Hammaz
JF-Expert Member
- May 16, 2018
- 6,607
- 14,076
Wewe hujawahi kufika Iran bhana unaongopa kwa faida ya nani? Au kuongopa kwako ni tulizo la moyo?Iran ni lazima wanawake kuvaa hijab kisheria kwenye umma, wasiovaa wanavunja sheria na inategemea siku hiyo basij militia wameamkaje.
Hata Saudi Arabia ukiingia kwenye mall utakutana na wanawake wanaotembea vichwa wazi.