwa nguvu zote.

2.Unapofanya Ngono matokeo yake huwa ni ujauzito.

Ni kichaa tu ndiyo atakataa ya kwamba matokeo ya mwanaume kumwaga sperms kwenye uke ni kupatikana mtoto.Usipohitaji mtoto tumia kinga(condom),lakini usiseme eti ufanye ngono na mwanamke utegemee asizae wakati umemwagia sperms zako.

Yaani ufanye Ngono na mwanamke almost 1 year utegemee asipate mimba? Na kila siku unamwagia sperms na akizaa ukatae mimba? Wewe utakuwa huna akili timamu.


Hoja zangu ndizo hizo,lakini pia kama hitaki mtoto nenda kaoe uzae na mkeo lakini si kulala na mabinti za watu halafu usitegemee mimba kutoka kwao.

Hutaki mtoto basi tumia kinga(condom).

1. Sio kila MTU ni Mkristo na anadini, haya tufanye wote ni Wakristo, je Wakristo wanafuata maagizo ya Dini Yao? Watu wangefuata hizo dini wala pasingekuwa na hii mada hapa. Pasingekuwa na uzinzi.

2. Sex ni Starehe ya Asili na yalazima ambayo kila Mwanadamu aliyekamilika lazima aitake.
Sex ni sehemu ya Kupata uzao lakini haimaanishi ni kila Wakati Ipo kwaajili hiyo. Ndio maana kuna Calendar.

Hapa tunazungumzia HAKI katika Ulimwengu wenye Utapeli, uhuni na ushenzi
 
TUMIENI KINGA ZITAWAEPUSHA NA MAKALA.
 
MWANAMKE KUPATA MIMBA PASIPO RIDHAA YA MWANAUME LIWE KOSA LA JINAI.

Anaandika, Robert Heriel

Sisi kama wanaume tumekubali kabisa kuwa Kufanya ngono na Mwanamke Chini ya miaka 18 hiyo itahesabika kama Kosa la JINAI, Kwa jina la Ubakaji, bila kujali hiyo Binti alifanya Kwa ridhaa yake au Kwa kulazimishwa. Tumekubali.

Pia kesi ya ubakaji inaweza kuwa hata Kwa Mwanamke mwenye zaidi ya miaka 18 ikiwa tuu hakukuwa na makubaliano ya ridhaa Kwa Mwanamke. Na adhabu yake sio mchezo, ni Mvua ya miaka 30, yes miaka thelasini. Sawasawa! Tumekubali.

Sisi kama wanaume tunafanya Mapenzi Kwa sababu kuu ambayo ni Starehe Kwa 99%, kufurahisha Nafsi na mioyo yetu. Hiyo asilimia 1% iliyobaki ndio inahusu mambo ya Kupata Watoto ikigawana na kutafuta heshima Kwa wanaume wasio na Pesa.

Wakati wenzetu Wanawake, Dada zetu, Mama zetu hufanya mapenzi Kwa sababu nyingi Sana ikiwemo
I)Kuturidhisha Sisi wakitaka kupendwa, 25%
ii) Kupata Fedha na mambo ya kiuchumi 50%
iii) Kustarehe, 24%
iv) Kupata Watoto. 1%

Wanawake lazima waelewe Sisi tunapowatongoza tupo kwaajili ya Jambo moja kuu nalo ni Starehe tuu. Yaani ukiona mwanaume amekutongoza au anakukodolea macho basi elewa hapo anachotaka ni Starehe tuu. Tena akiwa ameoa ndio kabisa.

Serikali lazima itutendee Haki wanaume, Kustarehe sio kosa kisheria, na kisheria hakuna kosa la Kustarehe na Wanawake ikiwa tuu sio Wake za Watu, au Watoto Chini ya miaka 18.

Haiwezekani unakutana na Mwanamke kwaajil ya Kustarehe alafu anakuletea mambo ya Mimba, huo ni uhuni. Ushenzi na sio uungwana.

