Mwanamke mmoja Iran aamua kuwakera Ma-Ayatollah kwa kutembea na nguo zilizopigwa marufuku mtaani

Mkuu huyo namka wiki atatafutwa na atanyongwa either publicly au atapotelea kusiko julikana.
Inawezekana.

Lakini kumbuka: migawanyiko mikubwa ya kijamii iliyopo nchini Iran kiini chake hasa ni hiki. Nchini Iran kuna uasi wa ndani kwa ndani wa kimya kimya unaitafuna nchi hiyo. Wanufaika wakubwa zaidi wa uasi huo ni Israel na Washirika wake wa magharibi.
 
Mojawapo ya mambo yanayonifanya kuendelea kusimama na Israel ni hili la uhuru, Israel ndio nchi pekee ya Mashariki ya kati unavaa vyovyote, unapata kitimoto, unakunywa chochote na unaweza kuabudu chochote bila kusumbuliwa au hofu.
Hata ikiwa kwa expenses ya kuuliwa watoto na wanawake? Hata kwa expense ya kuuliwa ndugu zako siera Leone, Congo na kwengineko?

Kabla ya Israel kuja hilo eneo dini zote tatu zili exist kwa amani, kamuambie mpalestina Mkristo sasa hivi kwamba Chini ya Israel anaabudu kwa Amani kama ata kuelewa.

Hizi propaganda mnazolishwa mmezishiba kisawa sawa.
 
Mojawapo ya mambo yanayonifanya kuendelea kusimama na Israel ni hili la uhuru, Israel ndio nchi pekee ya Mashariki ya kati unavaa vyovyote, unapata kitimoto, unakunywa chochote na unaweza kuabudu chochote bila kusumbuliwa au hofu.
Kitimoto/kosheli utapata wapi israel yenye wayahudi na waislam wengi?..hawali nguruwe hao
 
Ndio maana Netanyahu anapendwa kila mahali middle east.

Mimi najiuliza binti akivaa hivyo mungu anadinda au
Tuache unafiki,kwahiyo hapo amependeza? Siyo tu uislam wala ukristo ambao unaona huyo amevaa vema bali hata tamaduni zetu......utajisikiaje Mama yako, Dada yako au mtoto wako akitoka mitaani amevaa hivyo? Huo ni upumbavu na ujinga kushangilia upuuzi kwa kisingizio cha uhuru
 
Wanawake wamechoka kulazimishwa cha kuvaa na Ayatolah kukaa hivyo ana Protest sheria kali za Ayatolah.

Kuna taarifa zinasema ameshauwawa na Revolutionary Guards.

Ayatollah anatafutiwa sababu ya kuuwawa. Kama saddam hussein na Ghadaffi walivyotafutiwa sababu wakaingia kwenye mtego
 
Mojawapo ya mambo yanayonifanya kuendelea kusimama na Israel ni hili la uhuru, Israel ndio nchi pekee ya Mashariki ya kati unavaa vyovyote, unapata kitimoto, unakunywa chochote na unaweza kuabudu chochote bila kusumbuliwa au hofu.
Na mashoga wanaheshimiwa sana hata kuwa na maonyesho makubwa ya kitaifa.
 
Kupendeza au kutopendeza sio suala la msingi, unavyojisikia kuhusu mama yako, dada yako au mtoto wako anavyovaa sio suala la msingi pia. Suala la msingi ni uhuru wake wa yeye au wao kuvaa wanavyojisikia kwa uhuru bila kubughudhiwa, yani kama mke wako au mama yako amechagua kuvaa hijabu na mke au mama wa mwingine amechagua kuvaa kimini na top tu wote wawe na haki sawa.
 
Sasa ndugu yangu kama wewe hupendi mama yako avae hivyo wewe inakuhusu nini mama yangu akifanya usichopenda?

Unawashwa? au nini unapungukiwa
 
Shida siyo hijab,we kwa utashi wako alivyovyaa unaona ndiyo maana halisi ya uhuru? Kama Uhuru ni kuvaa uchi,basi hiyo tafsiri inatumika vibaya
 
Ana matatizo ya afya ya akili. Atapelekwa mental asylum. Kutembea na underwear haikubaliki sehemu nyingi hata Ulaya.
Alikuwa amevaa hijabu akakamatwa na kusumbuliwa na polisi wa maadili kwamba hajavaa hijabu vizuri ndipo akakasirika na akaamua kuitupa kabisa hiyo hijabu, hana matatizo yoyote ya akili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…