Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa si muendelee kumsifu..... Na akichinjwa mumsifie piaKwa sheria za huko, sishangai kuskia huyo kesho amechinjwa
Mbona ushoga umeukimbia... Wakati ndio mambo Yao mpaka jeshini.Mojawapo ya mambo yanayonifanya kuendelea kusimama na Israel ni hili la uhuru, Israel ndio nchi pekee ya Mashariki ya kati unavaa vyovyote, unapata kitimoto, unakunywa chochote na unaweza kuabudu chochote bila kusumbuliwa au hofu.
Malizia na kusema Beach....usijitoe ufahamu.Hapa ni Zanzibar
View attachment 3142919
Masikini watamuua!Mwanamke mmoja wa Irana aliyejulikana kama Ahou Daryaei amezua gumzo Teheran nchini Iran baada ya kutokelezea mtaani akiwa na nguo za beach kupinga ukandamizaji unaofanywa na polisi wa maadili wa nchi hiyo kulazimisha wanawake wavae Hijabu.
View attachment 3142875
Dini za kipuuzi, kuamini upuuzi ambao haupo, ni people inventions to control others on the pretext of God who does not exist anyway!View attachment 3142880huyo hatoboi kwa wazee wa sharia
WatatubuuuNdio maana Netanyahu anapendwa kila mahali middle east.
Mimi najiuliza binti akivaa hivyo mungu anadinda au
Samahani mkuu...
Najaribu kutafuta nione huo uchi ukwapi hapo..🤔
Hapana usiseme mungu...........MWENYEZI MUNGU NI MKUBWA SANA.......... sema wa kwao anaitwa mudi au alwaaaNdio maana Netanyahu anapendwa kila mahali middle east.
Mimi najiuliza binti akivaa hivyo mungu anadinda au
Kwa unafiki wakristo hamjambo, uhuru nikuvaa hivyo, lkn wengine hasa huko ulaya wanakataza kuvaa hijabu au nicab nako hampigi kelele kua uhuru wawatu unaminywa. Lkn ishaandikwa "Hamtokuja kuwapenda mpaka wafanane kama nyie".Mojawapo ya mambo yanayonifanya kuendelea kusimama na Israel ni hili la uhuru, Israel ndio nchi pekee ya Mashariki ya kati unavaa vyovyote, unapata kitimoto, unakunywa chochote na unaweza kuabudu chochote bila kusumbuliwa au hofu.
Ni Unafiq tu, tazama Qatar wakati wa World Cup na lile biti walilopigaAlikuwa amevaa hijabu akakamatwa na kusumbuliwa na polisi wa maadili kwamba hajavaa hijabu vizuri ndipo akakasirika na akaamua kuitupa kabisa hiyo hijabu, hana matatizo yoyote ya akili.
Tazama picha ya kwanza na ya pili 🤣🤣🤣Kwa unafiki wakristo hamjambo, uhuru nikuvaa hivyo, lkn wengine hasa huko ulaya wanakataza kuvaa hijabu au nicab nako hampigi kelele kua uhuru wawatu unaminywa. Lkn ishaandikwa "Hamtokuja kuwapenda mpaka wafanane kama nyie".
Sasa shida Iko wapi?. Shida nikuona Sheria zawatu walizojiwekea zinawanyima watu uhuru, lakini Sheria hizohizo zikikataza mengine mnaona sawa. Bongo hapa tuliambiwa tuhamie burundi lkn hatukuandamana.Tazama picha ya kwanza na ya pili 🤣🤣🤣
Ushmen unaendeleaje na hali? Uliripotiwa humu kupata mushkelKwa sheria za huko, sishangai kuskia huyo kesho amechinjwa
Kwan we mwanao wa kumzaa ukimuona hivyo utadinda au???Ndio maana Netanyahu anapendwa kila mahali middle east.
Mimi najiuliza binti akivaa hivyo mungu anadinda au
Wewe hujawahi kufika Iran nafikiri!Alikuwa amevaa hijabu akakamatwa na kusumbuliwa na polisi wa maadili kwamba hajavaa hijabu vizuri ndipo akakasirika na akaamua kuitupa kabisa hiyo hijabu, hana matatizo yoyote ya akili.