Serikali iweke sheria kuwa Mwanamke kubeba mimba ya mwanaume pasipo ridhaa ya mwanaume ni kosa la jinai, na adhabu itungwe. Huo ni uhuni.

Najua kuna Watu wataniona hamnazo au nimechanganyikiwa, au ninatabia za kishenzi lakini Kwa upande wangu nipo Mbele ya Muda. Ninazingatia Haki za Pande mbili, yaani Mwanamke na Mwanaume.

Mwanamke kwenye Hii Dunia ana-control mambo makuu mawili natural, ambayo ni Sex na reproduction. Mwanamke ndiye anatawala tendo la Ndoa pamoja na ishu ya Uzazi. Hayo mambo mawili.

Ni jukumu la Mwanamke kudhibiti suala la mimba. Na ikiwa anataka kubeba mimba ni lazima aongee na Mwanaume wakubaliane. Huo ndio uungwana, hiyo ndio HAKI.

Sheria Hii ya Mwanamke kubeba mimba pasipo ridhaa ya mwanaume italeta tija ndani ya jamii yetu. Kama ifuatavyo;

1. Itapunguza migogoro ya kijinga ambayo haina maana.

2. Itawafanya Wanawake wasikubali kubeba mimba bila ya Ndoa au pasipo kuandikishana(makubaliano maalumu) iwemo sahihi ya Mwanaume, ikiwa Mwanamke hajaolewa.

3. Itapunguza single mother ambao wengine Kwa Makusudi hujibebesha mimba Kwa maamuzi Yao wajitegemea liwalo na liwe, au wakidhani watapata huruma au mapenzi ya wanaume.

Kuzaa Watoto hakuna uhusiano wowote na kuongeza hisia za mwanaume kama hakupendi. Acha niseme ukweli WA moja Kwa moja.

4. Itapunguza Wanawake wanaoingilia ndoa za Watu na kujibebesha mimba na kuharibu ndoa za Watu. ATI kisingizio mwenye kosa ni Mwanaume Kwa sababu alimfata. Ni Kweli mwanaume alikufata lakini alifuata Starehe lakini sio Watoto. Zingatia makubaliano yenu, Kabla hujalala na Mwanaume muulize swali ikitokea Umepata mimba nini kitatokea, uone atakujibu vipi, majibu hayo muandikishe aweke sahihi. Uone kama hataghairi.

5. Itapunguza Watoto kuzaliwa bila ya Ndoa, makubaliano.
Ndoa ndio sehemu pekee mtoto anazaliwa Kwa ridhaa. Ukishaolewa jua tayari umesaini makubaliano ya kuzaa Watoto.

Lakini kama haujaolewa hiyo sio kazi yako. Kazi yako ni Starehe na unatakiwa kulipwa.

Haiwezekani umetoka zako kwenye Starehe na Mwanamke na lengo likiwa ni Starehe alafu mtu akuletee vitu visivyoeleweka.

Serikali hasa watunga sheria wajue kuwa ni ukiukwaji wa Haki za binadamu hasa Kwa wanaume kumbebea mimba pasipo ridhaa yake. Ni jinai ambayo haijawekwa kwenye sheria. Iwekwe.

Ooh! Wakati unafanya hukujua mimba inaweza kutokea? Wanaouliza maswali haya sijui wanatumia Akili ipi, ni uhuni, Utapeli na unyanyasaji Kwa wanaume. Kumpa kazi isiyomhusu.

Kama lengo ni kuwapendelea Wanawake Kwa kubinya Haki za Wanaume ni Sawa, lakini hiyo kamwe haiwezi kuwa Haki.

Unakuta kijana wa Watu Hana Mpango WA kuwa na Watoto lakini hiyo haimaanishi hapaswi kufanya ngono/mapenzi. Mapenzi yapo sio kwaajili ya Uzazi tuu Bali pia ni Starehe.

Wataalamu washeria na mnaopenda Haki liangalieni Jambo hili, mlifanyie kazi.

