Mwanamke mmoja Iran aamua kuwakera Ma-Ayatollah kwa kutembea na nguo zilizopigwa marufuku mtaani

Mwanamke mmoja Iran aamua kuwakera Ma-Ayatollah kwa kutembea na nguo zilizopigwa marufuku mtaani

Tuache unafiki,kwahiyo hapo amependeza? Siyo tu uislam wala ukristo ambao unaona huyo amevaa vema bali hata tamaduni zetu......utajisikiaje Mama yako, Dada yako au mtoto wako akitoka mitaani amevaa hivyo? Huo ni upumbavu na ujinga kushangilia upuuzi kwa kisingizio cha uhuru
Kuna watu hawajielewi humu
 
Sijui ni Kukosa akili Kwa watu ama ni unafiki uliopitiliza Mimi sinaga upande wowote wa kiimani Kwa kuwa huwa Nina amini dini ni scam, lakini hebu Tuachane na masuala ya dini twende ktika upande wa maadili Je ikitokea Raia yeyote wa Tanzania akavaa chupi na sidiria pale kariakoo posta mwenge au sehemu yoyote Ile ya wazi iliyopo hapa nchini tutamuelewaje jamii itamtizamaje , hebu Tuachage unafiki basi Mimi nisingekuwa na Shida na Huyo binti kama ingekuwa amevaa nguo za kawaida ila hajajifunga ushungi halafu mamlaka zimuhukumu Kwa uvaaji huo lakini Kwa Hicho alicho kifanya ni ushenzi anapaswa kushughulikiwa
 
Wakristo inawanogea saana wanawake wakitembea uchi!!! Ni kwanini eti? Vita yenu kwa wenzenu waislam ni juu ya kupiga marufuku kina mama kutembea uchi na ushoga,ila nyie mnapambana wanawake watembee uchi
Hivi kuna race inayowafikia Waarabu kwenye mambo ya kuzibua mtaro?
 
Sie wanaume ni watu wa ovyoo xnaa ,.hapo wagalitia Meno yote nnje mkiona hayo mapaja ya huyo mwanamke ,?umalaya tuh hakuna cha Uhuru wala nn wanaume tunapenda kuona vitu hivo na wanawake wasiojielewa ndio huvaa hivo
...uislam utapinga hayo mpk mwisho msilazimishe dini yetu iwe ya hovyo kama yenu
Dini yako au dini ya mwarabu?
 
Mwanamke mmoja wa Irana aliyejulikana kama Ahou Daryaei amezua gumzo Teheran nchini Iran baada ya kutokelezea mtaani akiwa na nguo za beach kupinga ukandamizaji unaofanywa na polisi wa maadili wa nchi hiyo kulazimisha wanawake wavae Hijabu.
View attachment 3142875

Hapo sasa amepitiliza.Atakipata anachotafuta.bora hata angevaa mavazi mengine.Angepeleka ujumbe kwa njia nyingine.Kama hilo katazo liko kwenye "sharia" atanyakulia chap.
 
Mwanamke mmoja wa Irana aliyejulikana kama Ahou Daryaei amezua gumzo Teheran nchini Iran baada ya kutokelezea mtaani akiwa na nguo za beach kupinga ukandamizaji unaofanywa na polisi wa maadili wa nchi hiyo kulazimisha wanawake wavae Hijabu.
View attachment 3142875
Madaktari wamesema anatatizo la afya akili amechukuliwa kwa ajili ya tiba
 
anaonekana ana matatizo ya akili tu.
Jamii ambayo haina utamaduni huo lazima ikuone kituko tu.

Muislamu yeyote Mwanamke aliyesoma dini vizuri na mcha Mungu hawezi kufanya huo upumbuzi.

Kila jamii ina utaratibu na ustaarabu wake, hatuwezi kuilazimisha jamii fulani iache utaratibu wake na iishi tupendavyo, zipo jamii ambazo zina flexibility ya kuadapt na zipo jamii hazina hiyo flexibility.

