Mwanamke mmoja Iran aamua kuwakera Ma-Ayatollah kwa kutembea na nguo zilizopigwa marufuku mtaani

Mwanamke mmoja Iran aamua kuwakera Ma-Ayatollah kwa kutembea na nguo zilizopigwa marufuku mtaani

Anyongwe tu,si bora hata angevaa kisiketi kifupi na kblauz kuliko hvyo alivyofanya
 
Kariakoo tu wanawake wanaopita na nguo za kubana sana watu wanawapigia kelele na kuwaona malaya.
Ni ujinga na ujima unaotokana na dini unaowasumbua hao watu wa Kariakoo.
 
Taarifa rasmi kutoka Iran mwanafunzi huyo ana tatizo la akili na kwa sasa yupo hospitali ila kwa sababu mnapenda kuona watu wanatembea uchi Iran mnaitafutia sababu.nyokoo
 
Taarifa rasmi kutoka Iran mwanafunzi huyo ana tatizo la akili na kwa sasa yupo hospitali ila kwa sababu mnapenda kuona watu wanatembea uchi Iran mnaitafutia sababu.nyokoo
Hana tatizo la akili, huo ni ujanja wa Ma-Ayatollah kumficha kutoka kwenye umma kwa sababu limekuwa jambo kubwa duniani
 
Back
Top Bottom