Nimemaliza! Mnaochukia mchukie, wenye matusi mtukane. Ila Sio HAKI kubeba mimba ya mwanaume pasipo ridhaa yake. Huo ni ukatili wa kijinsia.

Nawatakia Sabato NJEMA.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Hili nalo mkalitazame mheshimiwa waziri
 
1. Sio kila MTU ni Mkristo na anadini, haya tufanye wote ni Wakristo, je Wakristo wanafuata maagizo ya Dini Yao? Watu wangefuata hizo dini wala pasingekuwa na hii mada hapa. Pasingekuwa na uzinzi.

2. Sex ni Starehe ya Asili na yalazima ambayo kila Mwanadamu aliyekamilika lazima aitake.
Sex ni sehemu ya Kupata uzao lakini haimaanishi ni kila Wakati Ipo kwaajili hiyo. Ndio maana kuna Calendar.

Hapa tunazungumzia HAKI katika Ulimwengu wenye Utapeli, uhuni na ushenzi
Sex siyo starehe mkuu hilo nalipinga kwa nguvu zote.

Sex kuifanya starehe ndiyo maana imewagharimu watu wengi,wewe unafanya ngono na mwanamke kwa kudhani ni starehe kumbe mwenzio unampatia mimba,kwanini usitumie kinga kama hutaki mtoto,usipotumia kinga maana yake unahitaji mtoto iwe isiwe.
 
Naunga mkono hoja, katika hili tutakuwa tumewalinda wanaume na wanawake ambao kila mmoja kwa wakati wake anaweza kuwa victim, zaidi sana tutakuwa tumewalinda watoto.

Consent ya sex sio consent ya mimba, ila in the long run inabidi iruhusiwe sheria ya abortion, umelifikiria hili Robert Heriel Mtibeli

Kuna ke wako kuvizia ni wapi wakabebe mimba, wanaume bila kujijua wanawindwa, kwasababu ya udhaifu /ujinga/umalaya wao wananasa, mdada anatega mimba paah! On the process hawa watu wawili, Me na ke (mchepuko) wanapeleka kisanga kwa mke wa ndoa ambaye alikuwa yuko zake ametulia hajui hili wala lile. Hii issue inaweza kumuathiri mtu yeyote yule, lazima tuipinge vikali.
 
Wanaume wengi tu wamekuwa wakiingia huo mkenge! [emoji108]

Wengine wanapelekeshwa haraka kwenda kufunga hata ndoa ya bomani na wasimamizi wao bila hata mzazi wala ndugu mmoja.

Eti badae ndio wafunge ndoa ya kidini msikitini au kanisani kwa hiyo wanakuwa na ndoa 2 [emoji848][emoji848]

Wazazi wawaombee watoto wao wa kiume sana na kupata nafasi ya kuongea nao mara Kwa mara kuhusu mahusiano
 
Ndoa nyingi ni Kwa shinikizo la mwanamke hata Kwa hila Na uchawi.

Lakini uzuri baada ya muda huwa wanalipa gharama.
 
Naunga mkono hoja, katika hili tutakuwa tumewalinda wanaume na wanawake ambao kila mmoja kwa wakati wake anaweza kuwa victim, zaidi sana tutakuwa tumewalinda watoto.

Consent ya sex sio consent ya mimba, ila in the long run inabidi iruhusiwe sheria ya abortion, umelifikiria hili Robert Heriel Mtibeli

Kuna ke wako kuvizia ni wapi wakabebe mimba, wanaume bila kujijua wanawindwa, kwasababu ya udhaifu /ujinga/umalaya wao wananasa, mdada anatega mimba paah! On the process hawa watu wawili, Me na ke (mchepuko) wanapeleka kisanga kwa mke wa ndoa ambaye alikuwa yuko zake ametulia hajui hili wala lile. Hii issue inaweza kumuathiri mtu yeyote yule, lazima tuipinge vikali.

