othuman dan fodio
JF-Expert Member
- Jan 2, 2018
- 6,850
- 11,033
nani kama mamaaaaa hahahahπwatoto chuki na hutaamini hao watoto hata siku ukiiumwa hawatakuja kukuona.... Utaishia kuwaona tu mtandaoni wakiimba nani kama mama
π²ππππ πΆππΎππΎ ππΆ ππππππ ππππΆπππππππΆBro, chukua hii.
Usijidanganye huyo mwanamke msomi na mwenye kazi uliyeoa kwamba hiyo elimu na kazi yake itakuwa na faida kwenye ndoa yenu
Bro, wanawake ni wachoyo na wabinafsi kupita maelezo, huo mshahara wake utaenda kwa wazazi na ndugu zake, kinachobaki atakitumia kwenye vipodozi, nguo, mawigi nk.
Bro, huko kupendeza usijidanganye ni anapendeza kwaajili yako wewe mume wa ndoa. Kupendeza anapendeza ili kuendelea kumpagawisha mume wake wa kazini, wenyewe wanawaita office hubby au work spouse
Bro, hiyo elimu yake na kazi ndio itakayovunja ndoa yenu. Elimu italeta ujuaji na uanaharakati uchwara ndani ya ndoa, kazi italeta kiburi na majivuno ndani ya ndoa. Ukiwa mwanaume dhaifu utaburuzwa ndani ya ndoa yako mwenyewe na ukiwa thabiti utaburuzwa mahakamani, atadai talaka na nusu ya mali zako. Mkiwa mmetengana atapandikiza watoto chuki na hutaamini hao watoto hata siku ukiiumwa hawatakuja kukuona.... Utaishia kuwaona tu mtandaoni wakiimba nani kama mama.
Bro, KATAA NDOA
Ukiikubali ndoa epuka wanawake WANAHARAKATI UCHWARA, wenye viburi na ujuaji mwingi, na hapa naongelea wasomi wenye kazi zao mjini
Nayenyewe ukizubaa utajikuta unalea wa Office spouse π
Alichoongea mtoa mada kina ukweli kwa asilimia kubwa. Sisi wanaume tukiongelea ubinafsi wa wanawake, it's not really about money 100% it's about attitude/jinsi mwanamke anavyoichukulia hiyo ndoaHata tuwe wema vipi bado hamtuamini π π π
Sio kweli wanawake wa siku hizi hawana cha ku offer,mfano ndani usafi wa nyumba,kupika na kufua anafanya dada wa kazi-ingawa Mke yupo.Sasa umeshasema wanawapa wazazi, watoto, ndugu na jamaa zao halafu bado mnawaita wachoyo na wabinafsi huo uchoyo na ubinafsi wao uko wapi hapo, au ni hadi wawape ninyi ndio wasionekane kama wachoyo au wabinafsi, hilo ni suala la vipaumbele tu mwanamke ni kipaumbele cha mwanaume ila mwanaume hajawahi kuwa kipaumbele cha mwanamke, sema jamii ndio ilitengeneza iwe hivyo halafu wanawake wana vingi vya kuoffer kwa wanaume ukitoa pesa, ilihali wanaume ukitoa pesa hawana cha kuoffer kwa wanawake
Hakuna cha zaidi anachoofa mwanamke wa kisasa ambacho House girl anashindwa. Tena House girl anaweza kwenda extra mile.Sasa umeshasema wanawapa wazazi, watoto, ndugu na jamaa zao halafu bado mnawaita wachoyo na wabinafsi huo uchoyo na ubinafsi wao uko wapi hapo, au ni hadi wawape ninyi ndio wasionekane kama wachoyo au wabinafsi, hilo ni suala la vipaumbele tu mwanamke ni kipaumbele cha mwanaume ila mwanaume hajawahi kuwa kipaumbele cha mwanamke, sema jamii ndio ilitengeneza iwe hivyo halafu wanawake wana vingi vya kuoffer kwa wanaume ukitoa pesa, ilihali wanaume ukitoa pesa hawana cha kuoffer kwa wanawake
Bro, chukua hii.
