Nangu Nyau
JF-Expert Member
- Jul 1, 2022
- 5,015
- 14,139
Ni sawa mwanaume kutoboa masikio au pua?
Kwa imani yangu na utamaduni wangu sio sawa mwanaume kutoboa masikio na pua.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni sawa mwanaume kutoboa masikio au pua?
Tangu lini wairani wakawa waarabu?Waarabu ni wanafki
Ngoja akachezee kibano, dawa ya kichaa ni kuwa kichaa zaidi yakeMwanamke mmoja wa Irana aliyejulikana kama Ahou Daryaei amezua gumzo Teheran nchini Iran baada ya kutokelezea mtaani akiwa na nguo za beach kupinga ukandamizaji unaofanywa na polisi wa maadili wa nchi hiyo kulazimisha wanawake wavae Hijabu.
View attachment 3142875
Kwanini hawo makafir wanawalazimisha watu wavae h8jab ili iweje?Mwanamke mmoja wa Irana aliyejulikana kama Ahou Daryaei amezua gumzo Teheran nchini Iran baada ya kutokelezea mtaani akiwa na nguo za beach kupinga ukandamizaji unaofanywa na polisi wa maadili wa nchi hiyo kulazimisha wanawake wavae Hijabu.
View attachment 3142875
Tayari yupo ndani dawa inapita taratibu, kama hataki sheria za Iran aende huko wanapo mruhusuAmechoka na unyanyasaji uliopo huko. Ameamua liwalo na liwe.
Na utawala wa Iran ukijichanganya kumkamata katika kipindi hiki ambacho kuna fukuto kubwa la Mgogoro kati yake na Israel na Washirika wake, Basi utawala wa huko Iran ujiandae kuangushwa na kuondolewa madarakani. Israel na Marekani wanaweza wakamtumia huyo Mwanamke kama 'Scapegoat' au trigger ya kuweza kuwahamasisha raia wa Iran ili kuukataa utawala uliopo huko Iran, huyo Mwanamke ni kama 'chambo' ili utawala wa Iran 'uingie mkenge' endapo kama utaamua kumkamata na kumtia misukosuko huyo Mwanamke.
Atapata dawa yake kwa ugonjwa wakehilo ni anguko kwa ayatola
Kuna watu kuachwa wafirane pia ni uhuru, hiyo ya uchi mbona ndogo sanaKwahiyo kutembea uchi ndo uhuru?
Kama alifanya kwa makusudi ili kuchallenge basi anastahili kuuwawa, kama alifanya baada ya kurukwa na akili alistahili kupelekwa hospital, maana mtu mwenye akili timamu hawezi kutembea uchiWanawake wamechoka kulazimishwa cha kuvaa na Ayatolah kukaa hivyo ana Protest sheria kali za Ayatolah.
Kuna taarifa zinasema ameshauwawa na Revolutionary Guards.
Kwa makafiri ni sawa na ni uhuru kwao recall hata Pope Francis karuhusu ndoa za jinsia moja zibarikiwe makanisaniKuna watu kuachwa wafirane pia ni uhuru, hiyo ya uchi mbona ndogo sana
Mtu mwenye akili timamu anaweza kujifunika mwili mzima akabakiza macho tu??Kama alifanya kwa makusudi ili kuchallenge basi anastahili kuuwawa, kama alifanya baada ya kurukwa na akili alistahili kupelekwa hospital, maana mtu mwenye akili timamu hawezi kutembea uchi
Acha kabisaaKwa makafiri ni sawa na ni uhuru kwao recall hata Pope Francis karuhusu ndoa za jinsia moja zibarikiwe makanisani
Are you shure wanampotezea or wanaogopa kuji involve nae because of possible bad outcomeHapo sio mtaani ni Chuo, na the way watu wanavyompotezea speak louder kuliko yeye alivyokaa uchi
Nimezumu mpaka nimeona chuchu kwa mbali ngoja kwanza nikaji dronedrake alafu nirudi hapaMwanamke mmoja wa Irana aliyejulikana kama Ahou Daryaei amezua gumzo Teheran nchini Iran baada ya kutokelezea mtaani akiwa na nguo za beach kupinga ukandamizaji unaofanywa na polisi wa maadili wa nchi hiyo kulazimisha wanawake wavae Hijabu.
View attachment 3142875
Watasema ametumwa na MarekaniMwanamke mmoja wa Irana aliyejulikana kama Ahou Daryaei amezua gumzo Teheran nchini Iran baada ya kutokelezea mtaani akiwa na nguo za beach kupinga ukandamizaji unaofanywa na polisi wa maadili wa nchi hiyo kulazimisha wanawake wavae Hijabu.
View attachment 3142875
Kwa narrative ya hapa wangemsema, wangempiga etc si ndo wangeonekana wabora? Ukiangalia hapo wengi hawana time wanaendelea na shughuli zao kama kawaida, dalili ya maturity na Civilised people.Are you shure wanampotezea or wanaogopa kuji involve nae because of possible bad outcome
Vaa chupi toka nje utembee nayo barabarani pembeni ya aliejifunika mwili mzima akaacha macho tu alafu utaona nani atakaeonekana hana akili timamu kati yako na yeyeMtu mwenye akili timamu anaweza kujifunika mwili mzima akabakiza macho tu??