Umeelezea Kwa ufasaha zaidi Mkuu.
Kutoa mimba Kwa Ulimwengu huu wa Utapeli sio option ni lazima. Ni ishu ya muda tuu.
 
Liwe kosa na akijifungua/kuzaa wanaume tuwe na options ya kumuhudumia mtoto Au kutomuhumia
It is complicated, mojawapo ya haki za watoto ni kuhudumiwa na wazazi wake hadi afike muda wa kujitegemea.

Mzazi ni yule aliyeshiriki tendo la kumleta mtoto duniani.

Kwahiyo hap dawa ni kumshtaki aliyekubebea mimba ambayo ili iwe fair sheria ya abortion inatakiwa itungwe, (ambayo nayo iko kinyume na haki za binadamu) haki ya uhai, na mbaya zaidi mtoto akishazaliwa hakuna namna!
 
Sex siyo starehe mkuu hilo nalipinga kwa nguvu zote.

Sex kuifanya starehe ndiyo maana imewagharimu watu wengi,wewe unafanya ngono na mwanamke kwa kudhani ni starehe kumbe mwenzio unampatia mimba,kwanini usitumie kinga kama hutaki mtoto,usipotumia kinga maana yake unahitaji mtoto iwe isiwe.

Sex sio Starehe, Mkuu hivi unaelewa unachokisema..
Sex ni Starehe ya Asili Kwa Mwanadamu
 
Mimi mwenyewe ni mwanamke lkn hoja yako ina mashiko. Hii itasaidia kupunguza ukatili dhidi ya watoto. Na kesi nyingi sana za kutekelezwa ukisikiliza unakuta mama aliamua kubeba mimba ili iwe kigezo cha kupata ndoa au fedha za kujikimu.

Wakiweka sheria hii itatutafanya tufikirie mara mbili kabla ya kufanya maamuzi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Tunaona shida wanzopata baadhi ya watoto wa single mothers mwishoe wengine inakua burnen ya familia kulea
 
Mimi mwenyewe ni mwanamke lkn hoja yako ina mashiko. Hii itasaidia kupunguza ukatili dhidi ya watoto. Na kesi nyingi sana za kutekelezwa ukisikiliza unakuta mama aliamua kubeba mimba ili iwe kigezo cha kupata ndoa au fedha za kujikimu.

Wakiweka sheria hii itatutafanya tufikirie mara mbili kabla ya kufanya maamuzi.

Sent using Jamii Forums mobile app

Ni kweli Kabisa.

Ninajua Wadada kadhaa ambao Kwa Makusudi kabisa wanajua Mwanaume Fulani ameoa lakini Kwa Makusudi kabisa anajibebesha mimba ili apate chochote kitu. Hapo mwanaume anageuka na kuwa mbogo kwani ilikuwa kinyume na Makubaliano.

Kwa vile tayari kuna sheria ya Ubakaji ya kudhibiti wanaume wahalifu na wenye ukatili wa kingono. Basi itungwe sheria pia ya kudhibiti Wanawake wanaobeba mimba bila ridhaa ya mwanaume ili kuifanya jamii iwe stable.

Sheria Hii itasaidia Pande zote mbili Mwanamke na Mwanaume, lakini pia itasaidia kupunguza kama sio kuondoa tatizo la Watoto waliotelekezwa.

Kulea haitakuwa sio mzigo tena kwani Watu waliamua kuzaa. Lakini Kulea kunageuka mzigo pale inapotokea mtoto anazaliwa ukiwa hujajipanga, Mwanamke aliyemzaa haumpendi n.k.
 
Elewa kwanza.

Nimeshaelewa,
Unafikiri kila ukifanya mapenzi mimba inaingia?
Mwanamke ndiye ana-control sex na Uzazi.
Na sio mwanaume mpandaji.
Ndio maana Mkeo anaweza kukubambikizia Watoto na usijue lakini wewe huwezi kufanya Jambo Hilo.
Nd
 
Back
Top Bottom