Usijidanganye huyo mwanamke msomi na mwenye kazi uliyeoa kwamba hiyo elimu na kazi yake itakuwa na faida kwenye ndoa yenu
Bro, wanawake ni wachoyo na wabinafsi kupita maelezo, huo mshahara wake utaenda kwa wazazi na ndugu zake, kinachobaki atakitumia kwenye vipodozi, nguo, mawigi nk.
Bro, huko kupendeza usijidanganye ni anapendeza kwaajili yako wewe mume wa ndoa. Kupendeza anapendeza ili kuendelea kumpagawisha mume wake wa kazini, wenyewe wanawaita office hubby au work spouse
Bro, hiyo elimu yake na kazi ndio itakayovunja ndoa yenu. Elimu italeta ujuaji na uanaharakati uchwara ndani ya ndoa, kazi italeta kiburi na majivuno ndani ya ndoa. Ukiwa mwanaume dhaifu utaburuzwa ndani ya ndoa yako mwenyewe na ukiwa thabiti utaburuzwa mahakamani, atadai talaka na nusu ya mali zako. Mkiwa mmetengana atapandikiza watoto chuki na hutaamini hao watoto hata siku ukiiumwa hawatakuja kukuona.... Utaishia kuwaona tu mtandaoni wakiimba nani kama mama.
Bro, KATAA NDOA
Ukiikubali ndoa epuka wanawake WANAHARAKATI UCHWARA, wenye viburi na ujuaji mwingi, na hapa naongelea wasomi wenye kazi zao mjin
Haka ni katoto kakishua hakajui chochote kuhusu life ya kujitegemea. Maneno yake yanadhihirisha.Sio kweli wanawake wa siku hizi hawana cha ku offer,mfano ndani usafi wa nyumba,kupika na kufua anafanya dada wa kazi-ingawa Mke yupo.
Kumbe huyo Jadda ni mwanamkePapuchi na yas au Jadda
Kuna wadada ambao ni jobless na wako broke, ila wanatoa support kubwa sana kwa wanaume zao kuliko wadada wanaolipwa mshahara wa million 2 kwa mwezi, mwanaume unajihisi kabisa hapa nimepata na bila huyu mdada huenda nsingefika level hii ya mafanikio.Si tulikubaliana wanawake hatuna cha kuwa offer zaidi ya papuchi?? Au kuna kikao kipya mlikaa mkabadilisha maamuzi??
binti kiziwi mate hebu njoo unielezee km kuna mswaada mpya mimi sikuwepo kwenye kikao πΉπΉπΉ
Na kitawalamba sana mpk maji muite mma π€£
Hiyo emoji ya mwisho huwa inaninyima usingizi sana hata kuleeeeee ni vile vile tu π€£π€£π€£Hata tuwe wema vipi bado hamtuamini π π π
Tumekubaliana sisi hatuna cha kuwa offer na mwanamke asomeshwe na wazazi wake..!!Kuna wadada ambao ni jobless na wako broke, ila wanatoa support kubwa sana kwa wanaume zao kuliko wadada wanaolipwa mshahara wa million 2 kwa mwezi, mwanaume unajihisi kabisa hapa nimepata na bila huyu mdada huenda nsingefika level hii ya mafanikio.
Kuna wadada wanalipwa mishahara mizuri ila wana vizinga vikubwa kuliko wadada ambao hawana hela. Mdada hana mtoto unajiuliza hela yake anapeleka wapi, utakuta she takes care of her mother/father/siblings which is good, lkn mbona bill kubwa k.v hujawahi lipwa mshahara miaka 14 π
Sasa mwanamke kama huyo si liability, bora u-date na mwajuma ndala ndefu anaekupa amani ya moyo huku ukimhudumia kwa uwezo wako Lamomy