Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 12,835
- 23,584
Kama unaruhusiwa tembea uchi wewe uone kama hujakamatwa labda uwe kichaa, hata kichaa atavalushwa nguo kwa nguvuUnaruhusiswa, hatuna sheria za nchi za kuelekeza au kupangia watu wavaaje.