Tuweke dini pembeni sasa, tulijadili kiuhalisia, NI SAWA MWANAMKE AU MWANAUME KUTEMBEA NA CHUPI BARABARANI?
 
Kwa namna alivyovaa na huo mtaa aliopo wenye ubusy hivyo hata ingekuwa Dar watu wangemuona chizi. Hayo mavazi hata kwa Bongo huwezi kutembea nayo mtaani.
 
Dini ni UONGO mtupo

Lakini kwa uvaaji huo hata huku kwetu kwa mtogole na viunga vyake vya Tandale na Vingunguti huwezi kukuta bidada kavaa hivyo

Mivao hiyo utaikuta yale maeneo yote kuanzia saa 2 usiku kwa akina dada poa
Huku kwetu bado tuko na legacy kubwa ya dini za majahazi na meli.
 
Uhuru ni upi kwa tafsiri yako? Au huko kutembea uchi kama mbuzi kwako wewe ndiyo uhuru?

Iran pamoja na sheria zake madhubuti za kulinda tamaduni zao na licha ya vikwazo chungu nzima lakini ina teknolojia ya hali ya juu tishio kwa ulimwengu wote na uchumi imara.

Wewe uliopo hapo nchi ya Danganyika uliye na uhuru hadi wa kutembea nusu uchi hadharani una maendeleo gani ya kujilinganisha na Iran ama nchi yoyote ya Kiarabu iwe yenye vita ama lah?
hebu fikiria hakuna uhuru halafu ina uchumi mzuri, je kungekuwepo uhuru nchi hiyo ingekuwa na uchumi gani? India na south afrika wangeenda kusoma huko. Hiyo nchi ingekuwa sawa na ulaya tu kama ilivyo uturuki ni ya kiislam ila haina udini
 
Uhuru ni upi kwa tafsiri yako? Au huko kutembea uchi kama mbuzi kwako wewe ndiyo uhuru?

Iran pamoja na sheria zake madhubuti za kulinda tamaduni zao na licha ya vikwazo chungu nzima lakini ina teknolojia ya hali ya juu tishio kwa ulimwengu wote na uchumi imara.

Wewe uliopo hapo nchi ya Danganyika uliye na uhuru hadi wa kutembea nusu uchi hadharani una maendeleo gani ya kujilinganisha na Iran ama nchi yoyote ya Kiarabu iwe yenye vita ama lah?
hebu fikiria hakuna uhuru halafu ina uchumi mzuri, je kungekuwepo uhuru nchi hiyo ingekuwa na uchumi gani? India na south afrika wangeenda kusoma huko. Hiyo nchi ingekuwa sawa na ulaya tu kama ilivyo uturuki ni ya kiislam ila haina udini
 
Uhuru ni upi kwa tafsiri yako? Au huko kutembea uchi kama mbuzi kwako wewe ndiyo uhuru?

Iran pamoja na sheria zake madhubuti za kulinda tamaduni zao na licha ya vikwazo chungu nzima lakini ina teknolojia ya hali ya juu tishio kwa ulimwengu wote na uchumi imara.

Wewe uliopo hapo nchi ya Danganyika uliye na uhuru hadi wa kutembea nusu uchi hadharani una maendeleo gani ya kujilinganisha na Iran ama nchi yoyote ya Kiarabu iwe yenye vita ama lah?
hebu fikiria hakuna uhuru halafu ina uchumi mzuri, je kungekuwepo uhuru nchi hiyo ingekuwa na uchumi gani? India na south afrika wangeenda kusoma huko. Hiyo nchi ingekuwa sawa na ulaya tu kama ilivyo uturuki ni ya kiislam ila haina udini
 
Waarabu ni wanafki

Je ukiambiwa Waafrika ni wanafiki utaipenda?
Aja ujinga wa kutukana watu taifa lote bure. Kuwa mstaarabu kidogo toka kwenye ushenzi.
Bebe ure mbuuri gete nhoro. Linomo lyako gete nyo ya ng’ombe. Linomo lyako lilsngage litiizo funya maashii. Pwaaa sambusa, lilo lyameliiwa😂😂😂
 
Back
Top Bottom