gallow bird
JF-Expert Member
- Aug 10, 2024
- 3,915
- 6,272
Kosher hakuna israel,ni haramu kwa dini ya kiyahudiKitimoto kipo cha kutosha Israel,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kosher hakuna israel,ni haramu kwa dini ya kiyahudiKitimoto kipo cha kutosha Israel,
Uhuru ni nini?Kama kuvaa uchi ni uhuru basi,huo ni ubakaji wa neno uhuru
Alikuwa amevaa hijabu askari wa maadili wakamkata na kuanza kumsumbua kwamba hajavaa hijabu vizuri ndipo akaamua kuivua kabisa hiyo hijabu, hapo hajavaa uchi amevaa kama ukiwa na mke wako na watoto wako beach.Shida siyo hijab,we kwa utashi wako alivyovyaa unaona ndiyo maana halisi ya uhuru? Kama Uhuru ni kuvaa uchi,basi hiyo tafsiri inatumika vibaya
Israel sio taifa la kidini, hata ngamia inauzwa japo ni haramu katika dini ya kiyahudi.
Uhuru lazima uwe na mipaka kulingana na tamaduni ya sehemu husikaUhuru ni nini?
Mtu kufikiria anavotaka haitakiwi kukukera wewe
Ila hajavaa kimini. Amevua nguo za juu na kubakia na chupi na sidiria (underwear). Huo sio uhuru wa kuvaa. Nchi nyingi angeonekana kichaa na kukamatwa.Alikuwa amevaa hijabu akakamatwa na kusumbuliwa na polisi wa maadili kwamba hajavaa hijabu vizuri ndipo akakasirika na akaamua kuitupa kabisa hiyo hijabu, hana matatizo yoyote ya akili.
Pigia mstari neno utamaduni wa eneo husikaHiyo mipaka nani anaiweka??
Jinsia yako tafadhali ili tuendelee na madaKupendeza au kutopendeza sio suala la msingi, unavyojisikia kuhusu mama yako, dada yako au mtoto wako anavyovaa sio suala la msingi pia. Suala la msingi ni uhuru wake wa yeye au wao kuvaa wanavyojisikia kwa uhuru bila kubughudhiwa, yani kama mke wako au mama yako amechagua kuvaa hijabu na mke au mama wa mwingine amechagua kuvaa kimini na top tu wote wawe na haki sawa.
Bosi Iran watu kibao wanatembea vichwa wazi, hiyo video yako tu kuna watu kibao wapo vichwa wazi, tatizo lenu nyie mmejaa propaganda kwenye vichwa, kuna watu kibao watalii wanachukua video za Iran, kumejaa maelfu ya video youtube watu wakionesha Iran watu wanaishi vipi, badala ya kusubiria propaganda ndo ziwe elimu yako.Alikuwa amevaa hijabu akakamatwa na kusumbuliwa na polisi wa maadili kwamba hajavaa hijabu vizuri ndipo akakasirika na akaamua kuitupa kabisa hiyo hijabu, hana matatizo yoyote ya akili.
Sawa. Hata ukienda Costa do Sol, Maputo hayo mambo yapo tangu enzi. Lakini leta picha modeli hiyo toka Mji mkongwe na Azania Front ufunge mjadala.Hapa ni Zanzibar
View attachment 3142919
Iran ni lazima wanawake kuvaa hijab kisheria kwenye umma, wasiovaa wanavunja sheria na inategemea siku hiyo basij militia wameamkaje.Bosi Iran watu kibao wanatembea vichwa wazi, hiyo video yako tu kuna watu kibao wapo vichwa wazi, tatizo lenu nyie mmejaa propaganda kwenye vichwa, kuna watu kibao watalii wanachukua video za Iran, kumejaa maelfu ya video youtube watu wakionesha Iran watu wanaishi vipi, badala ya kusubiria propaganda ndo ziwe elimu yako.
Kama unachukizwa na life style ya mtu ambaye hakuingilii maisha yako wala hupati zawadi akifanya unachotaka au kupungukiwa asipofanya basi bado uko stage ya unyaniUhuru lazima uwe na mipaka kulingana na tamaduni ya sehemu husika
Kuvaa hivyo hapa TANZANIA unaruhusiwa?Mojawapo ya mambo yanayonifanya kuendelea kusimama na Israel ni hili la uhuru, Israel ndio nchi pekee ya Mashariki ya kati unavaa vyovyote, unapata kitimoto, unakunywa chochote na unaweza kuabudu chochote bila kusumbuliwa au hofu.